Dr. Magufuli, Mungu anakuona

Ati Mungu anamuona,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,anafukuza umaskini kwa kutowapa akna sisi AJIRA,,,,,,,,,,
 
naona unamshitakia kwa Mungu,yeye alikuwa anataka tumuombee siyo umshitake kwa Baba Muumba.
Sijamshitaki ila nimesema anamuona hatujasema Mungu amshughulikie kwa vile bado tunamhitaji sema tu tunsmkumbusha tu Ahadi zake haikuwa kuzuia Mishahara bali kuongeza na kuboresha mazingira ya kazi....
 
Endelea kusubiri kuajiriwa kisha tafuta mchawi wako!! Akili za masaburini hizi. Wewe umesoma unalalamika, ulienda shuleni kufanya nini sasa kama sio kupoteza resources tu, ambaye hajasoma nae asemaje??
teh "masaburini"
 
Amen
 
Chadema kutoka kuwa chama kimbilio la wanyonge hadi kuwa chama cha kuombea mabaya Tanzania.

Ama kweli gia zilibadilishwa angani
 
Usilitaje bure jina la MUNGU wako
Mwacheni jpm afanye kazi
 
Endeleeni kumuombea. Mimi nasali na kufunga mara tatu kwa wiki.
 
Tangu tumeanza kuisoma namba tushafika namba 1999
 
uchumi uko vizuri kasema gavana wa benki kuu mbona nyie binadamu wabishi sana? agh,mlizoea maisha ya misheni town
 
Vihela vyetu vilivyopo mifuko ya jamii anavitaka vikajenge viwanda wakati kodi tunalipa na maisha ya watumishi mabovu, Mungu anakuona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…