Tetesi: Dr. Masaburi alishiriki kuifilisi Twiga Bancorp

Tetesi: Dr. Masaburi alishiriki kuifilisi Twiga Bancorp

Miaka michache iliyopita rafiki yangu alinipa stori moja ambavyo alipata kazi kutoka kwenye kampuni moja ya kudai madeni. Kampuni hiyo ipo Selander jijini DSM.

Mteja wa kwanza jamaa yangu kupewa alikuwa marehemu Dr. Masaburi na wenzake walikopa pesa nyingi sana kwenye Benki ya Twiga na mkopo huo ulikuwa mgumu kulipika baada ya Mh kukopa na kuingiza kwenye mradi wa ujenzi wa kiwanda cha kutengeneza dawa za ARV (mkuu huyu na wenzake walilenga kutengeneza kiwanda cha kutenegezea dawa feki, za ARV nadhani ili sio geni wakuu wa jf)

Rafiki yangu alipata shida sana maana mkuu huyu hakuwa mwepesi wa kuongea. Jamaa yangu alivyomfata jamaa, alimuunganisha na mkewe. Mke wa Dr. alikuwa mpiga sound mkubwa yani ukienda kudai huwezi choka aisee anakupiga sound mpaka unasahau kudai deni.

Mwishowe jamaa yangu ilipigwa simu kutoka juu ikitaka wabadilishiwe mdai wa madeni maana jamaa yangu baada ya kupigwa saound alikuwa king'ang'anizi sana hakukubali kabisaaa. Mwishowe jamaa yangu alipigwa chini na kampuni ile na sasa jana tulikutana na akawa ananiambia hajui kama deni lile lililipwa.

Kwanini wanaJF sio wazalendo? Tunajua kuwa hii benki ilikopesha wanasiasa na tunaishi nao mitaaani. Sasa imefungwa, kwanini hatutajani kuisadia serikali?

Mkuu wa kaya naomba ulinzi wako, ntakueletea orodha ya wadaiwa wa benki hii kupitia hapa.

Mimi spendi kuja kuja hapo kwa Greyson!

Tupe majina Mkuu tuwajue - usipote muda - Hapa Kazi Tu........
 
hapo ndipo nilipopata maana mtajitokeza kutuambia ukweli km limelipwa au la? km limelipwa je pernat zimelipwa na kiasi gani? katika ili hata kama htupo nae lazima tukomae kama hakija lipwa kitu aise mjiandae kulipa dseni vinginevyo tunababua kichuo kile. maana huo mkopo uliingizwa kwenye mladi haramu sana, yani kutengezezea ARV feki?
...unajichoresha tu;..'hatufukui makaburi'
..ila hujajibu, mianasiasa mingine iliyokopa na ina midomo kweli utafikiri iko so clean,
...UNAIJUA?
 
Mkuu wataje na walio hai sio marehemu tu kama majina unayo si waorodheshe wote mbona huyo mmoja umemtaja iweje wengine ushindwe kuwataja wakati majina unasema unayo..
 
Miaka michache iliyopita rafiki yangu alinipa stori moja ambavyo alipata kazi kutoka kwenye kampuni moja ya kudai madeni. Kampuni hiyo ipo Selander jijini DSM.

Mteja wa kwanza jamaa yangu kupewa alikuwa marehemu Dr. Masaburi na wenzake walikopa pesa nyingi sana kwenye Benki ya Twiga na mkopo huo ulikuwa mgumu kulipika baada ya Mh kukopa na kuingiza kwenye mradi wa ujenzi wa kiwanda cha kutengeneza dawa za ARV (mkuu huyu na wenzake walilenga kutengeneza kiwanda cha kutenegezea dawa feki, za ARV nadhani ili sio geni wakuu wa jf)

Rafiki yangu alipata shida sana maana mkuu huyu hakuwa mwepesi wa kuongea. Jamaa yangu alivyomfata jamaa, alimuunganisha na mkewe. Mke wa Dr. alikuwa mpiga sound mkubwa yani ukienda kudai huwezi choka aisee anakupiga sound mpaka unasahau kudai deni.

Mwishowe jamaa yangu ilipigwa simu kutoka juu ikitaka wabadilishiwe mdai wa madeni maana jamaa yangu baada ya kupigwa saound alikuwa king'ang'anizi sana hakukubali kabisaaa. Mwishowe jamaa yangu alipigwa chini na kampuni ile na sasa jana tulikutana na akawa ananiambia hajui kama deni lile lililipwa.


Kwanini wanaJF sio wazalendo? Tunajua kuwa hii benki ilikopesha wanasiasa na tunaishi nao mitaaani. Sasa imefungwa, kwanini hatutajani kuisadia serikali?

Mkuu wa kaya naomba ulinzi wako, ntakueletea orodha ya wadaiwa wa benki hii kupitia hapa.

Mimi spendi kuja kuja hapo kwa Greyson!
Kwenye ARV fake sio marehemu Dr. Masaburi.
Tafuta facts kwanza kabla ya kuandika mkuu.
 
Mwenye ARV feki ni mwenyekiti wa chama chakavu mkoa dar itakua ndio mdaiwa sugu,marehemu n kupiga kote hela za uda bdo kashindwa kulipa deni
 
Miaka michache iliyopita rafiki yangu alinipa stori moja ambavyo alipata kazi kutoka kwenye kampuni moja ya kudai madeni. Kampuni hiyo ipo Selander jijini DSM.

Mteja wa kwanza jamaa yangu kupewa alikuwa marehemu Dr. Masaburi na wenzake walikopa pesa nyingi sana kwenye Benki ya Twiga na mkopo huo ulikuwa mgumu kulipika baada ya Mh kukopa na kuingiza kwenye mradi wa ujenzi wa kiwanda cha kutengeneza dawa za ARV (mkuu huyu na wenzake walilenga kutengeneza kiwanda cha kutenegezea dawa feki, za ARV nadhani ili sio geni wakuu wa jf)

Rafiki yangu alipata shida sana maana mkuu huyu hakuwa mwepesi wa kuongea. Jamaa yangu alivyomfata jamaa, alimuunganisha na mkewe. Mke wa Dr. alikuwa mpiga sound mkubwa yani ukienda kudai huwezi choka aisee anakupiga sound mpaka unasahau kudai deni.

Mwishowe jamaa yangu ilipigwa simu kutoka juu ikitaka wabadilishiwe mdai wa madeni maana jamaa yangu baada ya kupigwa saound alikuwa king'ang'anizi sana hakukubali kabisaaa. Mwishowe jamaa yangu alipigwa chini na kampuni ile na sasa jana tulikutana na akawa ananiambia hajui kama deni lile lililipwa.


Kwanini wanaJF sio wazalendo? Tunajua kuwa hii benki ilikopesha wanasiasa na tunaishi nao mitaaani. Sasa imefungwa, kwanini hatutajani kuisadia serikali?

Mkuu wa kaya naomba ulinzi wako, ntakueletea orodha ya wadaiwa wa benki hii kupitia hapa.

Mimi spendi kuja kuja hapo kwa Greyson!

Kama una ushahidi wa kujitosheleza na uhakika kwamba hawakulipa peleka orodha kwa Takukuru, usiwataje bila ushahidi, utaja lipa madeni yao wewe bila kupenda kwa fidia utakazodaiwa!
 
Kwenye ARV fake sio marehemu Dr. Masaburi.
Tafuta facts kwanza kabla ya kuandika mkuu.
Aliyejenga kiwanda cha ARV fake ni kigogo wa chama kikongwe mkoa wa daresalaam Rama Madabwinda, sio Masaburi
 
walikopa sh ngap? Kusema pesa nying sio ishu,pesa nyng kwako yawezekana mil 100
 
mtoa mada nazani achanganya hawa watu wawili Madabida na dr masaburi
Brooo, niamini mimi katika ARV, feki mchizi yupo popote alipo Mungu anajua, hata mkewe anaweza dhibitisha ilo wala schanganyi hao watu wte nawajua vizuri na katika mgawo wa mkpo wa 1.2b walikuwa pamja! kwa nini tunaandikia mate wino upo, uzuri afsa mkopo aliyekopesha hao watu tunae hapa, na ndo huyo ambae aliwekwa WAKIFU, kukopesha miana siasa yetu pale TWIGA BENK, nyie ngojeni nataka mpaka yeye ajitokeze hatetee upuuzi huuu!
 
Majuzi Mh Raisi kasema CCM kuna watu wa hovyo sana,

Itakuwa aliwalenga watu kama hao wa ARV feki na wengineo wa hovyo hovyo.
 
hapo ndipo nilipopata maana mtajitokeza kutuambia ukweli km limelipwa au la? km limelipwa je pernat zimelipwa na kiasi gani? katika ili hata kama htupo nae lazima tukomae kama hakija lipwa kitu aise mjiandae kulipa dseni vinginevyo tunababua kichuo kile. maana huo mkopo uliingizwa kwenye mladi haramu sana, yani kutengezezea ARV feki?

Nijuavyo Kile kiwanda kilichofyatua ARV feki wamiliki wake ni akina Madabida,mke wake na jamaa mmoja hivi Mhaya.Kwani Masaburi naye alikuja kuwa na shareholding kwenye hiyo kampuni?
 
kwenye maswali na waandishi wa habari, Raisi alisema "wanasiasa wengi wameshiriki kuleta anguko la mabenki kwa mikopo mikubwa ambayo wameshindwa ilipa"

aliwashangaa waandishi badala ya kutafuta majina (kufanya uchunguzi) ya hao walio kopa na ndio wako mstari wa mbele kudai kuna anguko la uchumi

hakuna asie jua ujinga wa wafusi wa ccm kwenye kukopa na kuua mabenki
 
Si siri, hii Nchi ovyooooo sana. Mkuu tuletee majina ya wapiga dili hao ili tukuongezee tunayoyajua sisi kuhusu panya hao.
 
Miaka michache iliyopita rafiki yangu alinipa stori moja ambavyo alipata kazi kutoka kwenye kampuni moja ya kudai madeni. Kampuni hiyo ipo Selander jijini DSM.

Mteja wa kwanza jamaa yangu kupewa alikuwa marehemu Dr. Masaburi na wenzake walikopa pesa nyingi sana kwenye Benki ya Twiga na mkopo huo ulikuwa mgumu kulipika baada ya Mh kukopa na kuingiza kwenye mradi wa ujenzi wa kiwanda cha kutengeneza dawa za ARV (mkuu huyu na wenzake walilenga kutengeneza kiwanda cha kutenegezea dawa feki, za ARV nadhani ili sio geni wakuu wa jf)
M/K WA CCM MKOA WA DAR, MH MADABIDA (SURA MBAYA) ALIWAHI FIKISHWA MAHAKAMANI KWA KUTENGENEZA ARV FAKE.....ILA KWA VILE NI CCM MWENZAO SIJUI HATA KESI ILE ILIISHAJE, MWENYE TAARIFA ANIJUZE...AMA KWELI NYANI AKIWA HAKIMU NGEDERE LAZIMA ASHINDE KESI....

KUMBE MRADI ULE ALIKUWA AKIUFANYA NA MASABURI.....YULE ALIYEWAHI WATUKANA WABUNGE KUWA "WANAFIKIRIA KWA KUTUMIA MAKALIO".....HAKIKA CCM NI ZAIDI YA "KIMETA"
 
Mkuu nchi hii tuna tatizo moja kubwa sana:tunawapenda au kuwaamini na/kuwapuuza watu wengine kwa sababu ya muonekano au sifa za nje za watu hao kama vile taaluma ya mtu,cheo chake,itikadi yake ya chama na vitu kama hivyo.Hatuna utamaduni wa kumkubali au kumpuuza mtu kwa hoja yake.Hili ndilo limefanya mabenki mengi yaangukie pua.Yaliacha kukopesha watu kutokana na uwezekano wa mawazo yao ya kibiashara kutekelezeka wakakimbilia suti na tai za wateja



Brooo, niamini mimi katika ARV, feki mchizi yupo popote alipo Mungu anajua, hata mkewe anaweza dhibitisha ilo wala schanganyi hao watu wte nawajua vizuri na katika mgawo wa mkpo wa 1.2b walikuwa pamja! kwa nini tunaandikia mate wino upo, uzuri afsa mkopo aliyekopesha hao watu tunae hapa, na ndo huyo ambae aliwekwa WAKIFU, kukopesha miana siasa yetu pale TWIGA BENK, nyie ngojeni nataka mpaka yeye ajitokeze hatetee upuuzi huuu!
 
siamini kama ulichoandika kiko sahihi.mhusika wa kiwanda cha ARV feki mbona sio huyu uliyemtaja?
Mkuu Changanya Na Zako Ama Jiongeze
ARC Fake Ni Madabida Huwezi Kujua Huenda
Dr Masaburi Alikuwa Anafanya Collaboration Na Watengeza ARV FAKE Yaani Huyu Anakopa Twiga
Mzigo Unapelekwa Sehemu NYINGINE

Ccm Ni Bhalaa Yaani Kila Kona
Tembo Wanauwa Wao
Banks Wanafilisi Wao
 
Ulivomalizia. Nimeelewa kuwa kwenu m7 sio issue.
 
Back
Top Bottom