#COVID19 Dr Mollel anapita katika vituo vya televisheni kuhamasisha Chanjo za Corona lakini yeye havai Barakoa kabisa!

#COVID19 Dr Mollel anapita katika vituo vya televisheni kuhamasisha Chanjo za Corona lakini yeye havai Barakoa kabisa!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Jana nimemuona Channel ten akiwa na mtangazaji Albert Kilala katika kipindi cha Msema kweli na wote wawili walikuwa hawajavaa barakoa.

Leo asubuhi nimemuona Dr Mollel akiwa na Sam Sasali na Kijakazi katika kipindi cha Clouds 360 wote watatu wakiwa hawajavaa barakoa.

Usiku huu nimemuona Dr Mollel akiwa na mtangazaji Julieth Robert katika kipindi cha Kipima Joto ITV wote wawili hawajavaa barakoa ila Kahatano wa Latra na afisa wa NIMR wao walivaa barakoa.

Sasa inakuwaje mhamasishaji mkuu wa tahadhari za Corona anakuwa wa kwanza kuvunja kanuni tena hadharani?

Kuna watu wanapenda mizaha mizaha by Mwita Waitara.

Mungu ni mwema wakati wote!
 
Haaaa Waziri wa SEREKALE!

Nimemuona akigombana na Juliet.Mollel yuko faster hadi anamuzuia asubiri.

Ukaaji wake akiwa anatazamwa na watu mbalimbali sio wa heshima kabisa.
 
Haaaa Waziri wa SEREKALE!
Nimemuona akigombana na Juliet.Mollel yuko faster hadi anamuzuia asubiri.
Ukaaji wake akiwa anatazamwa na watu mbalimbali sio wa heshima kabisa.
Hahahaaaa...... Anakaa utadhani yuko Pub!
 
Huyu jamaa zake ni upambe tu kila kona taaluma yake ya u- Dr. Haijui nafikiri ni one of the exam forgerors. He is a Doctorial rubbish!
TBC na ITV walikuwa wanamblock akianza upambe,anatoka nje ya mada anaanza Mama yeyo katupatia hela ya ndama kila kituo cha afya"SEREKALE"
 
Nikikumbuka alivyomkosoa Fr Kitima, Katibu Mkuu wa TEC alipotaja idadi ya mapadri na watawa waliopata Covid-19 na baadhi yao kufariki dunia na watu wengine walivyoibuka kumshambulia Fr na leo alichokisema napata picha tofauti.
 
Nikikumbuka alivyomkosoa Fr Kitima, Katibu Mkuu wa TEC alipotaja idadi ya mapadri na watawa waliopata Covid-19 na baadhi yao kufariki dunia na watu wengine walivyoibuka kumshambulia Fr na leo alichokisema napata picha tofauti.
Alimshambulia,hakumkosoa
TEC walikuja na ushahidi
Mollel akawashambulia kwa kujipendekeza kwa mteule wake.
Alisema chanjo ili ikubalike no miaka 10 nakuendelea,na akasema Tz hakuna Corona ila kuna shida ya upumuaji tu.
Waandishi wa habari hawambani kwa kauli zake tata
 
Alimshambulia,hakumkosoa
TEC walikuja na ushahidi
Mollel akawashambulia kwa kujipendekeza kwa mteule wake.
Alisema chanjo ili ikubalike no miaka 10 nakuendelea,na akasema Tz hakuna Corona ila kuna shida ya upumuaji tu.
Waandishi wa habari hawambani kwa kauli zake tata
Kijakazi ataweza kumbana kweli?

Afadhali yule wa ITV na hata Kilala walimbana kwa maswali japo alikuwa hawezi kuyajibu direct!
 
Siyo mda wote inabidi uvae barakoa. Vaa barakoa kama umejichanganya na watu wengi ( ile distance ya 2m haipo) Laikini kama mko wachache mmekaa mkaweka distance 2m unaweza vua barakoa.


Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Alimshambulia,hakumkosoa
TEC walikuja na ushahidi
Mollel akawashambulia kwa kujipendekeza kwa mteule wake.
Alisema chanjo ili ikubalike no miaka 10 nakuendelea,na akasema Tz hakuna Corona ila kuna shida ya upumuaji tu.
Waandishi wa habari hawambani kwa kauli zake tata
Asante.
 
Alimshambulia,hakumkosoa
TEC walikuja na ushahidi
Mollel akawashambulia kwa kujipendekeza kwa mteule wake.
Alisema chanjo ili ikubalike no miaka 10 nakuendelea,na akasema Tz hakuna Corona ila kuna shida ya upumuaji tu.
Waandishi wa habari hawambani kwa kauli zake tata
Asante kwa kunisahihisha mkuu!
 
Jana nimemuona Channel ten akiwa na mtangazaji Albert Kilala katika kipindi cha Msema kweli na wote wawili walikuwa hawajavaa barakoa.

Leo asubuhi nimemuona Dr Mollel akiwa na Sam Sasali na Kijakazi katika kipindi cha Clouds 360 wote watatu wakiwa hawajavaa barakoa.

Usiku huu nimemuona Dr Mollel akiwa na mtangazaji Julieth Robert katika kipindi cha Kipima Joto ITV wote wawili hawajavaa barakoa ila Kahatano wa Latra na afisa wa NIMR wao walivaa barakoa

Sasa inakuwaje mhamasishaji mkuu wa tahadhari za Corona anakuwa wa kwanza kuvunja kanuni tena hadharani?

Kuna watu wanapenda mizaha mizaha by Mwita Waitara.

Mungu ni mwema wakati wote!
Chano chano chanjo chanjo
 
Back
Top Bottom