Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Dr. Mumbi yupo Tanzania. Ameendesha vipindi vyake kadha wa kadha kusuhusu sekta mbalimbali hapa Tanzania.
Kusema kweli ametumia muda wake vizuri kuhabarisha ulimwengu kuhusu Tanzania.
Hizi ni baadhi ya interview na watendaji wa serikali kuhusu ujenzi wa Taifa.
Utaona katika interviews hizo watendaji wanaelewa dreams za watanzania kupitia rais wetu JPM:-
SUALA LA IMF
WIZARA YA NISHATI
SHIRIKA LA NDEGE TZ
WIZARA YA MADINI
KITUO CHA UWEKEZAJI
SHIRIKA LA RELI TANZANIA
Kusema kweli ametumia muda wake vizuri kuhabarisha ulimwengu kuhusu Tanzania.
Hizi ni baadhi ya interview na watendaji wa serikali kuhusu ujenzi wa Taifa.
Utaona katika interviews hizo watendaji wanaelewa dreams za watanzania kupitia rais wetu JPM:-
SUALA LA IMF
WIZARA YA NISHATI
SHIRIKA LA NDEGE TZ
WIZARA YA MADINI
KITUO CHA UWEKEZAJI
SHIRIKA LA RELI TANZANIA