Dr Mwaka: Ukiwa nami utakula bata, ukiondoka utaviacha, akakupe Mwingine

Dr Mwaka: Ukiwa nami utakula bata, ukiondoka utaviacha, akakupe Mwingine

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Itoshe tu kusema, Sasa kaanza kujitambua, zile mbwembwe zake óhooo vile ohoooo vile ... Ni mbwembweee



Wale Akina Dada mnaolewa kupigia Hesabu Mali ,mkishaona Mali Sasa zanoga mnaanzisha vijisababu ili mvunje Ndoa ,upate nusu Kwa Nusu ..

Kaaeni chonjo!!
 
Hivi sheria yetu ya ndoa inaruhusu Prenup? Kama inaruhusu, kwa wenye pesa na hali ya sasa ilivyo, prenups is the way to go!
Screenshot_20230221-134501_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom