Tumain
JF-Expert Member
- Jun 28, 2009
- 3,154
- 71
Hakuna kinachoniuma si nimesema tu kama information wewe ndiyo unakasirika ndugu?Wewe ndio hamnazo kweli, Mengi ni mkatoliki? Kwani kinachoikuuma Mengi kuwa sponsor anyhow ni nini haswa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kinachoniuma si nimesema tu kama information wewe ndiyo unakasirika ndugu?Wewe ndio hamnazo kweli, Mengi ni mkatoliki? Kwani kinachoikuuma Mengi kuwa sponsor anyhow ni nini haswa?
Leo natafuta kuku nambanika, kufurahia hizi comment zenu! watanzania wakiambiwa wavivu kufikiri huwa hawaelewi, sija na kamwe sitamuona Mwakyembe kuwa shujaa ndani ya CCM ile ile ya kifisadi tuliowajaribu miaka 40 wapi! bado tuko jangwani!
Anatagemea kugombea 2015, kampeni meneja wake ni Sitta na selellii
sponsor wake ni Mengi ili apate biashara nyingi zaidi za kifisadi
sponsor aliyejificha "kanisa katoliki" ili ipate misamaha ya kodi!!
juzi nilimwona kwenye forleni ya ATM pale CRDB TOWER BRANCH
Nawee nae, forleni ndio nini?
Mbona unanitisha nafikiri "mode" atanilinda kuna ka-ukweli kidogo nini maana jamaa walivyokuwa "wamechachamaa" utajuwa pale wa-megusa penye mtaji yaani (mshiko)Kiswahili pia kinaweza kutofautisha vizuri maneno haya "to depend" na "to expect"
Rudia kusoma vizuri kipengele hicho cha bajeti, unless kwako wewe Madhehebu ya Dini na NGO's walizokuwa wakizizungumzia ni 'kanisa katoliki' tu. Wakikusikia wenye dini zao usizozitambua wewe watakufungulia kesi.
Anatagemea kugombea 2015, kampeni meneja wake ni Sitta na selellii
sponsor wake ni Mengi ili apate biashara nyingi zaidi za kifisadi
sponsor aliyejificha "kanisa katoliki" ili ipate misamaha ya kodi!!
anatagemea kugombea 2015, kampeni meneja wake ni sitta na selellii
sponsor wake ni mengi ili apate biashara nyingi zaidi za kifisadi
sponsor aliyejificha "kanisa katoliki" ili ipate misamaha ya kodi!!
Tusubiri siku hiyo wote kama itafika...SIKU UISLAM na UKRISTO ukifutwa kuna watu tutakuwa hatuoni UTUMBO WAO HUMU NDANI
Kuna ind-direct relationship (hidden)...chuki binafsi wewe wasema mimi nazugumzia "relatioship with special economic interest"Anatagemea kugombea 2015, kampeni meneja wake ni Sitta na selellii
sponsor wake ni Mengi ili apate biashara nyingi zaidi za kifisadi
sponsor aliyejificha "kanisa katoliki" ili ipate misamaha ya kodi!!
Sijaelewa uhusiano wa hayo maneno niliyohighlight red,nafikiri unipe details kidogo vingenevyo ninashawishika kuamini kwamba una-chuki binafsi na kanisa ambalo sina uhakika kama mengi ni muumini wake na unatafutie mahali popote uzi-express chuki zako!
Nilikuwa Kyela hivi karibuni ,na yanasemwa mengi sana kuhusu hatma ya Dr Mwakyembe kisiasa!
Kuna habari kule kuwa eti yatakayomkuta kwenye kura za maoni Dr Mwakyembe yatatushangaza wengi sana.Kijana toka UK anarudishwa na wenye chama kuja kula bata!
Dr kawasumbua sana wazee labda atagombea kama mgombea binafsi kama serikali itapigwa mweleka kwenye rufaa yao,likely hata yeye analijua hilo,who knows?
Sijui una maana gani kwani ni tishio kwa mtu wako nini,mbona unaona kama hawana haki katika nchi hii.Hizo ni dalili za ubaguzi na kulewa ufisadi.Anatagemea kugombea 2015, kampeni meneja wake ni Sitta na selellii
sponsor wake ni Mengi ili apate biashara nyingi zaidi za kifisadi
sponsor aliyejificha "kanisa katoliki" ili ipate misamaha ya kodi!!