Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 5,586
- 7,087
Tanganyika Hujaeleweka vizur mkuuNimekusikulua jioni hii ukihamasisha watu wajazane uwanjani mechi ya simba na yanga ila ukumbuke kuna korona.Ikiwezekana milangoni muwapime watu joto sio kuwajaza tu uwanjani, likiibuka la kuibuka usitafute mchawi.Pesa mbele mauti nyuma.Waandishu nao mnajifanya mmesahau korona.
. Mbon uingereza still watu wanaenda uwanjani laliga, league one kote uko viwanja vinajaza kila sikuWenzetu wako in high alert na corona
Sisi tunahamasushana kujazana uwanjani
Wengine kwenda kuona miunoo ya koffie
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Cheki hii soon watapiga ban. Mbon uingereza still watu wanaenda uwanjani laliga, league one kote uko viwanja vinajaza kila siku
Kungekuw na case ilioripotiwa ndo mshabik wasingeruhusiwa kuingia
kukiwa na wagonjwa wengi lbda
. Mbon uingereza still watu wanaenda uwanjani laliga, league one kote uko viwanja vinajaza kila siku
Kungekuw na case ilioripotiwa ndo mshabik wasingeruhusiwa kuingia