Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 5,586
- 7,087
Nimekusikia jioni hii ukihamasisha watu wajazane uwanjani mechi ya Simba na Yanga ila ukumbuke kuna Corona.
Ikiwezekana milangoni muwapime watu joto sio kuwajaza tu uwanjani, likiibuka la kuibuka usitafute mchawi.
Pesa mbele mauti nyuma. Waandishi nao mnajifanya mmesahau Corona.
Ikiwezekana milangoni muwapime watu joto sio kuwajaza tu uwanjani, likiibuka la kuibuka usitafute mchawi.
Pesa mbele mauti nyuma. Waandishi nao mnajifanya mmesahau Corona.