Dr. Mwandulame Amchana Babu wa Loliondo

Dr. Mwandulame Amchana Babu wa Loliondo

Nyenyere

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2010
Posts
14,804
Reaction score
10,715
Mganga maarufu wa tiba za asili maarufu kama Dr. Francis Mwandulame wa Iringa amemjia juu babu kwa kitendo chake cha kuwahadaa watanzania kwamba amepewa ufunuo toka kwa Mungu. Gwiji huyo wa mitishamba anayetisha kusini mwa Tanzania amedai kuwa huo mti wa mugariga anaotumia babu yeye mwenyewe ameanza kuutumia kutiba watu maradhi mbalimbali kwa zaidi ya miaka 8 sasa. Anasema kuwa alioteshwa na marehemu mama yake, na kwamba unapatikana pia huko Iringa. Hivyo amemtaka babu kuacha kuwadanganya watu kuwa mti huo ni ufunuo wa Mungu. Anadai kwa babu wa Loliondo haoni jipya zaidi ya kutangazwa sana na vyombo vya habari.

Katika hatua nyingine Mwandulame amevishutumu vyombo vya habari na serikali kwa kushiriki kumtangaza mganga wa tiba za kienyeji. Ameyashutumu magazeti, TV na redio kwa kumtangaza babu huku waganga wengine wakitozwa pesa lukuki kwa ajili ya matangazo. Pia ameishukia serikali kwa kuruhusu babu kujitangaza kutibu magonjwa sugu na hata kushiriki kumtangaza wakati waganga wenzake wa jadi wamezuiliwa kufanya hivyo. Ameonya kuwa kama hali itaendelea hivyo itabidi na wao waanze kujitangaza bila kufuata taratibu.

Source: WAPO Radio - Kipindi cha matukio - 07:15 A.M

1 Cor 2:2 For I determined not to know any thing among you, save Jesus Christ, and him crucified.
 
He anahasira, kwani babu kajitangaza?
Waliopona ndio walimtangaza
Hii inaonyesha dhahili kuwa babu amefunika kwa sana..
Sasa wale waganga waliokuwa wanacharge watu mamilion kwa mngarija wnahaha
Mh patamu hapo!

Analoooooo!
 
Waganga wa kienjeji wamekosa mtu wa kumdaganya ndo maana wana haha pamoja na kina Kakobe. Acheni babu wa watu ajipatie umaarufu, kama ameshindwa kuvutia umma leave babu wa Loliondo alone!!
 
Bongo si mchezo walianza watumishi wenzake wa Mungu wakashindwa sasa wamekuja waganga wa jadi kupitia vyombo vya habari vya watumishi wa Mungu, hii si mchezo tusubiri tuone mwisho wake:tape:!!!
 
Mganga maarufu wa tiba za asili maarufu kama Dr. Francis Mwandulame wa Iringa amemjia juu babu kwa kitendo chake cha kuwahadaa watanzania kwamba amepewa ufunuo toka kwa Mungu. Gwiji huyo wa mitishamba anayetisha kusini mwa Tanzania amedai kuwa huo mti wa mugariga anaotumia babu yeye mwenyewe ameanza kuutumia kutiba watu maradhi mbalimbali kwa zaidi ya miaka 8 sasa. Anasema kuwa alioteshwa na marehemu mama yake, na kwamba unapatikana pia huko Iringa. Hivyo amemtaka babu kuacha kuwadanganya watu kuwa mti huo ni ufunuo wa Mungu. Anadai kwa babu wa Loliondo haoni jipya zaidi ya kutangazwa sana na vyombo vya habari.

Katika hatua nyingine Mwandulame amevishutumu vyombo vya habari na serikali kwa kushiriki kumtangaza mganga wa tiba za kienyeji. Ameyashutumu magazeti, TV na redio kwa kumtangaza babu huku waganga wengine wakitozwa pesa lukuki kwa ajili ya matangazo. Pia ameishukia serikali kwa kuruhusu babu kujitangaza kutibu magonjwa sugu na hata kushiriki kumtangaza wakati waganga wenzake wa jadi wamezuiliwa kufanya hivyo. Ameonya kuwa kama hali itaendelea hivyo itabidi na wao waanze kujitangaza bila kufuata taratibu.

Source: WAPO Radio - Kipindi cha matukio - 07:15 A.M

1 Cor 2:2 For I determined not to know any thing among you, save Jesus Christ, and him crucified.

Babu katangazwa au amejitangaza? kumbuka chema chajiuza na kibaya chajitangaza. Tibu watu na watu wakipata ahueni pia utapata msururu wa magari!
 
Mganga maarufu wa tiba za asili maarufu kama Dr. Francis Mwandulame wa Iringa amemjia juu babu kwa kitendo chake cha kuwahadaa watanzania kwamba amepewa ufunuo toka kwa Mungu. Gwiji huyo wa mitishamba anayetisha kusini mwa Tanzania amedai kuwa huo mti wa mugariga anaotumia babu yeye mwenyewe ameanza kuutumia kutiba watu maradhi mbalimbali kwa zaidi ya miaka 8 sasa. Anasema kuwa alioteshwa na marehemu mama yake, na kwamba unapatikana pia huko Iringa. Hivyo amemtaka babu kuacha kuwadanganya watu kuwa mti huo ni ufunuo wa Mungu. Anadai kwa babu wa Loliondo haoni jipya zaidi ya kutangazwa sana na vyombo vya habari.

Katika hatua nyingine Mwandulame amevishutumu vyombo vya habari na serikali kwa kushiriki kumtangaza mganga wa tiba za kienyeji. Ameyashutumu magazeti, TV na redio kwa kumtangaza babu huku waganga wengine wakitozwa pesa lukuki kwa ajili ya matangazo. Pia ameishukia serikali kwa kuruhusu babu kujitangaza kutibu magonjwa sugu na hata kushiriki kumtangaza wakati waganga wenzake wa jadi wamezuiliwa kufanya hivyo. Ameonya kuwa kama hali itaendelea hivyo itabidi na wao waanze kujitangaza bila kufuata taratibu.

Source: WAPO Radio - Kipindi cha matukio - 07:15 A.M

1 Cor 2:2 For I determined not to know any thing among you, save Jesus Christ, and him crucified.

Huyu mganga ana hoja. Nchi ikianza kuwakumbatia waganga wa kienyeji ni hatari tupu! Babu ni sawa na Mwandulame kwa kuwa wote wanatumia miti dawa. Ingekuwa Babu anatumia NENO ningesema imani lakini ndoto na mitishamba duh naogopa. Hiyyo haina tofauti na imani yangu ya mizimu ambayo hutuotesha nanyi kutuita wapagani. Hivi mnaelewa kwamba kuna kauzi kembamba sana kati ya Mungu na Shetani hasa kuhusu mambo ya juoteshwa?
 
Huyu mganga ana hoja. Nchi ikianza kuwakumbatia waganga wa kienyeji ni hatari tupu! Babu ni sawa na Mwandulame kwa kuwa wote wanatumia miti dawa. Ingekuwa Babu anatumia NENO ningesema imani lakini ndoto na mitishamba duh naogopa. Hiyyo haina tofauti na imani yangu ya mizimu ambayo hutuotesha nanyi kutuita wapagani. Hivi mnaelewa kwamba kuna kauzi kembamba sana kati ya Mungu na Shetani hasa kuhusu mambo ya juoteshwa?

Hana hoja yoyote, soko lake tu limeyumba.
Kwani yeye anakosa nini kama si kukosa soko?
 
Huyu mganga ana hoja. Nchi ikianza kuwakumbatia waganga wa kienyeji ni hatari tupu! Babu ni sawa na Mwandulame kwa kuwa wote wanatumia miti dawa. Ingekuwa Babu anatumia NENO ningesema imani lakini ndoto na mitishamba duh naogopa. Hiyyo haina tofauti na imani yangu ya mizimu ambayo hutuotesha nanyi kutuita wapagani. Hivi mnaelewa kwamba kuna kauzi kembamba sana kati ya Mungu na Shetani hasa kuhusu mambo ya juoteshwa?

ndugu yangu hata uwaambie nini hao hawatokuelewa......
 
Huyu mganga ana hoja. Nchi ikianza kuwakumbatia waganga wa kienyeji ni hatari tupu! Babu ni sawa na Mwandulame kwa kuwa wote wanatumia miti dawa. Ingekuwa Babu anatumia NENO ningesema imani lakini ndoto na mitishamba duh naogopa. Hiyyo haina tofauti na imani yangu ya mizimu ambayo hutuotesha nanyi kutuita wapagani. Hivi mnaelewa kwamba kuna kauzi kembamba sana kati ya Mungu na Shetani hasa kuhusu mambo ya juoteshwa?
Ninyi mapepo mshindwe kwa jina la yesu. Mwandulame
 
Huyu mganga ana hoja. Nchi ikianza kuwakumbatia waganga wa kienyeji ni hatari tupu! Babu ni sawa na Mwandulame kwa kuwa wote wanatumia miti dawa. Ingekuwa Babu anatumia NENO ningesema imani lakini ndoto na mitishamba duh naogopa. Hiyyo haina tofauti na imani yangu ya mizimu ambayo hutuotesha nanyi kutuita wapagani. Hivi mnaelewa kwamba kuna kauzi kembamba sana kati ya Mungu na Shetani hasa kuhusu mambo ya juoteshwa?

kwa kweli kwa hili la serikali kumkumbatia mganga mmoja tu (na karibu baraza zima la mawaziri lilmeishakunywa kikombe), limenisikitisha sana na sasa natambua wazi kuwa ushirikina umejikita sana mioyoni mwa viongozi wetu na wengi wetu

si kila mtu aniitaye "Bwana", "Bwana" ataurithi ufalme wa Mungu
bali yeye atendaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni
 
sasa kama mti aliuju siku nyingi mbona hakuutaja mapema watu wakajisevia, hata hivyo Babu hakutoa matangazo yoyote walioenda mdio waliomtangaza, pia magazeti huabarisha tukio kama haoni kuwa hilo ni tukio basi ana wivu kwa kuwa yeye hutoza zaidi ya elfu ishirini huyu 500 yupi bora , kumbe unajua kuwa mti huu ni dawa basi pole kwa wivu , wewe tangia uponyeshe una laki tatu mwezio millioni 50
 
kwa kweli kwa hili la serikali kumkumbatia mganga mmoja tu (na karibu baraza zima la mawaziri lilmeishakunywa kikombe), limenisikitisha sana na sasa natambua wazi kuwa ushirikina umejikita sana mioyoni mwa viongozi wetu na wengi wetu

si kila mtu aniitaye "Bwana", "Bwana" ataurithi ufalme wa Mungu
bali yeye atendaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni


ndio utajua bungeni noma viongozi wetu wengi sio wazima, ukisema atakayetaka kugombea ubunge apime afya yake ili tusizidi kupoteza hela kwa chaguzi ndogo hutamwona mtu, ipo haja ya kufanya hivyo
 
Kuna ndugu alisema juzi watanzania wengi ni wagonjwa nikataka kubisha sasa nimeamini kuona kila mganga anafunika kwa wimbi la watu!! tunaenda wapi? kazi kweli kweli
 
Duh, wale wanaharakati dhidi ya babu wameunganisha nguvu. Baadhi ya
Wale wanaojiita watumishi wanasema babu hajaoteshwa na Mungu na kalumanzira nao wanasema hajaoteshwa na mungu.
Hivi kumbe makundi haya yote mawili yanawajibika kwa mungu mmoja? Kama Sivyo basi babu atakuwa kawekwa kati maana sii MUNGU wala mungu anaekubali kumuotesha.
Kingine cha kujiuliza ni wakulalamikiwa na hawa walalamishi ni babu ama Mungu aliyemwotesha? Maana hakuna muongo yeyote anaeweza kuvuta umati kama wa babu ikiwa hana nguvu za ziada zilizo nje ya uwezo wa kibinadamu. Maana wenye kuutamani umaarufu kwa njia yoyote ile ni wengi, ila kwa sababu ya usanii ndani mwao hawakufikia malengo ya shauku yao. Ila kwa babu ni tofauti kwani kadri alivyojishusha ndivyo alivyoinuliwa juu.
.
 
mwasapile amepata washabiki wengi kutokakana na kwamba hapo mwanzo hakukuwepo na mtu yeyote alitoka na stahili kama ya kwake ya kwamba kaoteshwa na MUNGU lakini kwangu mimi naona bado ni mazinga ombwe hakuna lolote hata kama nani kaenda kwake, ye na waganga wa kienyeji hakuna utofauti alafu kitu kilichomuinua zaidi ni kwamba dawa yake inatibu ukimwi.dont run from rain and seek for an asylum from the ocean:A S-key:
 
Bongo si mchezo walianza watumishi wenzake wa Mungu wakashindwa sasa wamekuja waganga wa jadi kupitia vyombo vya habari vya watumishi wa Mungu, hii si mchezo tusubiri tuone mwisho wake:tape:!!!
mwisho wake watamua tunaomba serikali impatie ulinzi wa kutosha,najua kuna vipato vya watu vimepungua sana,kuna mwingine amepiga waumini wake marufuku kwenda kwa babu,na wakienda watawafukuza,hivi uhai na kuudhuria kanisani ngali mgongwa lipi jema?
 
mwasapile amepata washabiki wengi kutokakana na kwamba hapo mwanzo hakukuwepo na mtu yeyote alitoka na stahili kama ya kwake ya kwamba kaoteshwa na MUNGU lakini kwangu mimi naona bado ni mazinga ombwe hakuna lolote hata kama nani kaenda kwake, ye na waganga wa kienyeji hakuna utofauti alafu kitu kilichomuinua zaidi ni kwamba dawa yake inatibu ukimwi.dont run from rain and seek for an asylum from the ocean:A S-key:

jambo hili ni gumu halihitaji hukumu ya haraka. Kwa ubinadamu wetu lazima tuweweseke, lakini hebu tuangalie mazingira yake. Dawa ya babu inafahamika kama ni tiba kwa miaka mingi lakini si kwa dose moja kama afanyavyo babu. hii ndio ajabu ambayo haina majibu ya haraka. kwa mcha Mungu yeyote atabariki chakula kabla ya kula hata kikiwa na sumu haitadhuru, biblia inatueleza hivyo. babu anagawa dawa baada ya kuchemsha na kuibariki hatangazi dini kosa ni lipi! shetani anaingiaje hapa? Mungu ni dhaifu kuliko shetani hata ashindwe kusimamisha hili? Mbona wengi wamelaani na hata kufunga ili huduma ikome mbona inazidi kushamiri!!? Waganga wengi toka karne za nyuma kwa asilimia kubwa wameoteshwa hizo tiba je waliinuliwa kama babu? Mwacheni Mungu aitwe Mungu. Kwa kifupi dawa inahitaji imani mwenye imani anywe nawe usie na imani ukae kimya usije kujikuta unagombana na bosi wako (God)
 
Back
Top Bottom