Dr Mzizimkavu alinipa tiba ya koo langu lililoshambuliwa vibaya na wadudu wakali

Dokta mzizi mkavu na mm naomba msaada wako hiyo thread ya dawa ya koo ilinipita sikubahatika kuiona na mm nina matatzo ya koo langu linanisumbua nikienda hospital nashindwa kupata tiba ya kudumu kwan baada ya mda linarud tena kweny hal yakama kuwa na kitu kisichoshuka na mida mingine huwa kinanisababishia kichefu chefu na kikohoz pia..Hivyo naomba msaada wako
 

Nunua kitunguu swaumu.Menya chote kama vile uandaavyo kwa ajili ya kupikia.Twanga ama

saga,vikishasagika changanya na maji ya uvuguvugu kidogo kipimo cha kijiko cha chai ili

vilainike.Chota msagiko wote wa vitunguu na uvimeze.



Tahadhari,jitahidi uwe na mfuko ama sehemu ya maliwatoni maana kama hauna tumbo zuri

unaweza tapika.(Mara chache sana hutokea kutapika)


Ukishakaa kama dk 15 hali yako kutotapika itarudi kawaida.Baada ya SIKU 7 ,tangu kutumia

dawa utaona minyoo hakuna tena na fungus wote wamekauka!Kwisha kabisa!!!!


Pia kama una presha ya kushuka usitumie hii dawa maana huwa inashusha sana presha,labda

unywe na kahawa baada ya kuinywa dawa hii ili kuipandisha tena presha! Kuhusu Thread ya Mr

Majigo Tembelea bonyeza hapa
Topic: Msaada tiba Kwa fangasi za kooni! Ukipona usikose na wewe kuleta feedback hapa.
 
MziziMkavu samahani aisee, kuna vitu tulikuwa tunazungumzia ndio maana nkazungumza niliyo zungumza.Sorry for misunderstanding brother.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…