johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Katibu Mkuu wa CCM Dr Nchimbi amemshukuru Rais Samia Kwa kukataa ushauri wa kubadili ratiba Ili aende Marekani ambapo jana angehutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa
Dr Nchimbi amesema huo ni upendo wa pekee kabisa aliouonesha Rais Samia Kwa Wananchi wa Ruvuma
Na sisi Wanaruvuma kwa kukuonesha Shukrani zetu tumeujaza Uwanja huu takribani mara 2 kwani uwezo wa Uwanja huu ni kuchukua Watu 30,000 Lakini hapa tumo zaidi ya 50,000 amesema Dr Nchimbi
Source: Mwanahalisi Digital
Mlale unono 😃🌹
Dr Nchimbi amesema huo ni upendo wa pekee kabisa aliouonesha Rais Samia Kwa Wananchi wa Ruvuma
Na sisi Wanaruvuma kwa kukuonesha Shukrani zetu tumeujaza Uwanja huu takribani mara 2 kwani uwezo wa Uwanja huu ni kuchukua Watu 30,000 Lakini hapa tumo zaidi ya 50,000 amesema Dr Nchimbi
Source: Mwanahalisi Digital
Mlale unono 😃🌹