PRINCE CROWN
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,210
- 4,175
hizi ndo tunaita AKILI PUMBAVU una pika matokeo na kuyaleta kwa ufahamu au kwa kutokufahamu na bado unapata wafuasi wenye akili PUMBAVU kama zako
kasome upya kura za eddo
ndo maana mnaitwa nyumbu ni kutokana na kuwa na AKILI PUMBAVU badae ufatilie unalopoka
Yametimia poleni mafisadi.
Wamekubali elfu hamsini kila kijiji, flyover, laptop kwa kila mwalimu, viwanda vikuu kuu, mahakama ya mafisadi, madaraja, yaan hata kwa uchawi mahakama ya mafisadi haiwezekani, na mengne mengi tu, naomba miaka hii mitano niwe hai
Hapa kazi tu! > Sasa kazi tu! > [Business as usual?]
Nadhani Lowasa kachanganyikiwa-kwani nimesikia anasema eti tume imtangaze yy kwani matokeo yake yanaonyesha kuwa kashinda kwa 62% huyu jamaa ni mbabe kiasi cha kuamuru tume imtangaze kwa data zake za nyumbani kwake.
siji kupiga kura tena mpaka nakufa
Ndugu unaamini kuwa ameshinda?Ameshinda kwa asilimia 58.4% the lowest percent in history of Tanzania
Kwa hali ilivyo ndani ya taifa ili sio shwari kabisa na ukitizima mitizamo ya wana ukawa imekwama na ni ule mpango wa kupiga dili zao kwa kumtumia lowasa kushindwa pia nikumbushe ccm mtandao wao ni mkubwa kama mtawala pia tuliambiwa lowasa alihaidi swala la kulinda kura apewe yeye na cha kushangaza vijana wa IT wa ukawa walikuwa wanatumia mfumo wa mbovu kufanya tally pia niseme ni muda wa ccm kuleta mabadiliko naamin jp magufuli anatosha
Mungu ibariki tz mungu mbariki rais wetu
Aaaamin...alipangalomungu mchawi hawez panguaaaa...what we need what we have granted "HAPA KAZI TU"...hakuna mfano wako daah umemuumiza BaBU wa watu vibaYa Yupo hoi..."HATUKUMTAKA HATA MUNGU HAKUMTAKA PIA"...let our TANZANIA being as TANZANIA THE HOME OF MERCY & LOVE we peacefully we harmonlly...HAPA KAZI TU.