hizo tuzo ziliandaliwa na wachagga?
Kila la Kheri Mzee Mengi na Kijana Mwenzetu Patrick Ngowi(Though sikufaham as navyomsikia Mzee wa Kimachame)Kama mnavyojua jana usiku palikuwa na hafla ya kukabidhi tuzo kwa wafanyabiashara waliotukuka EA pale Nairobi. Bwana Mengi amejinyakulia tuzo mbili (EA Business Leader Award & Lifetime Achievement) wakati kijana anayechipukia kwenye biashara, Patrick Ngowi, amenyakua tuzo ya EA Young Business Leader. Tuzo hizo zinajulikana kama AABLA na zimeratibiwa na CNBC Africa.
source: https://mobile.twitter.com/regmengi?p=s
hizo tuzo ziliandaliwa na wachagga?
Kila la Kheri Mzee Mengi na Kijana Mwenzetu Patrick Ngowi(Though sikufaham as navyomsikia Mzee wa Kimachame)
hizo tuzo ziliandaliwa na wachagga?
hongereni saanA