Dr. Robert Charles Gallo: The man who created AIDS

Dr. Robert Charles Gallo: The man who created AIDS

Na wamefanikiwa, japo walidhani watamaliza weusi kama wahindi wekundu.
 
Mmmmh hapa tupu balaa, kama ukimwi usingekuwepo unafkr ingekuaje hapa?
 
Mbona hakuanza kujidepopulate yeye na familia yake kwanza?
Yeye anachekelea tu sa hizi watu wanavyoteseka kwa huu ugonjwa...DEVIL AT WORK...
 
Mmmmh! naomba Mungu amgeuze huyu jamaa kuwa majivu au vumbi, shida gani ametuletea mshezi huyu.
 
Mh!!! Mungu amuwezeshe kutengeneza dawa ya ugonjwa huu jamani kama alivyoweza kutengeneza virusi
 
Halafu baadae wakataka kuudanganya ulimwengu kuwa waafrika wamefanya mapenzi na nyani! Wazungu nuksi sana.
 
Back
Top Bottom