mungu amsamehe
namuomba mungu asimsamehe huyu mtu ikiwa ni kweli.
niko tayari kufunga na kuomba asisameheme ng'oooooo
Hapa dini haiuhisiki kwani ingekuwa inahusika mgonjwa wa kwanza angepatikana kule uarabuni au angekuwa mwislam.Ni mzungu mkristo!.. haishangazi!
Mh!!! Mungu amuwezeshe kutengeneza dawa ya ugonjwa huu jamani kama alivyoweza kutengeneza virusi
Mungu ampe kansa ya damu kadadadeki!