Dr. Robert Charles Gallo: The man who created AIDS

Inadaiwa virusi vilitengenezwa kwa nia ya kuwamaliza watu weusi duniani (Mkakati wa Marekani 1962 hadi 1978)
- Taasisi yake kati ya 2007-2011 ilipokea zaidi ya Bilioni 70 ili kutengeneza kinga na tiba ya ugonjwa huu ambapo inadaiwa kuna dalili za kupata suluhu.


Kuna hii makala nimeletewa. Sijui kama ilishawahi kuwepo hapa. Ni ndefu kidogo (video) ila kweli inaleta kizunguzungu ukiisikia. Sijui ma Drs mnasemaje juu ya hili swala.

Kumbe Tanzania ndiyo center ya AIDS Africa? Lohhh, nilikuwa sijui. Jitahidini hata msio Madokta msikilize kwani wamelielezea vizuri sana. Ila ukweli hata mie sijui. Na kama ni kweli basi hii ni Weapon of Mass Destruction kubwa kuliko hata Fussion bomb la Mrusi.Kwa anayejua kiundani juu ya hili pia Aongezee Video source
 
Msiumize kichwa sana..wale wanaosoma population studie.. tafuten theory ya Mathias Malthus juu ya population control duniani ya na alichopendekeza ndio busness ya developed world, to the LDC's, angalieni ebola inavyoua waafrika hata madaktari wa kiafrika wanapo contract the deseas wanakufa for lack of treatment...lakini ameupata daktari wa marekani kapelekwa kwao katibiwa kwa dawa wanazodai zilikuwa hazijafanyiwa majaribio..kapona..muingereza naye kafuatwa na ndege ya kijeshi kwenda kutibiwa...what about Afrika..wanamwaga pesa tu wakijua hazitasaidia..........Its painful kuyasema haya.
 
dr gallo ni jembe kwa kweli huyu haitaji bomu akufuate...:angry:
 

Pitieni hapa msome kidogo kuhusu ideas za mathias malthus
http://www.colorado.edu/Sociology/gimenez/work/popissue.html
 
Huwa nashangaa kuona hata maprofesa wa kiafrika wanashindwa kabisa kusema ukweli kwamba wazungu ni sumu kwetu waafrika,wanampenda tembo kuliko kuliko wewe kwasababu ww huna cha kunufaisha kama tembo anayewapa pembe, ngozi na kwato
 

ipo siku mungu wetu atasikia kilio chetu
 
Mwanafalsafa

Dah umejitetea sana duh!! mpaka ukawa unaanza kubishana wewe mwenyewe... haya bhana. very interesting nyuuuz
 
Since the discovery and all pain it has brought to Africa we should have stop it by quitting the unnecessary transmission through unfaithful relationships and meaningless sexual intercourses. Africans, we are too ignorant. That ignorance weakness is eating us alive in many other areas not only diseases. Painful truth.
 
Apo kwelii kwenye kuna mkanganyiko kama dr robert hayuko sawa...inakuaje baba na mama wanakuwa na v.v.u wanakufa na mtoto nae anakufa kwa dalili zile zile. Za ukimwi?? Swali hao virusi wanaosababisha ukimwa ni wapi??
 
Nimesoma vitabu mbalimbali vilivyoka katika mitaala ya kufundishia shule za Tanzania na kwigineko duniani,
Nimegundua kuna uongo mkubwa sana kuhusu nadharia halisi kuhusu chanzo cha UKIMWI,
Eti wanadai kwamba UKIMWI chazo chake ni Sokwe(green monkey). Wanaficha ukweli kusudi leo kuu hawa KU KLAN KLAX(KKK) waumalize ulimwengu. kwa sasa Wametuletea EBOLA. Ukweli halisi kuhusu chanzo cha UKIMWI ni kama ifuatavyo;

Shoga mmoja mwenyeji wa Carlifonia aliye kuwa akitumiki kifungo cha maisha nchini Marekani. Alitumiwa kufanyiwa majaribio na wanajeshi wa idara ya silaha za kibailojia (DEPARTMENT OF BIOLOGICAL WAR-FARE OF TRE USA's ARMY) ili kuona athari ya virusi hivi katika mwili wa binadamu.

Mfugwa huyu shoga alitumiwa kwa ahadi ya kuachiwa huru. Na ni kweli baada ya majiribio kukamilika aliachiwa huru na kurudi carlifonia na kuendelea na maisha yake ya ushoga. Baada ya muda mfupi shoga huyu alifaliki. Na mashoga wengine waliafatia. Na hapo ndiyo chazo cha UKIMWI hapa duniani.

Nini chazo cha UKIMWI tujadili.
 
Nimeona upepo tu ebu tumia references wapi tukaresearch au na wewe matokeo makubwa nini? Too vapour...!
 
Ndugu,

Kila chanzo cha jambo baya ni Afrika na kila chanzo cha jambo zuri ni magharibi!!

Hata ukihubiri vp,itabaki hvyo! Mbaya zaidi na waafrika nao wameshaingia kwenye mtego huo!

Njia pekee ya kuondoka kwenye utumwa huo ni kuandika historia mpya, ambayo KAMWE hatuwezi!
 
Nimeona upepo tu ebu tumia references wapi tukaresearch au na wewe matokeo makubwa nini? Too vapour...!

jaribu kufatilia chimbuko la huu ugonjwa utaambiwa ulitokna na nyani au sokwe kwa kulala na binadamu ama binadamu kula nyama ya sokwe.wakati wanasema virusi wanao sababisha UKIMWI hawawezi kuishi sehemu nyingine tofauti na mwili wa binadam inakuwaje hawa virusi wa HIV watoke kwa huyu mnyama walete madhara kwa binadamu ila yeye asipate madhara kama sio ushindi wa kisiasa katika sayansi.
 

Kuondoa na huu utumwa tusihitaji misaada yao! tumeseme sasa yatosha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…