Dr. Robert Charles Gallo: The man who created AIDS

Dr. Robert Charles Gallo: The man who created AIDS

Kujadili nani ni mtaalamu wa kutengeneza virusi au nani ndiye aligundua ni kumpa sifa shetani tu.Nadhani swali la kujiuliza na KWANINI?? Ukweli unajulikana na sio yeye tu mgunduzi. Ni ndoto ya taifa lake la Marekani na wazungu wote kuwamaliza watu weusi kwa kutumia mbinu yoyote ya kufanikisha hilo. Wazungu wanajua ukweli kuwa watu weusi ni watu wateule wa Mungu na mkakati huu haujaanza leo wala jana, ulianza miaka 400 kabla ya kuzaliwa Yesu wakati Wagiriki walipoivamia Israeli (tambua kuwa wa Israeli ni sisi watu weusi....hapa unatakiwa kufungua akili yako na kuutafuta ukweli) na baadae Warumi ambao vita ya mwaka 127 B.K waliazimia kuwamaliza watu weusi(Gladiators) na ndipo weusi wakaikimbia nchi yao na kukimbilia kwa ndugu zao kusini (Kushi, SHEBA na Misri) na walikodiwa wa Hispania ili kuteketeza Historia na maandiko yanayoonyesha historia ya watu weusi na baadae walibadilisha na kuondoa baadhi ya vitabu kwenye biblia vinavyoonyesha uhalisia na vipengele vyote vinavyoonyesha Myahudi ni mtu mweusi...
Walipoanzisha biashara ya utumwa iliyodumu kwa miaka 400 pia lengo lilikuwa hili hilo tu kwanza kuikata historia ya mtu mweusi na muunganiko wake na Mungu na pia kuwauwa wote waliochukuliwa utumwani... (MF. Weusi wote waliokuwa Argentina waliuawa na wengine kukimbilia nchi za jirani... ndio maana hakuna mchezaji mweusi kwenye timu ya taifa ya Argentina wakati inapakana na Brazil ambapo weusi ni wengi)[isome barua ya Lynch au Google hidden books and icons]
Hivyo weupe hawana jema na sisi... fuatilieni historia ya kweli...historia tunayo soma ni white washed au imetengenezwa ili kupotosha ukweli.

Niliwahi kusoma makala moja kuhusu hili swala na wakaweka vifubgu vya biblia vinavyohusu hili jambo,na ukisoma unahisi kuna ukweli flani kuhusu watu weusi,sema huwezi ukaikuta mijadala kama hii mara kwa mara
 
ts obvious this thing is man made..hata kwa tusiojua sayansi vizuri tunaona,actually ever read and watched some documentaries which sort of shocked me,sa cjui ndo ukweli au js conspiracy theories,the aim of the NWO~new world order is to cut world population to about 1 billion,and we are heading to 7 bn now if am not mistaken,now how that popn goes down,.i don't know.,we got a.lot more shit coming...esp hapa Africa heheheh hali itazidi kuwa mbaya
 
Na alaainiwe mara elfu elfu yaan ndugu na jamaa zetu wanakufa kwa ajili ya m*p*u*m*b*a*v*u mmoja!??

Aaaaah... Nahisi hasira, kama ningelipewa nafasi ya kukutana naye hakika ningemuua hata kwa kujitoa mhanga!
 
Niliwahi kusoma makala moja kuhusu hili swala na wakaweka vifubgu vya biblia vinavyohusu hili jambo,na ukisoma unahisi kuna ukweli flani kuhusu watu weusi,sema huwezi ukaikuta mijadala kama hii mara kwa mara

Makala au mijadala kama hii huwezi kuipata kwa kuwa kila kitu kimekuwa white washed na sisi weusi Tumekuwa brain washed. Lazima ujiulize kwa nini Malcolm X alikuwa anadai Yesu alikuwa mweusi kwa nini tusitafute ukweli wa madai yake? Lazima tusome na kutafuta maarifa zaidi. Mungu anaposema "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa " anamaanisha watu gani?
 
Nimesikita sana kuona sisi blacks tumekuwa kafara ya wazungu!!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
It isn't that only 'HIM' did the aforesaid shit. Let us include the whole of his dirty nation!

Saa hizi wanatuambia eti huenda dawa ikapatikana, labda kama wameshatimiza agenda zao. Na ikipatikana hiyo, basi lazima washushe kombola jingine!!
 
!
!
tumsamehe kwa janga lililopo na tumwombe atupatie kinga pamoja na dawa. Note msiniambie condom ni kinga sitawaelewa.
 
Aisee... dawa ikipatikana sijui itauzwa gunia ngapi za pesa...

!
!
dawa ikipatikana nitaitungia mistari kwa kweli ma@na huo mhofu nilionao basi tu ubishi......nikikumbuka gemu zile za hatari pamoja na risasi kidole baada ya kupiga zigo,nachoka kabisa
 
hawa marekan lengo n kutufanya soko lao tuu....condom na net za mbu..pia kuongeza vtuo vya mayatima.....
...f****ck them
 
Mshenzi mkubwa na tupeleke na kidumu cha petroli aungue vizuri kwa kutesa binaadam wenzake, akasahau kuwa kila nafsi itaonja mauti
 
Dr. Robert Gallo is one of the primary scientists involved in the Special Virus Program. He located a human retrovirus, an RNA dependant, DNA polymerase, in 1971. That is in the Progress Report, page 105. This isolation was, and is, a plural effusion from a 5-year-old Black American boy that was used as the entity that all has fused from. It’s the research of Dr. Gallo, coupled with the Special Virus Program, in which he had a green light to do whatever it took to develop a special virus for the purpose of population stabilization.

In simpler terms, he received a patent (U.S. Patent No. 4647773) to continue the production of HIV in April 1984. As far back as 1971, he was noted as a project officer. Consequently, President Clinton, before he left the office of the presidency, pardoned Dr. Gallo for any acts relative to this issue
 
ts obvious this thing is man made..hata kwa tusiojua sayansi vizuri tunaona,actually ever read and watched some documentaries which sort of shocked me,sa cjui ndo ukweli au js conspiracy theories,the aim of the NWO~new world order is to cut world population to about 1 billion,and we are heading to 7 bn now if am not mistaken,now how that popn goes down,.i don't know.,we got a.lot more shit coming...esp hapa Africa heheheh hali itazidi kuwa mbaya

Hivi unajua abt 50% ya total population inapatikana China, India na US?
 
Back
Top Bottom