Rapherl
JF-Expert Member
- Jun 20, 2012
- 3,504
- 2,256
Kujadili nani ni mtaalamu wa kutengeneza virusi au nani ndiye aligundua ni kumpa sifa shetani tu.Nadhani swali la kujiuliza na KWANINI?? Ukweli unajulikana na sio yeye tu mgunduzi. Ni ndoto ya taifa lake la Marekani na wazungu wote kuwamaliza watu weusi kwa kutumia mbinu yoyote ya kufanikisha hilo. Wazungu wanajua ukweli kuwa watu weusi ni watu wateule wa Mungu na mkakati huu haujaanza leo wala jana, ulianza miaka 400 kabla ya kuzaliwa Yesu wakati Wagiriki walipoivamia Israeli (tambua kuwa wa Israeli ni sisi watu weusi....hapa unatakiwa kufungua akili yako na kuutafuta ukweli) na baadae Warumi ambao vita ya mwaka 127 B.K waliazimia kuwamaliza watu weusi(Gladiators) na ndipo weusi wakaikimbia nchi yao na kukimbilia kwa ndugu zao kusini (Kushi, SHEBA na Misri) na walikodiwa wa Hispania ili kuteketeza Historia na maandiko yanayoonyesha historia ya watu weusi na baadae walibadilisha na kuondoa baadhi ya vitabu kwenye biblia vinavyoonyesha uhalisia na vipengele vyote vinavyoonyesha Myahudi ni mtu mweusi...
Walipoanzisha biashara ya utumwa iliyodumu kwa miaka 400 pia lengo lilikuwa hili hilo tu kwanza kuikata historia ya mtu mweusi na muunganiko wake na Mungu na pia kuwauwa wote waliochukuliwa utumwani... (MF. Weusi wote waliokuwa Argentina waliuawa na wengine kukimbilia nchi za jirani... ndio maana hakuna mchezaji mweusi kwenye timu ya taifa ya Argentina wakati inapakana na Brazil ambapo weusi ni wengi)[isome barua ya Lynch au Google hidden books and icons]
Hivyo weupe hawana jema na sisi... fuatilieni historia ya kweli...historia tunayo soma ni white washed au imetengenezwa ili kupotosha ukweli.
Niliwahi kusoma makala moja kuhusu hili swala na wakaweka vifubgu vya biblia vinavyohusu hili jambo,na ukisoma unahisi kuna ukweli flani kuhusu watu weusi,sema huwezi ukaikuta mijadala kama hii mara kwa mara