Sipati picha huyu Daktari angekuwa na jina la Ki-islamu...
Dunia nzima ingejaa kelele kuwa waislamu ndio tabia zao kutengeneza virusi vya ukimwi...
Lakini kwa sababu ana jina la Ki-VATICAN watu wapo kimyaa kama wanakata gogo
Punguza kula nguruwe wanaleta matatizo ya akilihivi ww Muhammadan una matatizo gani ?
basi unahisi mnaonewa balaa
sasa HIV/AIDS na MUSLIMS wapi na wapi ?
bila shaka neurons zimegongana kichwani kwako Muhammadan kwani una-changanya mrenda na pilau mbele za haraiki
hovyo sana ww Muhammadan
.made in mby city.
Punguza kula nguruwe wanaleta matatizo ya akili
far Q NOCOLAXfar Q Muhammadan
.made in mby city.
far Q NOCOLAX
Hakuna jambo gumu kama kwenda kinyume na mafundisho rasmi(there is no difficult thing as to 'unlearn').Inakupasa uwe na uwezo au uelewa wa ziada ili kufanikisha hili,Sikonge nakupongeza kwa kuweza 'ku-UNLEARN'.Sisi watu wa dunia ya tatu tunaposikia/kuona kitu kipya ambacho ni kinyume na tulivyofundishwa na 'mainstream' huwa tunaanza kupinga kabla ya kutafakari(what a blunt brain do we have!!).Mimi nasema kwa kujiamini kabisa kwa kuwa nimeshafanya utafiti kwamba HIV hasababishi UKIMWI.Nina mambo mengi sana ya kusema kuhusu hili,lakini nitawapa mfano mmoja wale wanaopenda kupinga kabla ya kutafakari.
Hivi watu wameshawahi kujiuliza ni kwa vipi mtoto ndani ya tumbo la mama mwenye mimba aliyeathirika na ukimwi anawezaje kuzaliwa bila virusi?Mtoto akiwa tumboni mwa mama anapata damu,hewa ya oxygen na chakula kupitia mishipa ya ateri na vena moja kwa moja kutoka kwa mama yake,sasa watu waliwahi kutumia 'common sense' kujiuliza inawezekana vipi?
Hebu tusiwe malimbukeni jamani,tupende kujifunza vitu tofauti,tabia ya kupinga inaweza kukusababishia kifo.Mimi leo nikianzisha mada kwamba cancer yoyote inatibika najua watu wataanza kupinga kabla ya kujiuliza kwa vipi.Tunadanganywa mambo mengi sana na kama tutaendelea na tabia hii ya kupinga kabla ya kujiuliza muda utafika race yetu haitakuwepo juu ya ardhi.
Minyoo ya nguruwe imeshajaa kwenye ubongo wako NOCOLAX ...pole sana Muhammadan
hivi ni kweli hata ku-type jina NICOLAX huwezi au unatania tu ?
wewe Muhammadan umekurupukia hili jukwaa hebu rudi kule MMU haraka, huku unatoa povu tu, yaani hata pasipo husiana na habari za dini unaweka udini mbele
you Muhammadan you ar a Muhammad's wife bila shaka
.made in mby city.
tukiwaambia dunia inaendeshwa na watu wachache wenye agenda sa siri kwa wanadamu,mnabisha.nilisoma siku nyingi sana kuwa AIDS is a man made disease.it's not a curse to sick from HIV virus, because that was not God's plan.ni mpango wa binadamu wachache wenye nguvu wanaoitawala dunia hii na walio karibu na fallen angels, kutaka wewe au mimi ufe kwa maumbikizi ya ukimwi.STUKA!.
dr gallo ni jembe kwa kweli huyu haitaji bomu akufuate...:angry:
Since the discovery and all pain it has brought to Africa we should have stop it by quitting the unnecessary transmission through unfaithful relationships and meaningless sexual intercourses. Africans, we are too ignorant. That ignorance weakness is eating us alive in many other areas not only diseases. Painful truth.
Hiki kitu kimenisumbua sana akili
Hivi inakuwaje dr wa marekakani au niseme ulaya akipat maambukizi anarudishwa kwao faster na anapona baada ya matibabu?
Lakini hawa waafrika walipelekw hukohuko na still bado wamekifa ina maana hiyo dawa inachagua?inafanya kazi kwa wazungu tu?
Yaani hivi vitu vimesumbua akili yangu.
Minyoo ya nguruwe imeshajaa kwenye ubongo wako NOCOLAX ...
Ndio maana sishangazwi na unayofanya FAR Q NOCOLAX
Yaani nimeona karibu kila mmoja analia na hawa wazungu tangu walipotutawala na sasa ni miaka 50 kama si 60 tangu wameondoka!
Sisi waafrika tumefanya nini kujilinda wenyewe kujiimarisha kiuchumi, kijamii, kitamaduni na kisayansi?
Kwanini tumekuwa watu wa kuonewa na kulialia tu kwa kuletewa magonjwa, vita, njaa ?
Shida iko wapi? Tuna tatizo lipi?
Kwanini tuko dhaifu kiasi hiki?
We are cursed, thus wy our colour is also dark, embu niambie black amegundua nini toka kuumbwa kwa dunia, instead of kucheza ngoma tuu