Dr. Robert Charles Gallo: The man who created AIDS

Dr. Robert Charles Gallo: The man who created AIDS

Daktari Robert Gallo aliye tengeneza virusi vya ukimwi mwanzoni mwa mwaka 1970 amejitokeza hadharani akiwa na dawa inayoponya ukimwi kabisa


Dk Gallo anasema aliamua kutengeneza virusi hivyo ili kupunguza mashoga na watu weusi duniani




View attachment 395889




View attachment 395890
Sio uamuzi wake he was just being used by Lucifer.Wapuuzi sana,wanatumia Ukimwi kupunguza watu,lakini pia as a means of birth control.Kwa kuwepo kwa ukimwi wanaamini kwamba people will be scared from sex there by reducing population growth.
 
Kwahiyo hana pa kushitakiwa kwa alichokifanya au dunia inaona alikuwa anatoa huduma za kijamii ?
 
Kama ni huduma za jamii angeanza kujiambukiza mwenyewe kwanza!Nadhani unatania tu,you are not serious.
If am not serious basi yeye yuko serious zaidi na uhai wa watu otherwise serious kama anavyojieleza.
 
ba ba mdogo kafa kwa ajili yake shangaz kafa kwa ajili na wote walikua weupe sio weus huyu akamatww na shingo yake ikatwe kwa msumeno butu
 
SIO KWELI, IMEKANUSHWA:
Despite the claims of the article whose damage I am working to undo, the earliest samples of HIV positive blood did not originate from New York homosexuals from the 1970s, but insteaddate back to 1920s Congo. The virus most certainly did not originate from biological weapons programs, which are only today becoming advanced enough that creating such a virus is even theoretically possible. They were most certainly not advanced enough in 1920, or even 1960, to create a synthetic retrovirus, which I might add, has still never actually been accomplished.

One of the articles I saw blaming Gallo comically claims that chimps were supposedly deliberately infected and released in 1979, which somehow led to the virus occurring in New York in 1971. The viral “Gallo did it” article that I convinced my friend to take down had anembedded video, where a man “explains” over dramatic music that HIV was created through “combining lymphoma, leukemia, and carcinoma viruses.” I literally burst out laughing, because none of what he listed was a retrovirus or even a virus, and cancer has literally nothing to do with HIV. You could spend your entire life combining lymphomas, carcinomas, and leukemia, and you would still never end up with a retrovirus at the end.

All of these theories make very specific claims, without any evidence. They encourage me to believe that a man (who thinks cancers are viruses) has special knowledge and access to untold classified documents. To prove his point, the video displays extremely blurry documents that are barely legible beyond seeing Gallo’s name. For all we know, these documents are completely fake, or actually completely harmless. We don’t know, because as is the norm in such articles or videos: no sources are supplied.

Yes, the United States did and maybe still does have biological weapons programs. The Soviets did, and Russia still runs its “Vector” high-security lab, as well. This is absolutely no indication that HIV is a bioweapon, especially considering the actual time-line of infections. There are even more reasons why Ebola is certainly not a bioweapon, but that is beyond the scope of this text. Gallo was a scientist, and a researcher, and his position in the public eye is yet another reason to doubt him being an evil mastermind.

There is no historical evidence actually implicating Gallo, or any others, in creating a HIV virus. All of the historical and scientific evidence, as well as a general understanding of patents in science, point to a legitimate researcher, along with his peers, simply trying to identify understand a human illness. There may very well be one or more synthetic doomsday viruses sitting snugly or being worked on in undisclosed locations (or in BSL-4 labs), but HIV and Ebola are not examples of this.

Chanzo: Did Dr.Robert Gallo Create HIV/AIDS?
 
Daktari Robert Gallo aliye tengeneza virusi vya ukimwi mwanzoni mwa mwaka 1970 amejitokeza hadharani akiwa na dawa inayoponya ukimwi kabisa


Dk Gallo anasema aliamua kutengeneza virusi hivyo ili kupunguza mashoga na watu weusi duniani




View attachment 395889




View attachment 395890
Unajua huwa najiuliza mno.Hivi mtu anawezaje kutengeneza virusi?Yaani hivi vya UKIKWI !.Je wanasayansi wenyewe wanauelezeaje ukimwi.Yaani akili yangu inakataa kabisa kuhusu hili suala la mtu kutengeneza virusi.

Wenye kujua wanipe somo.
 
Mtoa post ni tabula rasa kabsa, Dr Gallo aligundua virusi vya HIV na sio alitengeneza.
 
Back
Top Bottom