Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona ziko nyuzi nyingi tu humu ndani kuhusu huyo mtuKama ndiyo hivyo kwa kweli ametupatia maana umekaa pabaya ambapo hakuna awezaye kupakwepa,labda uwe sio lijaliView attachment 748778
HahahahahDawa mbona hatengenezi?au walisha mkolimba.
Yaani acha tu
Ni kweli kabisa maana madhara aliyosababisha ni makubwa kuliko faida aliyoileta kutokana na tafiti zakeHuyu anastahili kupokwa nishani ya Nobel aliyopewa kwa huo ugunduzi wa janga alilolianzisha.
Sio hivi vitumbua vyako vya mcheleMi nkajuwa kitumbua kimedondoka chini
Amezingua kichizi, ametutilia mchanga[emoji849][emoji849][emoji849]
Bado yupo hai aged 81 huko US.Bado yupo hai timchune ngozi akiwa hai na kumfanya atuangalie tukiivaa na kucheza nayo sebene!
Sent using Jamii Forums mobile app