Dr. Robert Charles Gallo: The man who created AIDS

Dr. Robert Charles Gallo: The man who created AIDS

Mbona inasemekana Henry Kissinger ndiyo aliratibu hiyo mission
Bado yupo hai aged 81 huko US.

°°ᴶᵉᵃˡᵒᵘˢˢʸ ⁱˢ ᵖʳᵒᶜᵉˢˢ ʸᵒᵘ ᵍᵒ ᵗʰʳᵒᵘᵍʰ ᵇᵉᶠᵒʳᵉ ᵇᵉᶜᵒᵐⁱⁿᵍ ᵃ ʷⁱᵗᶜʰ°°
 
Mbona inasemekana Henry Kissinger ndiyo aliratibu hiyo mission
Yawezekana lakini huyu ndio ametekeleza

°°ᴶᵉᵃˡᵒᵘˢˢʸ ⁱˢ ᵖʳᵒᶜᵉˢˢ ʸᵒᵘ ᵍᵒ ᵗʰʳᵒᵘᵍʰ ᵇᵉᶠᵒʳᵉ ᵇᵉᶜᵒᵐⁱⁿᵍ ᵃ ʷⁱᵗᶜʰ°°
 
Dunia ina mengi
Ni kweli. Anaeratibu mpango na anaetekeleza kwa vitendo wote ni sawa. Ila kosa ni la mtendaji.

°°ᴶᵉᵃˡᵒᵘˢˢʸ ⁱˢ ᵖʳᵒᶜᵉˢˢ ʸᵒᵘ ᵍᵒ ᵗʰʳᵒᵘᵍʰ ᵇᵉᶠᵒʳᵉ ᵇᵉᶜᵒᵐⁱⁿᵍ ᵃ ʷⁱᵗᶜʰ°°
 
Leo tofauty media tumekuja tena na ishu nyingine,
Watu wengi huwa wanadahani kwamba mtu aliyetengeneza kirusi cha ukimwi VVU, amekwishafariki lakini hii sio kweli ni kwamba doctor huyu aitwaye ROBERT GALLO yupo hai na ana miaka 82 kwa sasa mwaka huu 2018, tazama historia take kwenye official TOFAUTY CHANNEL iliyoko youtube iitwayo TOFAUTY MEDIA, usisahau kusubscribe kulike na kukoment na KUSHARE please, thanks JF


Pia kwa kusoma maelezo yaliyoandikwa bonyeza link hapa chini - https://www.abt-tofauty.ga/2019/09/tofa-na-pedia1.html
 

Attachments

  • DrGallo.jpg
    DrGallo.jpg
    41.3 KB · Views: 10
Dr Robert Gallo





for the past 3 decade, hiv has has been a deadly virus. People do refer to it as weapon of mans destruction. according to statistic, 37 million people is living with hiv globally. in 2018 the estimated death rate was 770,000 and over 44 million people has been killed since the emergence of the virus




4534fd8b1eabb9324d7d8ac990e06f44



In 1984, Dr. Robert Gallo gained worldwide fame when he co-discovered that HIV was the cause of AIDS and later developed the HIV blood test.

Now, a Facebook post says Gallo confessed that he was "forced to create the HIV virus as a secret weapon to wipe out the African race." which gallo denied the allegations.

the Anti News Network reported that Dr. Robert Gallo, who played a major role in the landmark discovery of the link between human immunodeficiency virus (better known by as the acronym HIV) and acquired immune deficiency syndrome (or AIDS), had confessed to “inventing” the virus as part of a plot to depopulate the world.

Dr. Robert Gallo, the scientist credited with ‘discovering’ the HIV virus in 1984, has admitted that he created AIDS in order to reduce the world’s population.
 
Pumba tupu...kwanza ujue HIV imeanzia marekani kwa mashoga huko vegas miaka ya 80 africa imefka 90's halafu unasema imelenga kupunguza waafrika??
HIV ilitengenezwa kwa bahati mbaya walikuwa wanatengeneza chanjo wakawa wanawafanyia nyani majaribio ile weakened virus ya kwenye chanjo ika'mutate ikawa HIV
 
Pumba tupu...kwanza ujue HIV imeanzia marekani kwa mashoga huko vegas miaka ya 80 africa imefka 90's halafu unasema imelenga kupunguza waafrika??
HIV ilitengenezwa kwa bahati mbaya walikuwa wanatengeneza chanjo wakawa wanawafanyia nyani majaribio ile weakened virus ya kwenye chanjo ika'mutate ikawa HIV
[emoji23][emoji23][emoji23] amakweli kilakitu kwa kila mda huhitaji uvumilivu/ustahmilivu na busara, sasa braza kaka hujui kwamba hapo juu ndo umeandika pumba!!? Hivi haujui kwamba HIV ukiingiza kwenye mwili wa nyani hapati madhara na anaendelea kula upepo kama kawaida!!!? So you are wrong totally according to different scientific research approaches, by then HIV haijatengenezwa kwa bahati mbaya kama ulivyo dai kwenye bandiko lako hapo juu,,, kaa ukijua kua kuna kitu mh rais wa marekan kipindihicho ndo alikiunga mkono hicho kitu kiliitwa "biological weapon" especially kwa wale watu walioitwa adui wa marekani, lakin sasa matarajio ndo yaliyobadilika mpaka sasa the world is crying all over, we live by under expectations mzee baba hii kitu pia imekua kama sehem ya biashara mpaka sasa mataifa makubwa yanatengeneza pesa ndefu kupitia ARVs so far hawa watu wa mataifa ya magharibi hawajakaa wakawa watu wema by your side, nothing do occurs accidentally, everything you see occurs for a certain purpose..

Wao hutengeneza tatizo then wanakuja kwenye mbinu ya kulitatua baada ya hapo wanajifanya wamekuja na solution towards a specific problem usishangae ukiambiwa Corona nayo imetengenezwa kwaajil ya ku bomb up the world's population by bigning with china's ppltn



There are various postulations about the true origin of Human Immune virus

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pumba tupu...kwanza ujue HIV imeanzia marekani kwa mashoga huko vegas miaka ya 80 africa imefka 90's halafu unasema imelenga kupunguza waafrika??
HIV ilitengenezwa kwa bahati mbaya walikuwa wanatengeneza chanjo wakawa wanawafanyia nyani majaribio ile weakened virus ya kwenye chanjo ika'mutate ikawa HIV
N then HIV ilifikaje kwa binadam sasa mkuu!!? Au ndo kusema after mutation huyo nyani aliruhusiwa kufanya mapenzi na binadam??

Tupe more clarifications bna

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbuka ilikuwa chanjo nimesahau ugonjwa gani ila nahisi kitu kama small pox..
Walimchanja mtu ndo ikaanza kazi HIV...ikaja kusambazwa kwa mara ya kwanza las vegas na mashoga
N then HIV ilifikaje kwa binadam sasa mkuu!!? Au ndo kusema after mutation huyo nyani aliruhusiwa kufanya mapenzi na binadam??

Tupe more clarifications bna

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nani kasema hao nyani walipata madhara??
Hao nyani walikuwa carriers tu
Halafu unaponiambia kuwa rais wa marekan aliianzisha iwe kama biological weapon inakuwaje walianza kujipiga wao wenyewe??kwanini marekani kuna ukimwi hadi leo??
Unajua jinsi chanjo za magonjwa ya virus kama small pox zinavyotengenezwa??
Kasome halafu uje apa
Unachoongea wewe ndo conspiracy theories za mtandaoni a.k.a pumba
[emoji23][emoji23][emoji23] amakweli kilakitu kwa kila mda huhitaji uvumilivu/ustahmilivu na busara, sasa braza kaka hujui kwamba hapo juu ndo umeandika pumba!!? Hivi haujui kwamba HIV ukiingiza kwenye mwili wa nyani hapati madhara na anaendelea kula upepo kama kawaida!!!? So you are wrong totally according to different scientific research approaches, by then HIV haijatengenezwa kwa bahati mbaya kama ulivyo dai kwenye bandiko lako hapo juu,,, kaa ukijua kua kuna kitu mh rais wa marekan kipindihicho ndo alikiunga mkono hicho kitu kiliitwa "biological weapon" especially kwa wale watu walioitwa adui wa marekani, lakin sasa matarajio ndo yaliyobadilika mpaka sasa the world is crying all over, we live by under expectations mzee baba hii kitu pia imekua kama sehem ya biashara mpaka sasa mataifa makubwa yanatengeneza pesa ndefu kupitia ARVs so far hawa watu wa mataifa ya magharibi hawajakaa wakawa watu wema by your side, nothing do occurs accidentally, everything you see occurs for a certain purpose..

Wao hutengeneza tatizo then wanakuja kwenye mbinu ya kulitatua baada ya hapo wanajifanya wamekuja na solution towards a specific problem usishangae ukiambiwa Corona nayo imetengenezwa kwaajil ya ku bomb up the world's population by bigning with china's ppltn



There are various postulations about the true origin of Human Immune virus

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbuka ilikuwa chanjo nimesahau ugonjwa gani ila nahisi kitu kama small pox..
Walimchanja mtu ndo ikaanza kazi HIV...ikaja kusambazwa kwa mara ya kwanza las vegas na mashoga
Sawa mi skatai huenda kweli nime andika pumba/upupu lkn sasa zipo stori nying kuhusu chimbuko la ukimwi,, sasa unapo jizatiti kutuaminisha kama vile ulikuwepo mda HIV inatengenezwa mi nakushangaa,, its just a sort of both written n narrated stories,,, and nothing doesn't occur for a certain purpose, these people are most intelligent than in a way you think.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
There is no conspiracy; scientists in various fields from molecular biology, immuonology and pharmaceutics are working day and night to solve this puzzle my friend.

Utakuta, jamaa wa NGOs, wa condoms etc hata hawako kwenye close communication ki-hivyo kusema labda wanafanya deal. Ni nature tu ya ugonjwa imekuwa challenging. Miaka ya zamani pia yalishapita magonjwa challenging kama hivyo eg small pox lakini baadaye kukawa na breakthrough.

Possibly in the next 10-15 years kwaweza kuwa na vaccine.

Na dawa ndio hizo, magonjwa kibao hayana cure mbona? Kisukari, heart disease etc?
mkuu magonjwa unayotolea mfano ni tofauti na HIV,kisukari na magonjwa ya moyo ni magonjwa ya tabia hayasababishwi na virus wala bakteria km HIV,
 
Sawa mi skatai huenda kweli nime andika pumba/upupu lkn sasa zipo stori nying kuhusu chimbuko la ukimwi,, sasa unapo jizatiti kutuaminisha kama vile ulikuwepo mda HIV inatengenezwa mi nakushangaa,, its just a sort of both written n narrated stories,,, and nothing doesn't occur for a certain purpose, these people are most intelligent than in a way you think.

Sent using Jamii Forums mobile app
Story yangu ni official na iko Scientifical kuhusu mutation ya chanjo izo...
Wewe unang'ang'ania zile story za kwenye gahawa kuhusu flat earth na freemasonry and their the hidden agenda between Satan,the U.S president and aliens

Let the truth speak brother
 
I have seen that whole documentary. You can check it out on YouTube.

To be honest HIV/AIDS is a business, there ARV's and condoms being sold. different organizations and NGOs recieving funds etc. Whenever money is involved there will be some interest groups. If you want to learn more about the business of HIV type AIDS INC. on YouTube.

The public does not have access to any scientific discoveries regarding AIDS, what we know is what we are being told especially as from poor countries they bring as medicines they say work we just have to take their word for itt. For the time being, the whole is of HIV=AIDS is being debated but all I can say is that BETTER SAFE THAN SORRY.

WHEATHER HIV CAUSES AIDS OR NOT IT DOESN'T MEAN WE SHOULD GO SLEEPING AROUND. There are still many risks that can come out of promiscuity.

Stay safe & don't try to find out first hand whether HIV=AIDS.
Kuna uongo mwingi tunao ambiwa kuhusu HIV-Aids mkuu,you are right.You are also right that Aids is a business,but based on lies.Daktari mmoja aliniambia it is World Politics at the highest level.

The following are however true for HIV-Aids :-
1.HIV-Aids virus is genetically engineered in the US.
2.It is a biological warfare agent against Africans.
3.Smallpox vaccinations were used to spread the virus.
4.Immuno-compromized individuals are more susceptible to the virus.Zipo agents nyingi ambazo zinaweza kumfanya mtu awe immuno-compromized.Many of us are now immuno-comprized,kwa hiyo HIV-Aids wameileta ili kumaliza kazi.
5.Condoms hazizuii infection by the virus kwa kuwa virusi vya HIV-Aids ni vidogo kuliko pores za Condom.Njia pekee ya kukwepa Ukimwi ni ku-abstain from sex.They however can reduce infection because of reduced friction during sex.Condomns ni biashara tu.
 
Back
Top Bottom