Dr. Robert Charles Gallo: The man who created AIDS

Dr. Robert Charles Gallo: The man who created AIDS

Kuna uongo mwingi tunao ambiwa kuhusu HIV-Aids mkuu,you are right.You are also right that Aids is a business,but based on lies.Daktari mmoja aliniambia it is World Politics at the highest level.

The following are however true for HIV-Aids :-
1.HIV-Aids virus is genetically engineered in the US.
2.It is a biological warfare agent against Africans.
3.Smallpox vaccinations were used to spread the virus.
4.Immuno-compromized individuals are more susceptible to the virus.Zipo agents nyingi ambazo zinaweza kumfanya mtu awe immuno-compromized.Many of us are now immuno-comprized,kwa hiyo HIV-Aids wameileta ili kumaliza kazi.
5.Condoms hazizuii infection by the virus kwa kuwa virusi vya HIV-Aids ni vidogo kuliko pores za Condom.Njia pekee ya kukwepa Ukimwi ni ku-abstain from sex.They however can reduce infection because of reduced friction during sex.Condomns ni biashara tu.

 
Dr Robert Gallo





for the past 3 decade, hiv has has been a deadly virus. People do refer to it as weapon of mans destruction. according to statistic, 37 million people is living with hiv globally. in 2018 the estimated death rate was 770,000 and over 44 million people has been killed since the emergence of the virus




4534fd8b1eabb9324d7d8ac990e06f44



In 1984, Dr. Robert Gallo gained worldwide fame when he co-discovered that HIV was the cause of AIDS and later developed the HIV blood test.

Now, a Facebook post says Gallo confessed that he was "forced to create the HIV virus as a secret weapon to wipe out the African race." which gallo denied the allegations.

the Anti News Network reported that Dr. Robert Gallo, who played a major role in the landmark discovery of the link between human immunodeficiency virus (better known by as the acronym HIV) and acquired immune deficiency syndrome (or AIDS), had confessed to “inventing” the virus as part of a plot to depopulate the world.

Dr. Robert Gallo, the scientist credited with ‘discovering’ the HIV virus in 1984, has admitted that he created AIDS in order to reduce the world’s population.
Huu uzi sikujua hadi sasa watu bado wanaujadili. Yaani hadi nilishasahau hata Login yangu hapa 🙂
Asanteni wote kwa michango yenu. itabidi nije niisome yote upya.
 
Lamomy njoo uone JF ya zamani ilikuwa na watu wenye akili wanadiscuss mada zao nzito nzito kwa kinge!siku hizi mara Poor Brain mara Natafuta Ajira mara huku machawa MamaSamia2025 muda wote uchawa hatari sana khaaa
Wee hii umeipatia wapi... Mbona mnafukunyua ndani 😀😀😀😀😀😀😀

Alafu mi mada zangu mbona zipo educational sana mkuu au unataka niwe nasifia mashangazi kwa lugha ya kingereza...

Uwoni kuna watu watakosa madini muhimu mkuu...
Wee assume kina Vishu Mtata wao na kingereza ni vitu viwili tofauti wenyewe wanajua kujirekodi tuu...

So we and you can discuss further details in English language but how you people will you sapport the topic in many many alot
 
Jifunze kukubaliana na contents ambazo hazikufurahishi. Hakuna ambae yupo hapa jf kutafuta validation kutoka kwako.
Jifunze kukubaliana na critics ni kweli siku hizi vichwa viko shallow sana,kama wewe mada zako zote ni za masikitiko sijui nani alijeruhi moyo wako unavuja damu unahitaji healing bro
 
Wee hii umeipatia wapi... Mbona mnafukunyua ndani 😀😀😀😀😀😀😀

Alafu mi mada zangu mbona zipo educational sana mkuu au unataka niwe nasifia mashangazi kwa lugha ya kingereza...

Uwoni kuna watu watakosa madini muhimu mkuu...
Wee assume kina Vishu Mtata wao na kingereza ni vitu viwili tofauti wenyewe wanajua kujirekodi tuu...

So we and you can discuss further details in English language but how you people will you sapport the topic in many many alot
Aisee natamani kukusikia ukisifia mishangazi kingereza mbona mwenzio mubaba ya mashangazi mzabzab anaongea kinge mzuka ukimpanda?ila huyo uliyemtaja kwani hajui kinge😂😂?
 
Aisee natamani kukusikia ukisifia mishangazi kingereza mbona mwenzio mubaba ya mashangazi mzabzab anaongea kinge mzuka ukimpanda?ila huyo uliyemtaja kwani hajui kinge😂😂?
Pale hamna kazi an hajui hata kidogo..

Alafu kama unataka nianze kumsifia shangazi dorry kwa kingereza mbona nitagombana na watu humu....
Mybe i can try those 😀😀😀😀🙌🙌🙌
 
Jifunze kukubaliana na critics ni kweli siku hizi vichwa viko shallow sana,kama wewe mada zako zote ni za masikitiko sijui nani alijeruhi moyo wako unavuja damu unahitaji healing bro
Critics nakubaliana nazo na hata ukija kwenye threads zangu utaona kuna wanaonipinga kwa hoja na tunajadiriana kila kitu kistaarabu lakini

Hata siku moja siwezi kwenda kwenye threads za watu kulazimisha waandike contents ninazozitaka mimi kwa sababu najua jf ni jukwaa huru kila mtu ana profile yake na kila mtu ana uhuru wa kuandika anachokitaka muhimu tu asivunje sheria na miongozi iliyowekwa.

Nitakachokofanya ni kumpiga mtoa mada kwa hoja kama nikiona kuna sehemu hayupo sahihi, lakini sio kumlazimisha aandike ninavyotaka mimi au vile inavyonifurahisha.

Mambo makuu ambayo huwa nawasisitiza vijana wenzangu ni kufocus kwenye maendeleo yao na sio mahusiano, pamoja na kutofanya uzembe wa kupuuzia red flags na past ya mwanamke pale wanapoamua kujenga committed relationship. Sasa kama mahudhui hayo kwako wewe ni masikitiko na ishara ya kuumizwa basi utakua na shida kwenye akili yako.

When you mess your past up, accept the mess and face the consequences. The Truth is incontrovertible, malice may attack it, ignorance may deride it, but in the end , the truth is the truth.
The truth is that every seed you plant in life you will reap. If you plant laxity and promiscuity, be ready to reap a whirlwind of disaster in the future.

Know the truth so that it sets you free.
 
Critics nakubaliana nazo na hata ukija kwenye threads zangu utaona kuna wanaonipinga kwa hoja na tunajadiriana kila kitu kistaarabu lakini

Hata siku moja siwezi kwenda kwenye threads za watu kulazimisha waandike contents ninazozitaka mimi kwa sababu najua jf ni jukwaa huru kila mtu ana profile yake na kila mtu ana uhuru wa kuandika anachokitaka muhimu tu asivunje sheria na miongozi iliyowekwa.

Nitakachokofanya ni kumpiga mtoa mada kwa hoja kama nikiona kuna sehemu hayupo sahihi, lakini sio kumlazimisha aandike ninavyotaka mimi au vile inavyonifurahisha.

Mambo makuu ambayo huwa nawasisitiza vijana wenzangu ni kufocus kwenye maendeleo yao na sio mahusiano, pamoja na kutofanya uzembe wa kupuuzia red flags na past ya mwanamke pale wanapoamua kujenga committed relationship. Sasa kama mahudhui hayo kwako wewe ni masikitiko na ishara ya kuumizwa basi utakua na shida kwenye akili yako.

When you mess your past up, accept the mess and face the consequences. The Truth is incontrovertible, malice may attack it, ignorance may deride it, but in the end , the truth is the truth.
The truth is that every seed you plant in life you will reap. If you plant laxity and promiscuity, be ready to reap a whirlwind of disaster in the future.

Know the truth so that it sets you free.
Eeeh umeamua kugonga ngeli haya ndio mambo tunataka muwe mnaanzisha mada za kinge tumechoka malalamiko ya kiswahili...
 
Eeeh umeamua kugonga ngeli haya ndio mambo tunataka muwe mnaanzisha mada za kinge tumechoka malalamiko ya kiswahili...
Kule kwenye jukwaa la english only kuna mada nyingi sana za kingereza unaweza ukaweka kambi kule.

Mimi pia nina articles zangu za kingereza hapa jf, ninazozikumbuka kwa haraka ni hizi mbili hapa chini
-Indirect competion and nice people syndrome
-Equal right comes with equal responsibility.
Unaweza ukazipitia na kuchangia mawazo yako pia
 
Wee hii umeipatia wapi... Mbona mnafukunyua ndani 😀😀😀😀😀😀😀

Alafu mi mada zangu mbona zipo educational sana mkuu au unataka niwe nasifia mashangazi kwa lugha ya kingereza...

Uwoni kuna watu watakosa madini muhimu mkuu...
Wee assume kina Vishu Mtata wao na kingereza ni vitu viwili tofauti wenyewe wanajua kujirekodi tuu...

So we and you can discuss further details in English language but how you people will you sapport the topic in many many alot
Nakushauri uache chuo dogo, huna unalojifunza huko labda kama wanatoa course za kupiga chabo na kucontrol mishangazi.

Your English is very bad my friend.
 
Nakushauri uache chuo dogo, huna unalojifunza huko labda kama wanatoa course za kupiga chabo na kucontrol mishangazi.

Your English is very bad my friend.
Not bad but is not am speaking everday ila ican speaker always and it will be good
 
Lamomy njoo uone JF ya zamani ilikuwa na watu wenye akili wanadiscuss mada zao nzito nzito kwa kinge!siku hizi mara Poor Brain mara Natafuta Ajira mara huku machawa MamaSamia2025 muda wote uchawa hatari sana khaaa
Dada utapigwa kabla hujala pilau la Xmas 🤣🤣

Mi ndiomana mwenzio namsomaga Nyani Ngabu hawa wengine siwaelewi wana sukari nyingi na makasiriko, muda wote wanawaza mbususu na kupigwa mizinga..!!

Wengine wao kila muda “Mama anaupiga mwingi” 😹
 
Back
Top Bottom