Dr Salim Abdulla akamatwa kwa kosa la Ugaidi ?

Hivi Centre iliyojaa wasomi kama hii kweli haina up to date information kwenye world wide web? Itakuwaje data zilizopatikana ni zile za mwaka 2003/2004? Kuna taabu gani kuweka list na nafasi za hao wasomi ili dunia nzima iwatambue? Au hata hili imekuwa ni siri? Naona web site yao inajengwa! Mpaka lini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…