hivi mtu kama yeye akiingia upinzani atakosa nini ambacho anakipata kwa kuwa ccm
kama kweli anauchungu na nchi hii chadema wanatafuta mtu wa kumsimamisha 2010.
zitto mshauri rafiki yako agombee kupitia chadema
Karume na Seif wameshaishtukia CCM bara kutaka kuwaletea mgombea kwa maslahi ya bara, wameamua kuunganisha nguvu for common interest ya Zanzibar ili kamwe bara sio tuu isiiburuze Zanzibar, bali pia isdictate terms.
Wataweka secret aliance na CUF kama CCM bara itateu mgombea kinyume cha matwaka ya Karume, CCM Zanzibar itamback Maalim na WK atakuwa mtu wa Karume.
Tetesi za FMES ni za ukweli na zinazungumzwa sana katika political corridors. Ninachoona, kutokana na kusikia na kuchunguza maoni ya wanasiasa, SAS atakuwa Union vice President mwakani. Sioni akienda Zanzibar kuwa Rais.
Karume anahangaika sana kutaka mrithi wake awe mtu wake maana kuna madudu ambayo familia yake imefanya Zanzibar ikiwemo kujilimbikizia mali nk. Jaji Mkuu wa sasa ndio chaguo la Karume. Mohamed Gharib Billal ana nafasi kubwa sana ya kuteuliwa na CCM kuwa mgombea.
Hata hivyo ni wazi kabisa kuwa uchaguzi ukiwa wa huru na haki Maalim Seif atamshinda mgombea yeyote wa CCM.
Mpaka sasa Dr Shein Mohamed ametokea kuwa kiongozi pekee msafi katika siasa za Tanzania sioni sababu za msingi za kumuengua kwenye umakamu wa rais.
Tetesi za FMES ni za ukweli na zinazungumzwa sana katika political corridors. Ninachoona, kutokana na kusikia na kuchunguza maoni ya wanasiasa, SAS atakuwa Union vice President mwakani. Sioni akienda Zanzibar kuwa Rais.
Karume anahangaika sana kutaka mrithi wake awe mtu wake maana kuna madudu ambayo familia yake imefanya Zanzibar ikiwemo kujilimbikizia mali nk. Jaji Mkuu wa sasa ndio chaguo la Karume. Mohamed Gharib Billal ana nafasi kubwa sana ya kuteuliwa na CCM kuwa mgombea.
Hata hivyo ni wazi kabisa kuwa uchaguzi ukiwa wa huru na haki Maalim Seif atamshinda mgombea yeyote wa CCM.
hivi mtu kama yeye akiingia upinzani atakosa nini ambacho anakipata kwa kuwa ccm
kama kweli anauchungu na nchi hii chadema wanatafuta mtu wa kumsimamisha 2010.
zitto mshauri rafiki yako agombee kupitia chadema
Kamanda..Mpiganaji unaongelea JAJI mkuu AGUSTINO RADHAMANI au HAMID[correct me if otherwise]...CJ wa ZANZIBAR??
Tetesi za FMES ni za ukweli na zinazungumzwa sana katika political corridors. Ninachoona, kutokana na kusikia na kuchunguza maoni ya wanasiasa, SAS atakuwa Union vice President mwakani. Sioni akienda Zanzibar kuwa Rais.
Karume anahangaika sana kutaka mrithi wake awe mtu wake maana kuna madudu ambayo familia yake imefanya Zanzibar ikiwemo kujilimbikizia mali nk. Jaji Mkuu wa sasa ndio chaguo la Karume. Mohamed Gharib Billal ana nafasi kubwa sana ya kuteuliwa na CCM kuwa mgombea.
Hata hivyo ni wazi kabisa kuwa uchaguzi ukiwa wa huru na haki Maalim Seif atamshinda mgombea yeyote wa CCM.
Mkuu Zitto vipi CHADEMA bara 2010 hawana kitu??
naona umeshapanga safu kabisa JMK presidee na SAS vice presidee.... Au ndio ile adui mwombee njaa sababu unajua jamaa hawaivi kabisa NA SAS hawezi kukubali kufanywa kama Shein alivyofanywa Nyoka la Kibisa....hana madhara kabisa...
Tetesi za FMES ni za ukweli na zinazungumzwa sana katika political corridors. Ninachoona, kutokana na kusikia na kuchunguza maoni ya wanasiasa, SAS atakuwa Union vice President mwakani. Sioni akienda Zanzibar kuwa Rais.
Karume anahangaika sana kutaka mrithi wake awe mtu wake maana kuna madudu ambayo familia yake imefanya Zanzibar ikiwemo kujilimbikizia mali nk. Jaji Mkuu wa sasa ndio chaguo la Karume. Mohamed Gharib Billal ana nafasi kubwa sana ya kuteuliwa na CCM kuwa mgombea.
Hata hivyo ni wazi kabisa kuwa uchaguzi ukiwa wa huru na haki Maalim Seif atamshinda mgombea yeyote wa CCM.
- Ahsante Mheshimiwa Zitto, maana ukizikubali dataz wewe basi amina, tatizo la hii idea ni what to do kati ya maadui wakubwa Amani na Ali? Hasa Ali anayedai Amani amenufaika mno na jina la baba yake, sasa it is his time na yeye!
- Si unajua the word is Amani ni mtoto wa Abdulrahman Babu, mama alichanganya somehow somewhere, yes I said it that is the word!
Respect.
FMeS!
- Si unajua the word is Amani ni mtoto wa Abdulrahman Babu, mama alichanganya somehow somewhere, yes I said it that is the word!
mheshimiwa mbunge unanichekesha sanaaaaaa!hamid
- ramadhani ingekuwa kijirev enh?
Miye simo!
On Ali - hata yeye kanufaika sana. Yupo foreign service kwa muda gani sasa?
Naungana na wengine kuwa Zanzibar is too small for him, yule anastahili kuwa rais bara