Dr. Salim: The Conspiracy ..&.. Dataz!

 

Salim atashinda urais kule tena kwa kishindo kikubwa sana kwa sababu yeye na CUF wanachukua hela zao kwa tajiri mmoja huko Oman,
 
Hapa unatetea rushwa, i.e. kwa yoyote ambae anataka kuwa rais Tanzania lazima awe na uncle uarabuni au popote pale ulimwenguni, then unabadilika na kusema maneno hayo hapo juu.
 
Kumbuka umeleta mada rejea jinsi ulivyoileta:
.......................................According to the dataz, tatizo moja linasimama to this idea nalo ni Ali Karume, anyways wakuu JF mnaionaje hii?


Ni katika maneno hayo hapo juu ........ wakuu ambao ni sisi hapa JF tunaionaje, kama ungetaka kuiona unavyopenda usingeileta hapa au?

SAS ni mla rushwa kwa kuchukua pesa Oman na unamtetea is this real?

Pesa anayopata kwa marupurupu (pension) over 30 yrs of service bado haitoshi? Kwa nini hakukemea Ufisadi ni kwa sababu na yeye ni mojawapo au?
 
 
Salim atashinda urais kule tena kwa kishindo kikubwa sana kwa sababu yeye na CUF wanachukua hela zao kwa tajiri mmoja huko Oman

Haya maneno umesema wewe sio mimi ama?
 
Haya maneno umesema wewe sio mimi ama?

- what is your point, nimesema CUF hawawezi kushindana na Salim kwa sababu anayewapa hela ni mmoja na hatakubali wamharibie, sasa unasema kupewa hizo hela ni kinyume na sheria zetu?

- Sheria zipi hizo ziweke hapa?


es!
 
- what is your point, nimesema CUF hawawezi kushindana na Salim kwa sababu anayewapa hela ni mmoja na hatakubali wamharibie, sasa unasema kupewa hizo hela ni kinyume na sheria zetu?

- Sheria zipi hizo ziweke hapa?

es!


Kaka heshima mbele,

Hii kitu ya Salim kuchukua pesa Oman mwenyewe unajua ni jungu mana haina ukweli wala uthibitisho wowote ule. Kwamba kuna tajiri wanachukua pesa ni propaganda chafu ambazo wapinzani wa Salim wanaeneza. Kwanza yeye mwenyewe hana interest na nafsi yeyote ya kisiasa nchini na nadhani sasa tumwache atulie zake maana tunarudi kulekule mwaka 2005!

I am sure you will be the last to pour lies on SAS as you know how its hurts. Nadhani umenielewa
 

- Kwa sababu ninakuheshimu sitakujibu ipasavyo, ila naomba utafute time kujua aliyoyafanya Adis ndio utajua connection yake na Oman,

- Na ujue mwanzo wa kifo cha ghafla cha mlinzi wake sababu ilikuwa ni nini? Lies hapana huwa sina hizo huwa ninakuwa na facts na ninaweza kuziweka hapa kwamba wote CUF na SAS politically wanafadhiliwa na mtu mmoja kule Oman, na ni hela hizo hizo alizozitumia kumnunulia gari la kumfanyia Kampeni Mzee Ndejembi kabla hajakatazwa na Mkapa! Na ni m-Oman huyo huyo aliyempa dau kubwa Lipumba kuliko la CCM la Shllingi Millioni 50!

Respect.


FMEs!
 
Vipi ule mradi wako wa kazi kwa dollar 300???uliwapata watu wangapi???tuhabarishe basi yaliyojiri maanake kula naona thread imekufa kivile...bwa..ha..ha..ha.
 
Vipi ule mradi wako wa kazi kwa dollar 300???uliwapata watu wangapi???tuhabarishe basi yaliyojiri maanake kula naona thread imekufa kivile...bwa..ha..ha..ha.

- Hapa ninamuongelea Salim na dataz zake, sio kazi wala Sophia Simba Bwa! ha! ha! samahani sana mkuu, wewe kaufufue ule mjadala kule nitakuja sio hapa.

es!
 
Naungana na wengine kuwa Zanzibar is too small for him, yule anastahili kuwa rais bara

Really?
Is SAS bigger that his motherland Zanzibar? Are we serious? Not sure!
Ninachojua SAS aliwahi kuteuliwa ubalozi na uwaziri, na baadaye kupendekezwa na Mwalimu Nyerere kuwa Katibu Mkuu wa OAU.
Kote alikopita hakuwahi kuonyesha uongozi wa aina yoyote. Nasema mwenye ushahidi aseme 'legacy' ya uongozi wa SAS nini?
Bora hata Mrema (police posts), na Maalim Seif (CUF/upinzania Zanzibar) wana legacy, lakini siyo SAS!
Msipoteze muda wa Watanzania, SAS is finished; alishindwa kuonyesha uongozi OAU. He is indecisive, period! Ameshindwa hata ku-raise profile ya MNF! SAS only banks on the history of being merely lucky, in the past; a young diplomat, UN SG contestat (1981) handsome PM (1984-1985), deputy PM and defense minister (1986-1990), OAU SG 1991-2002). Hizo zote zilikuwa juhudi za Nyerere. Hata hivyo hakuna mahali alipoteuliwa aliweza ku-excel. Mzigo tulioubeba kwa Kikwete unatosha, wapo watanzania wengine wenyeuwezo kuongoza Tanzania; tuwape nafasi watuongoze. Tunachotakiwa kufanya ni kupigania mfumo utakaotuwezesha kukamua wagombea hadi tumpate mtanzania mwenyeuwezo kuliongoza taifa letu. Explore outside the Box; CCM box!!!
 
lakini hii ya vice inatakiwa iendane na kumpunguzia madaraka raisi na kuongezewa kwa vice president. ndio itakuwa na maana kwa sas ama sivyo itakuwa hizi siasa zetu za maji taka, pili kikwete awe ametekeleza maazimio ya bunge, sio kwenda kumchafua sas za sasa za mtandao/na ufisadi wao dakika za mwiso
 

Chukua 5
 

- Ndio maana tumesema hii kama ikifanikiwa itakuwa ndiyo nafasi yake ya kuonyesha uwezo wake kiuongozi maana hatuujui wengine, lakini ya kumsifia sijui kama kuna aliyefanya hivyo!

es!
 
Mkuu wangu humjui Salim hata kidogo..Unasoma magazeti na kuorodhesha vitu pasipo kujua hata huyo rais wako sasa hivi hana vipaji hivyo.. Sii Mwinyi wala Mkapa walokuwa na robo ya CV hiyo na wamekuwa viongozi wa nchi..Wewe ulitaka afanye kitu gani haswa ili umpitishe!

Je, unajua kwamba akiwa na umri mdogo kabisa alikuwa mmoja kati ya wana Mapininduzi ya Zanzibar toka kwa Sultan..Ebu nambie kati ya viongozi wote waliopo leo Zanzibar na bara nani kati yao alishiriki kama sii kudandia nchi ilokwisha kombolewa na kwa hilo mnamweka msalabani..
Jamani kuweni watu wa shukran leo mpo huru na mnatamba katika ardhi huru
 
- Ndio maana tumesema hii kama ikifanikiwa itakuwa ndiyo nafasi yake ya kuonyesha uwezo wake kiuongozi maana hatuujui wengine, lakini ya kumsifia sijui kama kuna aliyefanya hivyo!

es!

salim ameshashika nafasi mbali mbali TZ na sio kama amekuwa OAU mda wote. kitu kikubwa salim alichokifanya ni kuwahonga wanajeshi magari mapya.


historia ya SAS TZ
Minister for Foreign Affairs 1980-1984 (miaka 4)
Prime Minister of Tanzania 1984-1985 (mwaka 1)
Deputy Prime Minister of Tanzania 1986-1989 (miaka 3)
Minister for Defence and National Service 1986-1989 (miaka 3)
jumla ya miaka aliyofanya kazi TZ ni 11
miaka 11 mtu hana legacy halafu bado mnataka kumpa mingine, mrema amekuwa mda mfupi tu na ameacha makucha yake

salim ni mtu wa kujificha au unaweza kusema ni mtu wa kuplay safe, alijificha kikwete matokeo yake tumeyaona, na sasa salim anajificha ndio yale yale ya kikwete....
huyu hapa chini ni mrema, miaka 5 tu ya uwaziri

Minister of Interior 1990-1994
Deputy Prime Minister (a position not in the Tanzanian Constitution) 1993-1994
Minister of Labour, Development and Sports 1994-1995

kama mtu ameshidwa kuonyesha uwezo kwa kipindi cha miaka 11 na akiwa kijana, je huo uwezo atautoa wapi akiwa na miaka 73????????????

note: nia na madhumuni sio kumshindanisha mrema vs SAS bali ni kuongelea utendaji wa SAS
 
Mkuu wangu humjui Salim hata kidogo..
Jamani kuweni watu wa shukran leo mpo huru na mnatamba katika ardhi huru

- Bob ni jana tu nilikuwa ninaambiwa na mkulu mmoja kuhusu vijana wa sasa kutoheshimu amani yetu na uhuru tulionao na kudhani ulijileta tu, saafi sana maneno yako mazito sana!

Respect.


FMEs!
 
Semilong,
Kwa mtazamo huo huo wa ujenzi wa legacy, nambie nani anafaa kuwa rais Tanzania. maanake tunapishana upimaji.
 
Semilong,
Kwa mtazamo huo huo wa ujenzi wa legacy, nambie nani anafaa kuwa rais Tanzania. maanake tunapishana upimaji.
JOHN POMBE MAGUFULI eeebooo na sie wa kanda ya ziwa tupate rais.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…