TANZIA Dr. Sengondo Mvungi afariki Dunia

Pumzika kwa amani kiongozi hatimae Haki yako imepatikanaa...!!
 
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
 
Ulikuwa mdogo au ulikuwa huijui JF au leo ni matanga
 
Ulikuwa mdogo au ulikuwa huijui JF au leo ni matanga
 
Ni huzuni kwa Taifa kwani masahibu yaliyopelekea umauti yanatokana na kazi ya kuhuisha roho ya Taifa (Katiba ya Nchi). Mungu ailaze roho yake mahala pema.
Katiba nzuri yenye kubeba maoni, fikra, na mitizamo ya Wananchi walio wengi zaidi katika nchi Kamwe haijawahi kupatikana hivi hivi tu kwa urahisi, kuna gharama kubwa sana ya kulipa ya machozi, jasho na damu.

RIP Dkt. Sengondo Mvungi.
RIP Mchungaji Dkt. Christopher Mtikila.
RIP Prof. Juan Mwaikusa.
 
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…