Dr. Shayo wa UK si bingwa wa uchumi

Point is, you cant have an Economist being an Engineer. But you can have an Engineer being an Economist or Financial Modeller as someone pointed out. Ndio kina John Nash hao.......ila usiweke John Nash na Dr. wetu katika sentensi moja.

Dogo, kanda2. Inawezekana huyo Dr.Shayo si bingwa wa uchumi kutokana na vigezo vyako. Sina ubishi sana kwenye hilo. Ila ninakupinga unaposema kuwa huwezi kuwa bingwa wa uchumi bila kuwa na misingi ya uchumi. Na hapa unamaanisha BSc in economics. Hilo nakukatalia. Hata Nzokanhyilu atakukatalia hilo. In fact, the above quotation supports my arguments.

Naona unawapigia debe sana hao queen mary uni. Sasa ngoja nikupeleke kwenye CV za wakali wa Havard. Kama umesoma uchumi, nadhani unamfahamu Robert Baro. Degree yake ya kwanza nini? Physics. Aint it? Leo Unaweza kumlinganisha Ndullu na Robert Baro? Tofauti yao ni kama Mlima kilimanjaro na kichuguu cha mchwa.

Angalia CV ya baro hapa:Harvard Econ Department - Contact Info for Robert Barro

Unamjua Robert Lucas, Jr? Nobel price winner wa Economics Degree yake ya kwanza ni HISTORIA. Mwaka 1961!

Angalia hapa:Robert E. Lucas, Jr.

Narudia tena. Inawezekana Dr.Shayo si bingwa wa uchumi, lakini sio lazima kusoma uchumi shahada ya kwanza ili uweze kuwa mchumi mahiri. Kwa taarifa yako, LSE wanaweza ku-reject hiyo MSc yako ya Queen marry katika application ya PhD na wakamchukua mtu aliyesoma Electrical Engineering, Stanford University. We know!

 
Mwanamalundi, I support you arguments.
Lakini nadhani argument ya Kanda2 ni kwamba, ishu hapa ni mtu kuji-potray ni 'Bingwa wa Uchumi'.

Jamaa kama ana degree ya Uchumi @BSc level (sijui miaka mingapi iliyopita, from Tanzania, where we cant run or control our economy), skills za uchumi haziwezi potea (na ndio nikatoa mfano wa Engineers kuwa Economists, ila asipotumia skills kama Engineer kwa miaka 2 au 3 hapati kazi kama Engineer tena, hata kama anaweza bangaiza na akatoa Engineering logic). On that logic, kuna waTanzania wana-make Financial decisions kwenye Financial district ya London, hawa tutawaita nani? Ishu ni yeye kujiita 'Bingwa wa uchumi' kabla hajajiita 'Bingwa wa mazingira' ambayo alifanyia PhD na kazi anayofanya kila siku (na hajaandika hata paper moja kwenye journal ya maana if at all).

To be honest mi sioni hata point ya ku-argue kuhusu hii issue. Iko obvious. Ishu ya muhimu zaidi ni watu kuingizwa mjini na shule sub-standard. Kuhusu bingwa wa uchumi, mwache awape darasa walio tayari kusikiliza. The fact unaweza soma the Economist ulaya, ukaenda kutoa opinion Tanzania, which is same as plagiarising a valentine's poem and hoping no one catches you. At this pace, I can watch the Bloomberg channel for 1 week and I will be an Economic Expert by Tanzanian standards.
 

MwanaMalundi:

Hizo arguments zako nilizitetea mwanzoni hapa. Kuna watu wana rare abilities au pure talents. Wanaweza kufanya chochote wakitakacho kwa wakati wowote wautakao.

Wakati wa vita vya pili vya dunia shughuli nyingi zilikatizwa na kuna watu waliacha kazi zao kwa zaidi ya miaka minne na baadaye kurudi pale walipoacha.

Lakini ni lazima tukubaliane kuwa watu hawa ni wachache, labda 2% ya general population.
 

Mwanamalundi mwana wane naona inabidi umnyeshee mvua kabisa acha tu kumtisha na mawingu ili aelewe, na ndio maana nulimuuliza jamaa yeye binafsi alishawahi kusoma uchumi.

Modern Economics is linked to everything, sijui huyu jamaa kunda2 anaongea nini mfano the US secretary of treasurely /Waziri wa fedha and BA in government studies , then MA in Economics and International studies and he is one of the most trusted financial Guru unataka kuniambia angekuwa hajui uchumi angewekwa kuwa waziri wa fedha?

Mzee ninadhani hujui au nyie ndio mlio klemu , ulimwengu umebadilika sana ,na kama una degree ya upishi apply Msc Economisc watakukubali tu, especially UK is the easiest country to get MSC Admission
 

LeoKweli:

Nadhani inabidi usome aliyoandika Nziku vilevile. Nchi nyingi zilizoendelea watu wanapomaliza shule wanaanza kazi kama Entry level na kwenda juu. Na katika sehemu nyingi za kazi, watu wanapata seminars, trainings na exposures ambazo zinawapa ujuzi mkubwa sana ambao hata mashuleni haupatikani.

Wewe kama umesomea upishi, Master bila uzoefu wa kazi, seminars na trainings haitakusaidia.
 

Mbunge Zakia Meghji ameshika wadhifa wa waziri wa fedha hakuwa na uchumi.

Gordon Brown alishika wadhifa huo wa waziri wa fedha kwa muda mrefu lakini kasoma HISTORY unalijua hilo dr?.

wote walipewa uwazii wa fedha licha ya kuwa na elimu ya uchumi,waziri anakuwa na watendaji ni mwana siasa tu. lakini mtu kugawa business cards kuwa yeye ni bingwa wa uchumi ASSOCIATE PROFESSOR unalionaje?
tumewahi kuwa na magavana Edwin Mtei bingwa wa LITERATURE,marehemu RUTIHINDA nae alikuwa gavana akiwa na elimu ya INTERNATIONAL RELATIONS.

naona tufunge mjadala kwani hamna hoja.mkiambiwa mnakuja juu ooh kwani kama kasomea mazingira hawezi kuujua uchumi,mtu ambaye muajiri wake hajasema ni associate professor wa uchumi lakini yeye anagawa kadi kupose kama ni professor. anaweza kupewa nafasi ambazo si za kitendaji kama kuwa waziri wa fedha nafasi isiyohitaji ujuzi wa uchumi lakini hawezi kupewa nafasi kwenye jamii kuwa ni mchumi.

aache mchezo wa kugawa kadi akiri kuwa ana upenda uchumi ila sio bingwa hapo tutamkubali na kumpongeza lakini ndugu huyo elimu ya maana anayo na PhD yake ni halali sio kama za kina KAMALA,NAGU,NCHIMBI,MAHNGA,LUKUVI ANA DIGRII YA UONGO TOKA MAREKANI.
nahitimisha mjadala nakwenda kumshughulikia Sumaye.
 
Ijumaa ya wiki hii ni siku ya mazingira duniani tunaomba watalaam wa Mazingira watuletee makala au mada juu ya faida za Mazingira.
 

anagawa business cards kama associate professor wa uchumi.hivi sasa kaandika makala juu ya Gaddafi na ugaidi badala ya Libya na Mazingira.
 
Baada ya kufuatilia mjadala huu tangia mwaka jana, ninaomba kuuliza maswali machache:Hivi ndugu zanguni,
Huu mjadala unataka tupate nini hasa?
Kama mtu anajifanya mchumi au siyo, ali mradi hajamdhuru mtu na taaluma yake, kuna dhambi gani?
Wangapi tulianza na taaluma fulani na hatimaye tukajiendeleza kwenye taaluma zingine na tuko huru na kuheshimika kwa michango yetu?
Hivi ni lazima kujifunga na taaluma moja tu?
Binafsi sioni kama tunafungwa na taaluma moja.
 
After reading this diatribe about "Dr Shayo si Bingwa wa Uchumi", I came across the reference to Mzee Edwin Mtei, former governor of the Bank of Tanzania and Minister of Finance, where it was stated that he was not an economist but that he graduated in Literature. He lives in Arusha and so I telephoned him to confirm.

Mzee Mtei graduated from Makerere University College in 1957, with a Degree not in Literature, but in Political Science, History and Geography. He is proud of the fact that he is capable of working with experts in economics, finance and of late even agriculture. He points out that early in his career he attended many seminars and short courses in financial and economic management organized by intitutions like the IMF, the Bank of England as well as the Devonshire Course then run by Cambridge University.

Mzee Mtei says that he is an avid reader, but also that once he is convinced that he has something to contribute, he speaks his mind candidly and with courage. He invited me for a visit to show him how he can properly access the Jamii Forums on his P.C. I may visit him soon and I hope he can rejoin JF and let us have some contribution.
 
hapa UK ukimaliza degree kuna kitu kinaitwa graduate scheme wao wanachukua wanafunzi waliomaliza degree na masharti yao ni uwe umepata first class or 2:1, ukianza kazi wanakufundisha vya kutosha

ma economist wengi wakubwa degree zao za kwanza ni engineering, mathematics na physics...
the most important skills mtu anatakiwa awe nazo ili kuwa mchumi mzuri ni mathematics, lakini TZ watu wasio jua hesabu wengi ndio wachumi, nashangaa sanaaa
 
Mkuu Zakumi thanks for your very educative posts. Watanzania bado tuna tatizo kubwa kabisa kujua nini maana ya kusoma na kuelimika.
 
Sasa kama ndio ameamua kuja Tanzania labda anataka ubunge kama unavyojua kuwa kipindi chake kinakuja
 

Mimi namuunga mkono kanda2 kwasababu ana ujasili wa kusema vitu ambavyo wengi wetu tunaogopa eti tutaambiwa tuna wivu!! Unaposema kuwa fulani hana sifa fulani na unatoa ushahidi tosha wa chuo anachosema anahusika nacho, unaisaidia nchi yako dhidi ya ufisadi wa elimu ambao athali zake ni mbaya sana kwa maendeleo ya nchi!! Ushahidi tunao pale chuo kikuu Mzumbe watu walikuwanafundisha miaka nenda miaka rudi tukifikili wanawaelimisha wanafunzi kwa elimu stahiki kumbe sivyo; matokeo yake ndio hao wahitimu wa Mzumbe waliofundishwa na waalimu feki wanapata taabu wakienda kusomea shahada za juu na hao waliomakazini utendaji wao ni duni!! Hapa hakuna mambo ya wivu ni mambo ya kuwekana sawa kitaaluma kwa faida ya watoto wetu na vizazi vijavyo!
 
Aluta usichanganye mada uwazili ni cheo cha kisiasa,aijalishi umesoma nini wewe kazi yako ni kuamlisha tu hata kama aiwezekani,labda hoji makatibu wakuu
 
kwani ni lazima hawe na direct degree ya uchumi hili hawe an expert kwenye hayo masuala?

kama mtu ana produce solid arguments based on principles its enough cha msingi ana background ya social science for instance goegraphy za ulaya aint that just another econimics, au social policy doesnt it entail some elements of economics.

any of those graduates can become exparts with a little bit of self reading after their degrees. We are not talking about bankers, were talking about social reformers here.
 
Upo sahihi sana lakini leteni hapa CV yake full na kuona kama kweli huyu mtoa mada amesema ukweli
 

Huyu mchumi aliyebobea mbona ameacha kutuma makala zake pale michuzi blog?

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…