Dr. Shika kuchapwa viboko 12

Dr. Shika kuchapwa viboko 12

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001


Kaka yake Dr. Shika aitwaye Palanya, umri miaka 84, amesema Dr anakabiliwa na kosa la kudharau kwao, na hamna msamaha isipokuwa viboko 12.
Dr. Shika kwa upande wake, kasema hana mpango wa kwenda kwao kwakuwa wazazi wake walishafariki.
 
Back
Top Bottom