Dr. Shika Mwonekano Mpya

Halafu umwambie Bongo Bahati Mbaya lazima akutemee mate
 
Working permit ndo tabu kule hakutoka na chochote
Maana yake hata hiyo digrii moja inaweza kuwa ni swaga? basi si alikuwa rural medical assistant kabla hajaenda huko si atumie basi hata hicho ?
 
Zile pesa zake hazijafika? Maana tuliambiwa ameshalipia bima
 
Hama nchi[emoji23] [emoji23]
 
Kamaliza mwaka vizuri na 2018 anaingia nayo saaaafi.
 
Hyo ndyo pesa ukiwa nayo unaweza kubebewa hata korodani zako kwenye grasi ya juice
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…