Dr Shika ukipata fedha zako tafadhali nikopeshe 290M

Dr Shika ukipata fedha zako tafadhali nikopeshe 290M

Babu Kijiwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2010
Posts
4,830
Reaction score
4,729
Heshima kwako Dr, nafahamu wewe ni mwanachama hapa Jf, najua utaisoma hii post, kama kichwa kinavyojieleza tafadhali naomba unikopeshe kwa muda wa miaka 3 bila riba.
Naamini itapendeza zaidi. Ni PM ukifanikiwa.
 
Ngoja nijifunze kitu kutoka Russia na bima ya kutuma hela inatoka Africa wakati fedha zipo huko...
 
Back
Top Bottom