Elections 2010 Dr. Slaa aitaka tume ya uchaguzi kusimamisha zoezi la kuhesabu kura mara moja

Elections 2010 Dr. Slaa aitaka tume ya uchaguzi kusimamisha zoezi la kuhesabu kura mara moja

sio kosa lako bali ni upeo wako mdogo wa kufikiria sababu ulizaliwa MWANANYAMALA kwenye foleni

Na wewe mwenye upeo mkubwa wa kufikiria ulizaliwa wapi vile? Kwenye "nolinoli"? Teh teh teh!!!!!

Mshapigwa mabao, :tape: mdomo wako na endelea kuuguza maumivu ya moyo!!! Teh teh teh!!!!

By the way, kule jimbo la Hai watakuwa na sherehe ya kumuapisha Silaa kuwa Rais wa JMT! Je wewe utahudhuria? Teh teh teh!!!!!
 
Back
Top Bottom