jossey1979
Senior Member
- Apr 28, 2008
- 172
- 42
Maudhi mengine Bwana, Siasa ni uchafu, inanuka kero tupu. Sasa sijui Mbowe kshikishwa na CCM? Kama una akili timamu huwezi kumuachia Dr.Slaa agombee Uraisi huku ukijua hatashinda matokeo yake Bunge litasinzia, litabaki halina msisimko.
Maudhi mengine Bwana, Siasa ni uchafu, inanuka kero tupu. Sasa sijui Mbowe kshikishwa na CCM? Kama una akili timamu huwezi kumuachia Dr.Slaa agombee Uraisi huku ukijua hatashinda matokeo yake Bunge litasinzia, litabaki halina msisimko.
Maudhi mengine Bwana, Siasa ni uchafu, inanuka kero tupu. Sasa sijui Mbowe kshikishwa na CCM? Kama una akili timamu huwezi kumuachia Dr.Slaa agombee Uraisi huku ukijua hatashinda matokeo yake Bunge litasinzia, litabaki halina msisimko.
Unataka akuoe wewe usijichekeshe chekeshe denda kwa RA wako aliyekununulia Laptop.mansap alikuwepo kumuunga mkono? Watoto jee?
hata spiks sita
r.a
el
chenge
karamagi.
Dk slaa
Unataka akuoe wewe usijichekeshe chekeshe denda kwa RA wako aliyekununulia Laptop.
familia yake kumuunga mkono
mgombea mwenza wa cahdema
kampeni za dk slaa kanda ya pwani , tanga na Zanzibar
timu ya kampeni ya dk slaa
majibu ya maswala ya mahakama ya kadhi na oic kutoka kwa wananchi
hapa ndipo penye mgogoro
wakati unapoenda kupokea mshahara wako kwa RA huwa unaenda na mamsapu wako na watoto?mansap alikuwepo kumuunga mkono? Watoto jee?
Kikwete kashindwa kazi kwanini unafikiria Watanzania bado wanataka aendelee kuwa Ikulu?Maudhi mengine Bwana, Siasa ni uchafu, inanuka kero tupu. Sasa sijui Mbowe kshikishwa na CCM? Kama una akili timamu huwezi kumuachia Dr.Slaa agombee Uraisi huku ukijua hatashinda matokeo yake Bunge litasinzia, litabaki halina msisimko.
kwenye uraisi hakuna ubia na mamsapu........Nyerere alisema. ukiona raisi ambaye mkewe yupo mtaani kila siku ujue hata ndani, mume anaambiwa cha kufanya!! Mkwere na wakeze!!simple question
sasa mansap alkuwepo jukwaani?
Ha ha ha ha aa kwa mara ya kwanza umeconfess kwamba Dr Slaa tishio kwa CCM. Imekula kwenu mwaka huu! Na vile vyeo mlivyopeana kwa kutazamana usoni mwaka huu hupati tena. Hamia CHADEMA, tutakupa japo ukurugenzi. Maana mwaka huu nchi ni yetu.tunamuugopa dk slaa
Tutolee upupu wako mlamba miguu ya Rostam udini utakuua.jaji mkuu?
mkuu wa majeshi?
makamo wa ccm?
lakn simple question.
jee ndio mkatuletea dk slaa ili waingie wakirsto wote? umeula na chua
Asee watanzania bana ivi mnataka mabadiliko au mnataka msisimko? yaani safari bado ni ndefu sana!! kinachonishangaza ni kwa nini watu mnataka wenzenu wa karatu wawachagulie mbunge akawatetee bungeni wakati nyie mnachagua makapi? Tatizo watu mnafikiria the next meal tu....:doh:Maudhi mengine Bwana, Siasa ni uchafu, inanuka kero tupu. Sasa sijui Mbowe kshikishwa na CCM? Kama una akili timamu huwezi kumuachia Dr.Slaa agombee Uraisi huku ukijua hatashinda matokeo yake Bunge litasinzia, litabaki halina msisimko.
kwani umeona nchi hii ni ya dini ya kiislam hadi tubabaikie mahakama ya kufungisha ndoa peleka huko mambo ya kidini. ukitaka mambo hayo nenda Iran kwa bosi wako.familia yake kumuunga mkono
mgombea mwenza wa cahdema
kampeni za dk slaa kanda ya pwani , tanga na Zanzibar
timu ya kampeni ya dk slaa
majibu ya maswala ya mahakama ya kadhi na oic kutoka kwa wananchi
hapa ndipo penye mgogoro
Bigirita mkuu, achana naye huyu MS, yeye hana hoja ila kazi yake kuvuruga mada zenye mashiko humu jamvini. Soma michango yake yote utaelewa. NEVER URGUE WITH A FOOL .......................wakati unapoenda kupokea mshahara wako kwa RA huwa unaenda na mamsapu wako na watoto?