Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,558
- 1,456
Jamaa kwa Jinsi upepo unavyovuma sasa hv katika Siasa za Tanzania, kutona na Kura za Maoni ndani ya JF pamoja na Kura za Maoni zinazoendeshwa na Gazeti la Serikali ya Kikwete ni wazi kwamba Dr. Wildroad Slaa atapata Ushindi mnono na Kuunda Serikali. Lakini vile vile CHADEMA siyo rahsisi kushinda Majority ya viti vya Bunge na hivyo kuilazimisha CHADEMA iunde Serikali ya Mseto
Je Wana JF mnavyomfahamu Dr. Wilbroad Slaa, Je Ataweza kumteua Jakaya Kikwete katika zile nafasi zake kumi za Upendeleo kisha akampa Uwaziri Mkuu?
Yaani
Rais. Dr . Slaa (CHADEMA)
PM Jakaya Kikwete ( CCM)
Mimi naona Amtose tu
Je Wana JF mnavyomfahamu Dr. Wilbroad Slaa, Je Ataweza kumteua Jakaya Kikwete katika zile nafasi zake kumi za Upendeleo kisha akampa Uwaziri Mkuu?
Yaani
Rais. Dr . Slaa (CHADEMA)
PM Jakaya Kikwete ( CCM)
Mimi naona Amtose tu