Jamaa kwa Jinsi upepo unavyovuma sasa hv katika Siasa za Tanzania, kutona na Kura za Maoni ndani ya JF pamoja na Kura za Maoni zinazoendeshwa na Gazeti la Serikali ya Kikwete ni wazi kwamba Dr. Wildroad Slaa atapata Ushindi mnono na Kuunda Serikali. Lakini vile vile CHADEMA siyo rahsisi kushinda Majority ya viti vya Bunge na hivyo kuilazimisha CHADEMA iunde Serikali ya Mseto
Je Wana JF mnavyomfahamu Dr. Wilbroad Slaa, Je Ataweza kumteua Jakaya Kikwete katika zile nafasi zake kumi za Upendeleo kisha akampa Uwaziri Mkuu?
Yaani
Rais. Dr . Slaa (CHADEMA)
PM Jakaya Kikwete ( CCM)
Mimi naona Amtose tu
Haupo serious;
Hilo haliwezekana kwa sababu mbili;
1. Waziri Mkuu ni lazima AWE MBUNGE WA KUCHAGULIWA(sio kuteuliwa au viti maalumu)
2. Kikwete atakuwa ni RAIS wakati Dr Slaa atakuwa ni Katibu Mkuu wa Chadema.
Jamaa kwa Jinsi upepo unavyovuma sasa hv katika Siasa za Tanzania, kutona na Kura za Maoni ndani ya JF pamoja na Kura za Maoni zinazoendeshwa na Gazeti la Serikali ya Kikwete ni wazi kwamba Dr. Wildroad Slaa atapata Ushindi mnono na Kuunda Serikali. Lakini vile vile CHADEMA siyo rahsisi kushinda Majority ya viti vya Bunge na hivyo kuilazimisha CHADEMA iunde Serikali ya Mseto
Je Wana JF mnavyomfahamu Dr. Wilbroad Slaa, Je Ataweza kumteua Jakaya Kikwete katika zile nafasi zake kumi za Upendeleo kisha akampa Uwaziri Mkuu?
Yaani
Rais. Dr . Slaa (CHADEMA)
PM Jakaya Kikwete ( CCM)
Mimi naona Amtose tu
JK mwenyewe hana uhakika na nafasi ya kushinda mpaka amewatahadharisha wanaCCM wenzake waachane na kauli kwamba CCM itatawala milele! Sasa wewe ujasiri huo unautoa wapi?
JK mwenyewe hana uhakika na nafasi ya kushinda mpaka amewatahadharisha wanaCCM wenzake waachane na kauli kwamba CCM itatawala milele! Sasa wewe ujasiri huo unautoa wapi?
Alichokisema Kikwete kinaitwa hekima.
Kikwete anajua na watanzania wote wenye mawazo yasiyo na ulevi wa upenzi wanajua kuwa Kikwete atashinda, kuingia kwa Dr Slaa kumeongeza msisimko wa sintafahamu ya nani atakamata nafasi ya pili.
CCM haitatawala milele, ila 2010-2015 bado haina kizuizi.
Haupo serious;
Hilo haliwezekana kwa sababu mbili;
1. Waziri Mkuu ni lazima AWE MBUNGE WA KUCHAGULIWA(sio kuteuliwa au viti maalumu)
2. Kikwete atakuwa ni RAIS wakati Dr Slaa atakuwa ni Katibu Mkuu wa Chadema.
Mkuu,kumbe tuko wengi tuliowashtukia!Unauliza ujasiri anaupata wapi? Angalia ni lini kajiunga
MasonjoJunior Member Join Date Sun Aug 2010
Posts 6
Thanks : 1
Thanked 0 Times in 0 Posts
Tunafahamu mtakuja kwa mamia kwa kulipwa ujira wa kudhalilishwa. Mtaondoka vichwa chini. This is JF.
Kwa wale wote wenye akili tumegundua mtu anayetumia jina la masonjo humu ndani ni malaria sugu amejibadili kuficha aibu, kama una hoja endelea na jina lako la zamani ms, usiogope kivuli chako.
Sidhani kama President Slaa atamhitaji JK kwenye cabinet yake. Hana sifa yoyote ya kumfanya awe waziri. Labda ampe u-DC au sanasana mkurugenzi wa sanaa na michezo ili ashughulikie vizuri promotion ya Bongo Flavor.