Elections 2010 Dr. Slaa akishinda Urais, Kikwete apewe nafasi gani?

Nafasi ya Kikwete katika serikali ya Slaa? Kutembelea dunia nzima na kujitambulisha tena kuwa urais wake umekwisha.

Ahsante sana Mkuu. Ni bora tu arudi Bagamoyo akalime muhogo na mananasi maana hana sifa yoyote ile ya kupewa hata unaibu Waziri.
 
Kwa wale wote wenye akili tumegundua mtu anayetumia jina la masonjo humu ndani ni malaria sugu amejibadili kuficha aibu, kama una hoja endelea na jina lako la zamani ms, usiogope kivuli chako.

Shame on you, the reverse might be true.

Jifunze kuheshimu mitazamo ya watu wengine.
 
Kama Dr akiwa Raisi uyu jamaa ampumzike bse mpaka sasa naona akili yake tumeioverwork vya kutosha na majukumu mazito.
Kuna watu wanadhani kuitoa CCM ni ndoto nenda Malawi uone kilichowakuta wenzao kule.
Am sure kuna watu watahama nchi apa bila kupenda.
Alafu katiba lazima ibadilishwe mfano "IWE MARUFUKU KWA MBUNGE WA KUTEULIWA KUWA RAISI" waishie kwenye UD NA URC
 

Nataka nikukumbushe kuwa Moi naye alisema hivyo hivyo, lakini unafahamu kilichotokea, Kaunda kule Zambia naye alisema hivyo hivyo, leo yuko wapi? wakati sasa umefika, kama CCM haitaanguka sasa basi itaendelea kwa miaka 30 ijayo. Wananchi tunasema hatudanganyiki, na hakuna kalala mpaka kieleweke
 

Mkuu siasa za Kenya ni tofauti kabisa na siasa za Tanzania.

NARC mwaka 2002 ilisheheni wanasiasa maarufu wa makabila makuu ya kenya, kuanzia Kibaki-Kiongozi mkuu wa upinzani na Makamu wa Raisi wa zamani-Kikuyu, Raila-Waziri & Katibu Mkuu wa KANU-Jaluo, Saitoti-Makamu wa Rais-Masai, Charity Ngilu-Opposition Leader na Kalonzo Musyoka-Waziri-Kamba kwa uchache.

kimsingi kulikuwa na presence ya wanasiasa wakuu wanaowakilisha pande zote za Kenya, na ukizingatia kuwa siasa za Kenya ni za kikabila hivyo ushindi wa NARC ulitarajiwa na wala haukuwa muujiza, labda muujiza pekee ulikuwa ni kumeguka kwa KANU.

Sioni ulinganifu wowote wa NARC na chama chochote cha upinzani katika uchaguzi wa mwaka huu atleast mpaka sasa, unless mgawanyiko mkubwa utakaohusisha wanasiasa wakuu wa makundi hasimu yaliyopo ndani ya CCM utokee kabla ya October 31, na sioni dalili hizo kwa sasa.
 
Jk Itabidi tu apewe kazi ya ubwana shanba kule lugoba
 
Haupo serious;

Hilo haliwezekana kwa sababu mbili;

1. Waziri Mkuu ni lazima AWE MBUNGE WA KUCHAGULIWA(sio kuteuliwa au viti maalumu)
2. Kikwete atakuwa ni RAIS wakati Dr Slaa atakuwa ni Katibu Mkuu wa Chadema.



Naam, kumbe Masonjo unafaa kuwa Dr. pale UDSM, nilitaka kuelezea umeniwahi hasa kwa hiyo point ya kwanza, siongezi kitu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…