Elections 2010 Dr. Slaa anguruma BBC redioni: Nimeshinda Uraisi kwa kura milioni 15...

Elections 2010 Dr. Slaa anguruma BBC redioni: Nimeshinda Uraisi kwa kura milioni 15...

HUYU JAMAA ALIYEPOSTII HII HABARI NI MBWA ANATAKA KUTUPA MOTO WANACHADEMA NA ANACHOCHEA FUJO , WE MBWA UMETUMWA NA DADA YAKO KINANA AU, HAYA TOKA HUMU NDANI UKANYONYE KWA MAMA , SHETANI WE:smile-big:

:confused2::nono::blah::blah::blah:
 
Hapa cha kufanya ni kwenda mahakamani kuiomba isitishe utangazaji wa matokeo.Kwa katiba yetu hii kama huyo mwizi akitangazwa mshindi hakuna chombo chenye uwezo kisheria kuhoji.
 
rutashubanyuma usimwekee dr slaa maneno mdomoni nimesikiliza mahojiana ya dr slaa na media na sijasikia aki claim atashinda kwa kura milioni 15 and remember watanzania waliojitokeza kupiga kura wanaweza kuwa that number or bellow due to some ambao hawakujitokeza kupiga kura kutokana na majina yao kutoonekana na wenye sababu zao binafsi na wale walioharibu kura zao pls naomba tuwe tunaripoti kikamilifi mimi binafsi naamini kuna uchakachuaji matokeo ila tukianza kuzua ambayo hayajasemwa na viongozi wetu kwanza kabisa hatuwatendei haki wao binafsi na wafuasi wao!

asante lenana, hata mi nimesikia bbc sijasikia kuhusu hiyo mil 15, wahabarishaji, tafadhali zingatieni ukweli wa taarifa zetu, acheni kupika pika story, kama huna cha kuripoti chuna tu soma ripoti za wenzako
 
JIMBO LA MONDULI INAKUWAJE? kikwete ana kura nyingi zaidi ya slaa na lowassa???

Katika Jimbo la Monduli

Edward Lowassa CCM 3236
Molel Aman Chadema 2358


Lakini Uchaguzi wa Rais

Kikwete CCm 27198
Wilbroad Slaa 5446

Wapi Kikwete kapata kura zaidi ya lowassa ina maana walichagua rais kuliko mbunge?​
 
wapiga kura mil 19.7 (source nec), Dr slaa kapata kura nyingi halali (ushaidi: mabomu yaliyopigwa nchi nzima mfano dar, mwanza, Arusha, mbeya, kigoma, kilombero, shy nk). kikwete kapata zilizobaki,nyingi zikiwa ni za kuchakachua. NEC itamtangaza kikwete rais wa JMT, what a waste of time and resources! maisha yataendelea hivyo hivyo kama yalivyokuwa kabla ya uchaguzi,wanaofuraia au kupinga wizi wa ccm wote tupo jahazi moja la ufukara, elimu mbovu, matihabu hafifu, umeme wa mgao, usafiri mbovu nk. Kama wewe unanufaika na ufisadi na unaakili angalau kidogo tu zaidi ya bata, jiulize unafurahia nini, je ni kuendesha benzi kwenye mitaa ya vumbi isiyo na taa ndani ya jiji kuu la nchi liitwalo dar? je nikumiliki nyumba ya mabilioni lakini ndani ya geti unakisima cha maji au septic tanks sababu hayo ya bomba hayaaminiki na jiji halina drainage system? je ni kumpeleka mtoto wako shuleni na hela za kununua chips maana shule haitoi lunch kwa wanafunzi wa shule za misingi? je ni kukimbilia india kutibiwa sababu nchi yako ni duni kifikira na haiwezi kutibu wananchi wake yenyewe? je ni kuwaona ndugu zako uliowaacha uswekeni bado wakitembea pekupeku bila viatu, wakiishi ndani ya nyumba za udongo na vikoroboi/vibatali? je ni kuwaona raia wema na heshima zao wakigombania dala dala au wale wanaotembea kwa miguu kwa sababu hawezi kulipa nauli?

Umesema yote mkuu... watanzania tutafakari kisha tuchukue hatua ya kuwang'oa hawa madhalimu ...
 
mh, haya nayo makubwa, ivi mtu unadanganya humu jf ili upate nini?
 
Jamani Jamani I smell uchochezi na fitna kwenye hii Topic!!:doh:
 
Katika mahojiano kati ya BBC na Dr. Slaa leo jioni Raisi wetu Mtarajiwa Dr. Wilbard Slaa ametuhakikishia ya kuwa ameshinda Uraisi kwa kura zaidi ya milioni 15.........

Akitoa mfano wa uchakachuajii wa CCM alisema lipo jimbo ambalo amepata kura 15,000 lakini NEC yadai alipata kura 3,000 tu.........

Dr. Slaa ameimuru NEC iache mara moja kuendelea kutangaza matokeo hayo ya Uraisi kama wanaitakia nchi hii mema..................

BBC walipomuuliza nini kifanyike Dr. Slaa alidai uchaguzi wa Uraisi ni lazima urudiwe haraka iwezekanavyo...............

Mimi hapo nipo na Dr. Slaa kwa asilimia mia moja kwa sababu uongozi unaoingia madarakani kwa dhuluma utaendesha nchi kwa dhuluma tu ni kheri tupate shida kidogo ili wapigakura tupewe heshima yetu tunayostahili ya kubadili serikali kila mara tunapoona uhaja wa kufanya hivyo....................

Siamini kama Dr Slaa ni bure kiasi cha kusema kitu kama hiki....yaani watanzania wote wamepigia kura yeye?
 
wapiga kura mil 19.7 (source nec), Dr slaa kapata kura nyingi halali (ushaidi: mabomu yaliyopigwa nchi nzima mfano dar, mwanza, Arusha, mbeya, kigoma, kilombero, shy nk). kikwete kapata zilizobaki,nyingi zikiwa ni za kuchakachua. NEC itamtangaza kikwete rais wa JMT, what a waste of time and resources! maisha yataendelea hivyo hivyo kama yalivyokuwa kabla ya uchaguzi,wanaofuraia au kupinga wizi wa ccm wote tupo jahazi moja la ufukara, elimu mbovu, matihabu hafifu, umeme wa mgao, usafiri mbovu nk. Kama wewe unanufaika na ufisadi na unaakili angalau kidogo tu zaidi ya bata, jiulize unafurahia nini, je ni kuendesha benzi kwenye mitaa ya vumbi isiyo na taa ndani ya jiji kuu la nchi liitwalo dar? je nikumiliki nyumba ya mabilioni lakini ndani ya geti unakisima cha maji au septic tanks sababu hayo ya bomba hayaaminiki na jiji halina drainage system? je ni kumpeleka mtoto wako shuleni na hela za kununua chips maana shule haitoi lunch kwa wanafunzi wa shule za misingi? je ni kukimbilia india kutibiwa sababu nchi yako ni duni kifikira na haiwezi kutibu wananchi wake yenyewe? je ni kuwaona ndugu zako uliowaacha uswekeni bado wakitembea pekupeku bila viatu, wakiishi ndani ya nyumba za udongo na vikoroboi/vibatali? je ni kuwaona raia wema na heshima zao wakigombania dala dala au wale wanaotembea kwa miguu kwa sababu hawezi kulipa nauli?

Hapo umenena ndugu yangu. Wote wanaoisupport CCM wana matatizo ya akili na upeo wa kuelewa. Hawajui ni kwanini Tanzania ni nchi masikini mpaka leo pamoja na kuwa na natural resources za kila namna. Wanashangilia kushibisha matumbo yao leo lakini hawaangalii watoto wetu tutawaachia urithi gani katika nchi hii.

Tiba
 
Mimi nauliza hivi kuna balozi zipo Tanzania kweli?? Hawa watu wanasubiri watu waanze vurugu ndio waanze kuongea au hawaoni ni nini kinaendelea Tz. mimi nashindwa kabisa kuelewa?? Wanasubiri watu waende The Hague au ni aje?

Intarahamwe - Rwanda + mende formula.
 
Watanzania waliopiga kura mwaka huu hawafiki hata milioni 15, ina maana kura zote kazoa yeye tu. Kweli wanasiasa wetu hawako makini!

acheni kumtungia uongo SLAA ili watu wamtukane. kama kweli SLAA amesema amepata kura elfu 15 lazima awe na KICHAA tumkamate tumpeleke pale milembe dodoma. watu waliopiga kura ni asilimia 40 kati ya watu milion 19 ambayo itakua jumla ya watu kama milion 7.6, haya hizo elfu 7.4 amezitoa wapi. nayeye anajua TANGA, LINDI, MTWARA, TABORA, ZANZIBAR hawapendi watampaje kura zao?
 
mimi nauliza hivi kuna balozi zipo tanzania kweli?? Hawa watu wanasubiri watu waanze vurugu ndio waanze kuongea au hawaoni ni nini kinaendelea tz. Mimi nashindwa kabisa kuelewa?? Wanasubiri watu waende the hague au ni aje?

sasa wewe unyetegemea mabalozi kwa mabo ya ndani ya tanzania unatofauti gani na jk nayetegemea wafadhili kumaliza umaskini wa tanzania na watanzania? It cna be done play your part. Je uliojitokeza kuwa wakala ua kusimamia uchaguzi kwa niaba ya chadema?
 
rutashubanyuma usimwekee dr slaa maneno mdomoni nimesikiliza mahojiana ya dr slaa na media na sijasikia aki claim atashinda kwa kura milioni 15 and remember watanzania waliojitokeza kupiga kura wanaweza kuwa that number or bellow due to some ambao hawakujitokeza kupiga kura kutokana na majina yao kutoonekana na wenye sababu zao binafsi na wale walioharibu kura zao pls naomba tuwe tunaripoti kikamilifi mimi binafsi naamini kuna uchakachuaji matokeo ila tukianza kuzua ambayo hayajasemwa na viongozi wetu kwanza kabisa hatuwatendei haki wao binafsi na wafuasi wao!

rutashubanyuma wewe ni mmoja wa wachagiaji wanaoheshimika sana hapa jf, can you respond on this?
 
jimbo la monduli inakuwaje? Kikwete ana kura nyingi zaidi ya slaa na lowassa???

katika jimbo la monduli

edward lowassa ccm 3236
molel aman chadema 2358


lakini uchaguzi wa rais

kikwete ccm 27198
wilbroad slaa 5446

wapi kikwete kapata kura zaidi ya lowassa ina maana walichagua rais kuliko mbunge?​

good tunataka watafiti kama wewe, hebu tupatie hiyo source tuanze kufuatilia. Sio wengine wanalalama tu.
 
Bwana Rutashubanyuma, Naungana na wewe kwa kusema hivi umeifanya hoja yako nzito kuwa laini. Tusipate shida kidogo bali tupate shida kubwa ili Tanzania ya kesho iwe bora kuliko ya leo. Ni vyema yatokee matatizo makubwa lakini haki itendeke ili watoto wetu kesho watuenzi kwa kukataa ubeberu wa ccm. Dkt Slaa asonge mbele na kuwashughulikia hao wezi wa kura. Kama wanaiba kura hata sisi watatuiba na kutumaliza ni bora tuumie sasa yaishe tuachane na kikwete and company for good.
 
ukweli ni kwamba tume inatangaza kura tofauti na zile zilizopatikana majimboni. Hii ni kutokana na ukweli wasimamizi wa uchaguzi hutuma ripoti tofauti na zile zilizotangazwa vituoni hiyo yote ni mikakati ya kuchakachua matokeo. Ningeshauri chadema kwenda mahakamani kupinga kuendelea kutangazwa matokeo kwa haraka ili zoezi zima lirudiwe.

rugemeleza naamini wewe ni mwanasheria nilisikia kuwa matokeo ya urais hayawezi kupingwa mahakamani. Je ni kweli? Kama n i kweli mashataka hayo yafunguliwe mahakama ipi na kwa utaratibu upi
?
 
Kumbuka ni kweli watanzania hawajui ni kwanini tanzania maskini kwa sababu raisi wao anayetaka kuingia madarakani kwa awamu yapili aliwahi kuwaambia waandishi wa habari wa vyombo vya nje mara tu alipoingia madarakani kwamba hata yeye hajui ni kwanini watanzania ni maskini. Umaskini wetu unatokana na woga wetu wa kujaribu leo hii watanzania wamejaribu na kuona inawezekana kwa kuchagua mabadiliko. Tumalizie kazi hiyo ili watu wetu wapate nyumba bora (badala ya kutumia posters the handsome boy kama mapazia ya vibanda vyetu vya nyasi), elimu yenye viwango, na tuweze kuvaa viatu kama wao na watoto wao wanavyofanya. Tukatee kuwarudisha mafisa katika uongozi wa nchi. :sad:
 
ndugu zangu watanzania,kwanza kabisa nampongeza sana dr.slaa kwa hatua hii ingawa wengi wanaipinga kwa sababu tayari wamekwisha fikia maamuzi ya kutokea vita au vurugu kwa sababu tu ametangaza kutokubaliana na matokeo.

Ikumbukwe tu kwamba dr.slaa anaitumia nafasi na haki yake ya kidemokrasia kupinga matokeo yanayototangazwa kwani hata sisi wananchi tunaosoma mafgazetini tunashindwa kuelewa ukweli ni upi. Kwa mfano, nenda mtazame mwananchi elections utakuta kura halia au waliojiandikisha ni wachache kuliko jumla ya kura zilizopigwa ktk sehemu nyingi tu na sababu haifahamiki.

Kisha tazama pia urais ktk mkoa wa manyara utaona jumla ya jk against dr.slaa lakini ukienda kwenye majimbo yake utakuta tofauti yao ni ndogo sana pengine asilimia 51 kwa 49 baina yao. Sasa ikiwa vyombo hivi wanashindwa kutoa takwimu zinazoridhisha mlitegemea vipi wananchi watakubali matokeo kwa kusikiliza nec wanavyotangaza..

Na ikumbukwe tu kwamba wananchi wengi wamepiga kura zao against - kikwete na sii wabunge wa ccm kama walivyomchagua dr.slaa zaidi na sii wabunge wawakilishi. Kwa hiyo upo uwezekwano mkubwa wa wapiga kura kuchagua dr.slaa na wakamchagua mbunge wa chama kingine kuliko kumchagua mbunge wa chadema na kumpa kura za urais kikwete. Huu ni ukweli ambao hauwezi kuepukika kirahisi.

Kwa hiyo ni muhimu sana kwa dr.slaa kuweka madai yake leo hii ili kurekebisha utaratibu mzima wa kupiga kura na uhesabuji wake uchaguzi ujao. Kwani akiacha kama alivyoacha seif sharrif hamad ambaye baada ya uchakachuaji amepata kura asilimia 41.1 basi mwaka 2015 mchezo wa ccm utaendelea kuwahivyo hivyo madhari seif amekubali uchaguzi huu kuwa halali na wenye haki hali akifahamu fika kwamba uchakachuaji umetumika. Mbona mwaka 2005 alishindwa kwa asilimia kubwa zaidi na bado alipinga iweje leo kaahidiwa wadhifa iwe rahisi kwake kukubali matokeo!.

Hivyo nawaomba tuwe na mtazamo wa mageuzi badala ya kufikiria vita na uadui baina ya vyama hivi bali ni ktk process ya kutengeneza mazingira bora zaidi kesho ktk uchaguzi ujao kwani kama tusiporekebisha leo basi mwaka 2015 mchezo utakuwa huo huo..sina imani kubwa na ushindi wa dr.slaa na hata kama ameshinda ccm na system hawawezi mkubali kwa leo. Dr.slaa kifupi anatisha! Na hawako tayari kukubali kuanikwa madhambi yao, hivyo tatizo hapa linatokana na makosa ya wazi ya ccm kutafuta ushindi wa kshindo hali inajulikana wazi kwamba ushindi huo haupo.

Nitazidi kumpongeza dr.slaa kwa nguvu na uwezo wake kutetetea maslahi ya nchi hii kwani fundisho kwa viongozi na chama tawala hauwezi kwisha baada tu ya matokeo hata kaa yamefanyiwa uchakachuaji. Mapambano yanaendelea hadi kuhakikisha utaratibu unawekwa wazi na wenye kutoa haki kwa wananchi wanapomchagua kiongozi wao na sii chama au chombo cha serikali kuchukua dhamana ya utoaji ridhaa kwa niaba yao. Hatua hii ya dr. Ni kwa manufaa ya wagombea miaka ijayo...

nakubalina na wewe mkandala kwa 100% kuchukuliwa hatua ili kukomesha wizi wa kura usijitokeze tena in future elections. Na hatua hizo ndo hizi ambazo d slaa ameanza kuchukua 1) kupinga rasmi kwa tume yenyewe, ten ndio kuja kwa wananchi. Wengi wlikuwa wakijiuliza kuwa dr slaa atafanya nini baada ya uchaguzi wa 2010 wakati yeye sio mbunge. Nadhani sasa waliokuwa wakiuliza maswali hayo wanagundua kuwa ipo kazi kubwa inayotakiwa kufanywa kutengeneza "level playing field" katika chuguzi zetu; na kazi hiyo hakuna mwingine yeyote anayeweza kuifanya kama sio dr slaa mwenyewe.

waangalizi wa kimataifa na wa ndani wote wametoa tahadhari kuhsu tume ya uchaguzi kutokuwa huru, that is enough reason ya kuchukua hatua za kufaa. Lakini tume ya uchaguzi inapatikana kwa mujibu wa katiba, hivyo katiba yetu inatakiwa pia kuandikwa upya ili kuendana na mabadiliko ya kijamii. Kiuchumi na kiutamaduni yaliyotokea ndani ya jamii yetu kutokea mwaka 1984 ilipofanyiwa mabadiliko ya mwisho makubwa.

Ipo uwezekano kambi ya upinzani katika la jmahuri ya muungano wa tanzania kutokana na chama cha cuf chenye viti 24 ambavyo 22 ni kutoka katika nchi inayoitwa zanzibar kwa mujibu wa katiba yake. Huu ni utata wa kikatiba na sababu ingine ya kushinikiza marekebisho ya katiba.

Swali la kila mmoja wetu kujiuliza ata/utafanya nini kuleta mabadiliko ya katiba na tume huru ya uchaguzi?

Akijibu swali kuhus haja ya kubadili katiba katika mdahalo na vyombo vya habari kabala ya uchaguzi rais kikwete alisema itakapojitokeza haja ya katiba itafanyiwa mabadiliko. Kwa kuwa sisi sote ni watanzania mmoja moja na kwa pamoja tutafanya nini ili katiba ifanyiwe mabadiliko yanayohitajika?
 
Mfa maji always haishi kutapatapa!!!, haya yote ni aibu imemfika Slaa wenu, mlimpa matumaini hewa!, mtakufa kwa roho zenu za chuki, chukieni sana but wananchi washasema through ballot papers! poleni sana
 
uchakachuaji unafanyika kwa njia nyingi sana daaaah
 
Back
Top Bottom