Kama wewe huna cha kusema wengine tutasema,
mwambie Dr. Slaa kama amesema hivyo amefulia, Sofia Simba hajiuzulu, wala JK hamfanyi chochote! wala serikali haijapata aibu, walichopitia miaka hii minne kama ingekuwa serikali ya ibu tungeijua! mwambie slaa mshipa wa aibu serikali ya JK haina!!
Yeye Slaa aangalie kuiondoa CCM na sio kujificha chini ya JK, anaposema hivyo ina maana JK ni safi, poa, mchapa kazi n.k
Sofia Simba ameonyesha uwezo wa CCM, Slaa badala ya kuchukua kama point ya kupatia kura anataka kujikomba! aache kujikomba kwa JK; kutaja jina la JK kuwawajibisha mawaziri aliowateua ni ujinga!!! mna hakika gani kama hakupitia huko state house na vyombo vya usalama kupata ushauri? kwani hawana sheria zao kuwa kabla ya mswada upitiwe? SS hana tatizo baba! ni sanamu robot lingine next to JK akiambiwa simama anasimama
nani kawaroga jamani?? JK has nothing to do in this country, JK alitaka ujiko tu wa urais hana analoliweza na hakuna atakaloliweza achilia mbali kumuwajibisha SS!!
Huyo slaa naye kama amesema hivyo ajiuzulu upinzani; I am sick and tired mentioning the name of JK as if he is innocent!
wapinzani my foot! JK akimchukulia hatua Sofia Simba si ndio anapata kura yeye! halafu mnasema kuna upinzani 'nji' hii
Wapinzani wa Tanzania ukiwasikiliza sana unaweza ukaugua ukichaa, wapole, wanajikomba, statement zao sio za kipinzani, they dont take opportunity, yaani wapinzani nchi hii ni kama mabaraza ya wazee wa CCM!! au tume fulani za bunge!