Dr.Slaa: Atakayekiuka UKAWA tutamshughulikia

chadema inaendekeza utawala wa kibabe na kimabavu, chadema ni chama cha kidikteta,, leticia ni haki yake kikatiba kwenda bungeni,, babu slaa atuonyeshe katiba ya ukawa inayokataza wasiende bungen

Ccm ni chama cha majangili
 
Ukawa waliopo bungeni ni leticia nyerere, hamad rashid mohamed, said arf, na john shibuda

Ukawa hapo ni mmoja tu Leticia Nyerere. Kaamua kuchukua chake mapema maana hawezi hata kugombea ubunge na hivyo viti maalum hana chake. Njaa mbaya sana.
 
Kisheria hakuna kitu ambacho Dr Slaa anaweza kuwafanya wasaliti wa UKAWA kwa sababu wajumbe wa BMK wamechaguliwa na Raisi japo sifa yao kuwa ni kuwa wabunge wa bunge la JMT. Kisiasa Dr Slaa au viongozi wa vyama vinavyound UKAWA wanaweza kuwachukulia hatua wabunge wao wanaosaliti UKAWA. Sisi wazalendo tunaomba wana UKAWA wasisalitiane kwa njaa ya muda mfupi. Ni lazima wakomae hivyo hivyo!
 
Daah...leo umejitahidi kuponda na kueneza propaganda juu ya Ukawa. Tunakuongezea posho, badala ya bk7 tutakupa buku 10. Keep it up...
By Lumumba staff.

ukawa ni wasaliti wa watanzania..Watanzania wanahitaji maji, huduma nzuri za afya na maendeleo ,, ukawa wao wanataka serikali tatu ..hizo serikali tatu ndio zitaondoa umasikini? Ukawa ni wehu sana
 

SISI wananchi wa tanzania hatuwahitaji ukawa..watanzania tumechoka na ujinga wa ukawa
 
Mwambie slaa kitanda alichokitandika lazima atakitandua mwaka huu mwambie pia aje dodma atamkuta arfi,leticia na shibuda.
 
chadema inaendekeza utawala wa kibabe na kimabavu, chadema ni chama cha kidikteta,, leticia ni haki yake kikatiba kwenda bungeni,, babu slaa atuonyeshe katiba ya ukawa inayokataza wasiende bungen

Umekosea, sio kila katazo ni lazima msingi wake uwe Katiba. Makubaliano yoyote hata kama hayajaandikwa ni Mkataba halali na unaweza kutumiwa na wahusika kama msingi wa maamuzi. japokuwa hawana Katiba UKAWA wapo sahihi kusimamia wanachokiamini! Kwa maana hiyo hata Leticia na Shibuda wanaweza kuwa sahihi kwa kujitazama wao kwa majina yao, lakini watakapolazimika kutumia vyama vyao watakuwa wamekosa uhahali na hivyo wameenda kinyume na makubaliano ya vyama vyao. Iwapo watachukuliwa hatua zozote za kinidhamu ni halali kwani wameshndwa kutii mamlaka iliyo juu yao ambayo hata wao waliiamini kuwa inaweza kufanya maamuzi kwa niaba yao! Siasa zetu zimetawaliwa na unafiki, siwezi kushangaa yanayojitokeza!
 

Nilifikiri mgomo wa UKAWA ni wa hiari kumbe ni wa kulazimishwa kwa mtutu kuwa usipogoma utatujua CHADEMA.sasa hiyo demokrasia kwenye hicho kifupi cha CHADEMA iko wapi? Au jina la chama mmebadilisha na mmeondoa DE ya hapo katikati ya neno CHADEMA?
 

Hao wote si wabunge wakutetea wananchi,tena si wanaukawa tokea mwanzo,Leticia nyerere ni mchumia tumbo ambaye tayari alishajulikana tangu mwanzo,na chadema walijua atahudhuria tu,kwahiyo magazeti ya ccm yanakuza habari kwa kuandika uongo,haitawasaidia kwakuwa wanaosoma magazeti hayo ya ccm ni watu wachache sana,tena wachumia tumbo kama we we,wananchi wenye akili wanajua.
 
kweli kabisa. wako wengi sana wanachukizwa na ujinga wa ukawa lakini wafanyeje sasa wataitwa wasaliti

Kama ilivyo kwa wabunge wengi Wa ccm wanaotaka serikali tatu ,ila njaa ndiyo inayowapa shida,na hata hao Wa ukawa wanaotaka kurudi bungeni pia ni njaa tu inawasumbua,wala si uzalendo,swali la kujiuliza,mwana ukawa yeyote anayetaka kurudi bungeni ni mnafiki sana,maana kama hakubaliani na ukawa kwanini walipotoka bungeni naye alitokabunge LA awali ?hapo utajua njaa ndiyo tatizo.
 

UKAWA ni watetezi wa matumbo yao. Hawana chochote wanachotetea wananchi..wameshatetea wananchi kuhusu maji , afya?
 

sasa hivi wameshajitambua ndio maana wanarudi bungeni.. hizo serikali tatu zitawaondoleaje watanzania umasikini?
 
Upotoshaji upi unaousema wabunge wa Chadema waliorejea bungeni ni John Shibuda na Leticia Nyerere.

Tupe basi huo ukweli, halafu Dr.Slaa ana wabunge unaposema wabunge wake watu wanakushangaa hawa wabunge wametumwa na wananchi siyo Dr.Slaa.

Naona povu linamwagika tu.
 
Umechoka wew msukule. Na huyo leticia kwisha habari yake na tumbo lake limemponza. Kwanza tunatafuta number zake tumfundishe adabu cc wana nchi

wananchi ndio wamemtuma letisia bungeni, sio babu slaa
 
Kumbe shbuda letecia hao hatuna shda nao.shbuda kmwili cdm kiroho ccm letecia naye hvyo hvyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…