Elections 2010 Dr.SLAA Hataukaribia ushindi

That is the only issue you have to capitalize in; you have no any other issue than that. You have learned to hate; that is for some of us [meaning you MWIBA] is your congenital right, and it seems to fit your calibre. From your being proud of being a Zanzibari, to what curse Slaa has from your "GOD" aka "SATAN", and your proud of being a CUF sympathizer; you will learn one day; DUA ZA KUKU HAZIMPATI MWEWE.

What makes you see that darkness on Slaa, your ranting and rage is unproportional. He looks same like us/you, but his sin is what? His belief? Being a Chadema man? We learn to love our own and then we will love others; it seems you don't even love yourself because you're as ugly as what you're writing.

One thing is, Dr. Slaa has the support of the mass. Our priority is Economy, all what you're purporting is primary for us, overall we even don't know the otherside of the story. This is really JELEOUS!!

Last; even if Slaa will not win; but he has already done his job; he has shown the nation that he has balls!
 
Dr. Silaa afanye nini ili watanzania mjue kwamba tumejaliwa kupata mtu makini baada ya kulia kwa miaka mingi? Watu wanaompinga Dr. Silaa wanampinga kwa lipi baya alilofanya?

NITASHANGA WATANZANIA WAKIMKUBALI KIKWETE NA KUMKATAA DR. SILAA. NASEMA TENA NITAWASHANGAA SANA WATANZANIA - MASAUNI
 
Last; even if Slaa will not win; but he has already done his job; he has shown the nation that he has balls!

...and di***k to fu***k people's wives...lol!!
 

Maalim Mwiba,

Vyama rafiki vya CHADEMA ni vipi? Maana sijaona chama chochote ambacho kinashirikiana na CHADEMA kwenye uchaguzi wa mwaka huu.
 
Junius,
You ought to be banned for a week for that lol!
Jasus,
Mwache aendelee, jazba yao inabidi waimailizie kwa CHADEMA na Dr. Slaa; maana washaolewa na CCM, kule Zanzibar wangojea "uke weza"; huku bara walifikiri angalau watakuwa wapili maana ndiyo wamezoea hivyo. Sasa kuona CHADEMA anapeta kumpiku bwana yao CCM mimacho inawatoka. CCM wenyewe wako kimya! Hii mijitu ya sasa inawakilisha CCM badala ya kuongeza nguvu kwenye chama lao.
 

Kwenye jamii watu kama wewe huwa hawakosekani!! Perssimistic, phew!
 
Maalim Mwiba,

Vyama rafiki vya CHADEMA ni vipi? Maana sijaona chama chochote ambacho kinashirikiana na CHADEMA kwenye uchaguzi wa mwaka huu.

sasa hivi upo Chadema na haujui vyama mlivyo na urafiki navyo ,nakusudia vyama vilivyopo ulimwengu wa kwanza wanao jua baya na zuri kwa kiongozi ,hili la kubaka wake za watu kwa hivyo vyama sio jambo jema.
 
Unatema fyongo tupu
 
Dr Slaa atatia pengo kubwa kwenye bunge lijalo, atakumbukwa kuwa alikua mtu machachari, mpiga vita ufisadi, lakini Chadema's move ya Slaa kugombea uraisi ilikuwa bado...mchango wake bungeni ulikua bado unaitajika. Huo ndio ukweli wa mambo
 

Ndo maana nasema kupitia utawala mbovu wa ccm ......mtu kama mwiba anaendelea kui-enjoy huku ndani ya kichwa chake anajua kabisa madudu ya serikali ....... na ndo maana kimoyomoyo anatamani yatokee yaliyotoke nchini kwakwe Somalia........Tanzania ni nchi ya demokrasia na Dr. Slaa atachukua madaraka kwa njia ya amani na utulivu....hayo unayo-wish ni ndoto za mchanamchana......
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/60757-tanzania-ni-kubwa-=-ngumu-kutawalika.html
 
CCM imekula kwao Vimatumbo vyao kama havikushiba wajiandae kufa kwa Presha baada ya Uchaguz!
Tusiendelee kuwa Wadaganyika! Msimu wa CCM kuvuna umeshaisha,hata hivyo tulichelewa ingefaa waondoke toka mwaka 2005!.Hata hivyo bado hatujachalewa ila ni wakati mwafaka wa kuing'oa madarakani sisiemu!
 
Dr Slaa atatia pengo kubwa kwenye bunge lijalo, atakumbukwa kuwa alikua mtu machachari, mpiga vita ufisadi, lakini Chadema's move ya Slaa kugombea uraisi ilikuwa bado...mchango wake bungeni ulikua bado unaitajika. Huo ndio ukweli wa mambo
Mapambano,
It can be done if you play your part. Tupe kura yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…