Tetesi: Dr.Slaa Katibu Mkuu ajae CCM?

Tetesi: Dr.Slaa Katibu Mkuu ajae CCM?

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Kuna tetesi kwamba kuna majadiliano yanaendelea kati ya marafiki wa Slaa walioko CCM na Slaa kuhusu uwezekano wa mwanasiasa huyo kuwa Katibu Mkuu wa CCM baada ya Katibu Mkuu wa sasa Abdulrahman Kinana kumaliza muda wake.

Marafiki hao ndani ya CCM wanadai kwamba "Style" ya Mwenyekiti wao John Pombe Magufuli inaendana na Slaa na wanaamini kwamba wawili hao watakiimarisha sana chama chao. Pia inadhaniwa kuwepo kwa Slaa kutakuwa ni mwiba mkali sana kwa chama chake cha zamani CHADEMA.

Slaa alikuwa ni mwanachama wa CCM kabla ya kujiunga na CHADEMA mwaka 1995 kutokana na kutopewa nafasi ya kugombea Ubunge jimbo la Karatu kupitia CCM. Kuna wakati CCM walidai kuwa Slaa alikuwa bado analipia kadi yake na Slaa mwenyewe alikiri kwamba kadi yake ya CCM bado anayo.
 
Kuna tetesi kwamba kuna majadiliano yanaendelea kati ya marafiki wa Slaa walioko CCM na Slaa kuhusu uwezekano wa mwanasiasa huyo kuwa Katibu Mkuu wa CCM baada ya Katibu Mkuu wa sasa Abdulrahman Kinana kumaliza muda wake.

Marafiki hao ndani ya CCM wanadai kwamba "Style" ya Mwenyekiti wao John Pombe Magufuli inaendena na Slaa na wanaamini kwamba wawili hao watakiimarisha sana chama chao. Pia inadhaniwa kuwepo kwa Slaa kutakuwa ni mwiba mkali sana kwa chama chake cha zamani CHADEMA.

Slaa alikuwa ni mwanachama wa CCM kabla ya kujiunga na CHADEMA mwaka 1995 kutokana na kutopewa nafasi ya kugombea Ubunge jimbo la Karatu kupitia CCM. Kuna wakati CCM walidai kuwa Slaa alikuwa bado analipia kadi yake na Slaa mwenyewe alikiri kwamba kadi yake ya CCM bado anayo.
Kijana acha bangi!,kwanini unakaa tu nakuamua kuandika kitu kisicho na mantiki hata kidogo?
Kwanini hufikirii hata kidogo tu kabla hujaandika kitu,?
Unadhani humu kuna watu wenye akili ndogo kiasi gani kiasi cha wewe kuandika utumbo wako ukadhani utawapata malofa?

Fikiria kisha acha ujinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata Mimi nimepenyezewa hiyo habari na mwanaccm Wa ngazi za juu
 
Kijana acha bangi!,kwanini unakaa tu nakuamua kuandika kitu kisicho na mantiki hata kidogo?
Kwanini hufikirii hata kidogo tu kabla hujaandika kitu,?
Unadhani humu kuna watu wenye akili ndogo kiasi gani kiasi cha wewe kuandika utumbo wako ukadhani utawapata malofa?

Fikiria kisha acha ujinga.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu ulishawahi kuwaza au kuhisi kuondoka kwa Dr. Slaa Chadema na kuisema vibaya Chadema before?
Ulishawahi kuwaza kuondoka kwa Lowassa CCM before?
Ulishawahi kuwaza kusutwa kwa nafsi kwa Pro. Lipumba na kujiuzuru na kurudi uenyekiti wa Cuf?

Kama hukuwahi kuwaza kutokea kwa hayo apo juu, basi usimseme vibaya mtoa Mada.
 
Yaani uhoji ujinga wako then nifanye kazi ya kukupa uhakika?
Hayo mengine hayana tija kwenye mjadala huu bali wewe lete hoja tofauti badala ya kutumia hoja yangu kunishambulia kibnafsi. Wewe unadhani mimi "Verified user" naweza kuleta tetesi zisizokuwa na mashiko? Kwa taarifa yako neno "Tetesi" Jf limewekwa kwa ajili ya kinga ya kushitakiwa kisheria. Hata kama hayo majadiliano yapo CCM wanaweza kusema hayapo wakati yapo ama wanaweza kuyavunja kwa kujua siri zimevuja na kusema hayajawahi kuwepo!

Kutumia akili si kipawa bali ni asilil ya mwanadamu ila utashi ufifishi busara!
 
Kuna tetesi kwamba kuna majadiliano yanaendelea kati ya marafiki wa Slaa walioko CCM na Slaa kuhusu uwezekano wa mwanasiasa huyo kuwa Katibu Mkuu wa CCM baada ya Katibu Mkuu wa sasa Abdulrahman Kinana kumaliza muda wake.

Marafiki hao ndani ya CCM wanadai kwamba "Style" ya Mwenyekiti wao John Pombe Magufuli inaendana na Slaa na wanaamini kwamba wawili hao watakiimarisha sana chama chao. Pia inadhaniwa kuwepo kwa Slaa kutakuwa ni mwiba mkali sana kwa chama chake cha zamani CHADEMA.

Slaa alikuwa ni mwanachama wa CCM kabla ya kujiunga na CHADEMA mwaka 1995 kutokana na kutopewa nafasi ya kugombea Ubunge jimbo la Karatu kupitia CCM. Kuna wakati CCM walidai kuwa Slaa alikuwa bado analipia kadi yake na Slaa mwenyewe alikiri kwamba kadi yake ya CCM bado anayo.
Naisubiri hiyo "Debut" kwa hamu.

HatA Laigwan alishasema:- kuhama CHAMA SIO DHAMBJ..


Sent by TecNo wEREva..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hii unataka kupunguza makali ya Uzi EL kuwa Mwenyekiti cdm

leo Slaa katibu ccm

ufipa vs lumumba
Hapana hii habari ina ukweli fulani ila ya Lowassa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA ni dhana inayojengwa na CCM kwa lengo la kuleta mkanganyiko wa fikra kwa watu walio mbali na duru za uongozi wa ndani wa CHADEMA!
 
Back
Top Bottom