Dr. Slaa: Kikwete mmiliki wa DOWANS...

- Mkuu unajua sisi watu wa mjini matusi ni kawaida sana kwanza hapa hujatukana, na siwezi kushuka hiyo level hapana, however ninakukaribisha kurudi kwenye mada anytime ukimaliza matusi yako, ha! ha! ha!

William.

Some people never grow up, ADOLESCENT mind will keep u bogus, not to get matured, & i am sure u will remain that way, na ww si mtu wa mjini GOGO wa DODOMA, shut up
 

- Mkuu unajua sisi watu wa mjini matusi ni kawaida sana kwanza hapa hujatukana, na siwezi kushuka hiyo level hapana, however ninakukaribisha kurudi kwenye mada anytime ukimaliza matusi yako, ha! ha! ha!

William.[/QUOTE]

Bwana Malecela Jr. Humu ndani itakuja kurukwa na akili. Sasa wewe utakuwa mtu mmoja unapingana na dunia nzima. Uwezo huo hauna kitu cha kwanza. Unajua ubishi wako ni wa kitoto usiyokuwa na maana.

1. Fedha za watanzania walipa kodi zinaibiwa, unataka wafanyeje?
2. Serikali iliyo madarakani ya Kikwete na babako ndo wezi, hiyo unasemaje?
3. Wewe baba yako amefanyiwa kitu kibaya bado unaitetea CCM akili iko wapi?
4. Unataka kuniambia kwamba hakuna kitu kama DOWANS, kwa hiyo watanzania wasiulize au ni haki ya hao majambazi kuwaibia watanzania?

Nadhani ungetafakari kilio cha walio wengi ukatumia busara kuangalia unakotoka na unakokwenda. Naona umeamua kutumia jina lako ili kundi la kikwete wakusome, sawa watakusoma. Ila watu wenyewe wamelewa wewe watakusaidia nini? Miaka yote CCM ikiwa madarakani na baba yako akiwa kinara ni kitu gani ulichokifaidi? Mkuu humu tuna machungu sana. Nchi yetu inaharibika watu kama wewe ndo wale ambao watatufukuza kuingia porini na kurudi kama wanyama wa kweli kuing'oa CCM na Kikwete.

Mimi nimezaliwa ndani ya CCM. Baba yangu bado yupo ndani ya CCM, mwenye bado ni mwana CCM tena mwenye kadi tangu 1989 ila naamua kuipinga serikali ya Kikwte iondoke madarakani. Tumechoka. Tutembelee uone ucungu wetu siyo kukaa na ndoto zako za abunuwasi. http://ufisaditanzania.blogspot.com
 
- Mkuu unajua sisi watu wa mjini matusi ni kawaida sana kwanza hapa hujatukana, na siwezi kushuka hiyo level hapana, however ninakukaribisha kurudi kwenye mada anytime ukimaliza matusi yako, ha! ha! ha!

William.

Msimlaumu sana William, huyu mtu ana kaugonjwa kale ka kuota. Anadhania kwamba baba yake bado waziri mkuu. William hata na mimi baba yangu amewahi kuwa waziri. Mimi ni mwana CCM lakini nimechoka na Serikali ya Kikwete. Nipo tayari kufa ili tanzania iwe huru dhidi ya usultani na ufisadi wa Kikwete na Ufisadi
 
Some people never grow up, ADOLESCENT mind will keep u bogus, not to get matured, & i am sure u will remain that way, na ww si mtu wa mjini GOGO wa DODOMA, shut up

- Haha ha! ha! hilarious, ukimaliza matusi yako mkuu turudi kwenye mada, ha! ha! siwezi kushuka chini kiasi hiki mkuu ha! ha! ha!

William.
 
- Haha ha! ha! hilarious, ukimaliza matusi yako mkuu turudi kwenye mada, ha! ha! siwezi kushuka chini kiasi hiki mkuu ha! ha! ha!

William.

William you need to grow up. you are like an adolescent, there is no doubt about that. Get some help kwa maana unayoyasema humu ni mambo ambayo mtu timamu hawezi kuyasema. kama nilivyosema hapo hawalai, mimi siyo mshabiki wa Dr. Slaa wala Chadema. Mimi ni mwana CCM wa kudumu ila nimechoka na ufisadi ndani ya CCM na watu wenye akili kama yako. Bw. William tafakari ndugu zako uliowaacha tanzania wanaoumia kutokana na sra mbovu na ufisadi wa kikwete na familia yake.
 

- Mkuu heshima yako sana, mimi ninajadili mambo ya katiba hapa naona umechanganya mambo mengi sana ambayo yanahitaji topic zake, tafadhali turudi kwenye hoja niliyoanza nayo yaani katiba!

- Ila in the future kwa faida yako tu member mmoja akiwa na mawazo ya kitoto ukipoteza muda wako kumjibu, wakubwa watashindwa kuelewa mtoto ni nani!, otherwise I am having a blast bro na matusi yako!


William.
 

- Mkuu endelea kutukana matusi ukichoka nifahamishe turudi kwenye mada, naona unajaribu kila mbinu kunitoa kwenye mada na hasa kwa kutumia matusi, hapana hizo zako sio lugha zangu, siasa sio vita wala ugomvi na huwezi lazimisha mawazo yako kwa nguvu, pole sana hapa JF inatakiwa hoja sio matusi, pole sana kaka!

- Sizuii katiba mpya, isipokuwa ninaweka tahadhari tu mapema kwamba katiba mpya ni lazima ipitishwe na bunge na as long as bunge lina majority ya wabunge wa CCM, siamini kwamba yote yatakubaliwa na kupita!, kama kuwa na haya mawazo ninakuwa matusi yote uliyonitukana so far, so be it!

William.
 
- Mkuu unajua sisi watu wa mjini matusi ni kawaida sana kwanza hapa hujatukana, na siwezi kushuka hiyo level hapana, however ninakukaribisha kurudi kwenye mada anytime ukimaliza matusi yako, ha! ha! ha!

William.

Bwana Malecela Jr. Humu ndani itakuja kurukwa na akili. Sasa wewe utakuwa mtu mmoja unapingana na dunia nzima. Uwezo huo hauna kitu cha kwanza. Unajua ubishi wako ni wa kitoto usiyokuwa na maana.

1. Fedha za watanzania walipa kodi zinaibiwa, unataka wafanyeje?
2. Serikali iliyo madarakani ya Kikwete na babako ndo wezi, hiyo unasemaje?
3. Wewe baba yako amefanyiwa kitu kibaya bado unaitetea CCM akili iko wapi?
4. Unataka kuniambia kwamba hakuna kitu kama DOWANS, kwa hiyo watanzania wasiulize au ni haki ya hao majambazi kuwaibia watanzania?

Nadhani ungetafakari kilio cha walio wengi ukatumia busara kuangalia unakotoka na unakokwenda. Naona umeamua kutumia jina lako ili kundi la kikwete wakusome, sawa watakusoma. Ila watu wenyewe wamelewa wewe watakusaidia nini? Miaka yote CCM ikiwa madarakani na baba yako akiwa kinara ni kitu gani ulichokifaidi? Mkuu humu tuna machungu sana. Nchi yetu inaharibika watu kama wewe ndo wale ambao watatufukuza kuingia porini na kurudi kama wanyama wa kweli kuing'oa CCM na Kikwete.

Mimi nimezaliwa ndani ya CCM. Baba yangu bado yupo ndani ya CCM, mwenye bado ni mwana CCM tena mwenye kadi tangu 1989 ila naamua kuipinga serikali ya Kikwte iondoke madarakani. Tumechoka. Tutembelee uone ucungu wetu siyo kukaa na ndoto zako za abunuwasi. http://ufisaditanzania.blogspot.com[/QUOTE]

Mkuu naungana na wewe kabisa. Matusi na lugha chafu vinatokana na frustrations, hakuna nayekubaliana na hili hata kama mtu anasema ni way of life ya watu wa mjini. Sisi watu wa vijijini hatukubaliani na that way of life, ni bira tufukuzane na kupiga kelele na ng'ombe wetu kuliko kuongea lugha chafu.

Ukweli ni kwamba, si kila mwanaCCM ni mwizi na si kila mwana CCM ni mpumbavu. Ukiangalia kwa undani unaona wazi kabisa kuwa issue nzima ya umeme, ni watu wachache sana wanaofaidi, hata kama inainufaisha CCM ambacho ni chama chetu, si CCM yote ni kundi dogo sana la watu ambao hata hawafiki 100. Hivi ukianza kuwatetea wanaotufanya watanzania tuishi maisha duni, utakuwa unatumia kigezo gani?

Pamoja na nguvu zote alizopewa kikatiba na nguvu zote za kiuchumi tulizonazo Tanzania nzima, is it conceivable that mpaka leo tunaendelea kuwa na tatizo la umeme, toka JK aingine madarakani umeme ni tatizo na linaendelea kuwepo tu na hayuko serious kulishughulikia. Kwanini?? Kama Slaa akisema JK ndio mmilikiwa Dowans, japo hatuna ushahidi, kwanini tusimuamini? ushahidi wa kimazingira unaonesha wazi kabisa kuwa anayosema Slaa yana mashiko.

Kuna wakati nakuwa na hasira sana na baadhi ya watoto wa Viongozi wa zamani. Mzee Malecela katika uongozi wake (pamoja na upungufu wake kama binadamu wengine) alikuwa mstari wa mbele kupigania maslahi ya anaowaongoza, hakuwa mstari wa mbele kuwalinda wanaoihujumu CCM na wanaoihujumu Tanzania, hata kwenye issue hii najua anaumia.

tatizo la umeme linafanya watanzania wote tuonekane kama watoto, it is even shame to discuss it in 2011. haya yalikuwa ni mambo ya kuzungumzia mwaka 1960.
 
- Haha ha! ha! hilarious, ukimaliza matusi yako mkuu turudi kwenye mada, ha! ha! siwezi kushuka chini kiasi hiki mkuu ha! ha! ha!

William.

Stop that COMMON NONSENSE u grow up with & u possess, u r still dreaming u r papa is a PM, even u don't know what the topic is, ONE-ONE debate i never do with MGOGO they are lazy to think na kufanya kazi, u r lucky Wagogo wengi Ombaomba, Thanks to CCM ungekuwa Matonya leo
 

Mkuu Malecela wewe mwenyewe unajua jinsi bunge letu na wanbunge wetu walivyo. It is only recently wabunge wetu wameonesha kujali maslahi ya Tanzania kwa kiasi fulani. Mabadiliko ya katiba tunayotaka baadhi ya watanzania ni pamoja na kuwabana hao hao wabunge na chama kitakachokuwa kinatawala, are seriously saying that bunge ndio lifanye kazi hiyo? Hata kama linapolitical mandate, je ni chombo muafaka kufanya kazi hiyo? Hatuna mechanisim nyingine inayokubalika zaidi kufanya kazi hiyo? unajua kuwa sehemu kubwa ya wabunge hata katiba yenyewe hawaijui vizuri???
 

- Duh! what a Great Thinking, mkuu una sound to be a very inteligent person!

William.
 

- Mkuu hata mimi ningependa kujua unawezaje kufanya katiba mpya bila kulihusisha bunge? Ambalo majority ni CCM na wamechaguliwa na wananchi wengi, tunaambiwa kuna kamati iliyokusanya maoni ya wananchi na kugundua kwamba hawataki vyama vingi na sio siri ukweli wa siasa zetu since then unajisema wenyewe, je kwenye hili la katiba itakuwaje?

- Unaweza kuwa na political mechanism itakayowalazimisha CCM kukubali wasichotaka kwa sababu Demokraisa ni kubadili katiba kama Chadema na Dr. Slaa wanavyotaka?

- Anyways, naomba kupumzika hapa, it was nice debate people!

William.
 

Mkuu have a good rest. Lakini ukweli ni kwamba tukianza kufuata kila wabunge wa CCM wananochata (kwa maslahai yao) hatutafika popote tutaendelea kupiga kwata palepale.

Kuna mechanisms nyingi tu za kuweza kuipata katiba bila kulihusisha bunge,buunge lifanye kazi ya kuibariki tu. Kuna legal experts wengi tu Tanzania wenye uelewa wa sheria na wanaoweza kufanya kazi ya kuandika katiba yenye maslahi kwa Tanzania (sio kwa CCM na baadhi ya watu ndani ya CCM). So rahisi kitu kama hiki kukubaliwa na CCM, ni lazima washinikizwe na wafahamishwe kuwa si watanzania wote wanaoji-invilve kwenye siasa na sio watanzania wote waliwachagua kuwa madarakani. Tanzania ya sasa haiwezi kukosa watu 10 wanaoweza kufanya kazi ya kuandika katiba kitaalamu na kwa mtazamo wa maslahi ya taifa. Tuna wanasheria wastaafu, tuna majaji wastaafu, na wahadhiri wa sheria waliobobea kwenye mambo ya sheria, hao wanajua sheria vizuri zaidi kuliko wabunge wetu na wanaweza kuandika katiba nzuri zaidi kuliko wabunge wetu.

Ni kweli kuwa watu hawakutaka vyama vingi vya siasa. Lakini ukiangalia kati ya wale asilimia 80 waliosema hawataki vyama vingi, aslimia sitini waliweka LAKINI ambayo wataalamu walisema tasfiri yake ni mfumo mpya wa kuiwajibisha CCM na viongozi wake. Kimahesabu unaweza kuona kuwa asilimia 80 hawakurudhika na mfumo wa chama kimoja, japo hawakusema wanataka mfumo wa vyama vingi.

Anachosema JK sasa ni kama kutufanya wajinga na kutuonesha kuwa hana interest na hayuko serious, kuunda tume ya kupitia katiba ni kupoteza muda kwa kuwa kazi hiyo ilifanyika zamani, na ilitembezwa white paper na kazi ya kupitia maoni yaliyokusanywa ilifanyika, hakuna sababu ya kurudia mchakato ule tunatakiwa kwenda hatua nyingine.

Hatuwezi kuwa na katiba kama anayotaka Slaa au wanayotaka Chadema, Slaa na Chadema ni politician na political part, kuna uwezekano wanataka katiba ya kuwawekea mazingira fair ya ushindano wa kisiasa. Katiba ni more than that, inatuhusu sisi walala hoi, wakulima, wanasiasa, wanamichezo, NGO,s watu wasio na vyama, ombaomba etc etc.... so sio simpe namna hiyo. Nan ukiangalia unaweza kuona si wote hao wanaowachagua wabunge. Na ukiangalia unaweza kuona kuwa kuna wengine wameingia madarakani kwa ujanja ujanja, so huwezi kuwafanya hao ndio wawe wanafanya maamuzi ya kuandika katiba.
 
Wewe huji Burundi kipato cha mtu kiko juu kuliko ya mtanzania? Wewe vipi, siye tunashindana na Somalia. Kiwete anafurahi kucheka tu na mashabiki wake wakiti sis tunaota joto la jiwe.

Yani yeye kuzungumzia usalama wa taifa wakati waziri wa ulinzi hajawahi kusema chochote. Hivi sisi kweli ni wa kuambiwa mambo ya Sudan wakati tunajua mh wetu Salim aliyemfitini yupo
 

Hata turn-out ya uchaguzi tu ya less 60 % ni kudhihirisha kwamba serikali iliyochaguliwa imechaguliwa tu na minority ya watz. Na kati ya hao minority ni ya wale tu waliojitokeza kujiandikisha. Na ktk hao waliojitokeza kupiga kura ni asilimia chini 80 walioipa kura CCM. Na hapa, of course, nakuwa generous kwa assume kwa hamkuiba kura. Hivyo ni ukweli ulio wazi serikali iliyochaguliwa ni sehemu ndogo tu ya watz inayowakubali, na hii haiwapi nafasi ya kuuamulia umma mzima kuhusu ishu nyeti kama katiba.
 


unapotoka niwzi unajua kuwa hayo maoni yalichukuliwa huko kwenye vijiwe vya CCM, sasa ulitegemea nini? hilo lajatiba usiwe naofu labda mchakachue tena kama kawaida yenu!
 

Kilichofanya Kikwete akubali mchakato wa katiba mpya si wabunge wengi wa CCM bali ni wabunge wachache wa CDM waliotoka nje ya Bunge akihutubia na hivyo sasa amekubali yaishe(but still we are watching him isije kuwe usanii). Hivyo elewa ukubwa/uwingi wakati fulani haumaanishi ubora. Kuna usemi uko hivi; "Mbunge mmoja wa CDM ni sawa na Wabunge 20 wa CCM"
 

- Saafi sana mkuu, it makes a lot of sense!

William.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…