Dr. Slaa: Kikwete mmiliki wa DOWANS...

Unganisha na ukweli kwamba yule mmiliki kivuli wa symbion ya marekanin alikaribishwa ikulu wakati wa ujio wa kukabidhiwa mitambo ya iliyokuwa dowans, nini maana ya raisi kukaribisha mfanya biashara ikulu ale na kulewa fedha za walipa kodi ambao wanalazimika pia kulipia deni la tanesco kwa dowans.
Hii inaenda bila ubishi dowans, rchmond, symbion ni za jk, kwa uwakilishi wa wamiliki uchwara toka nje ya nchi.
Hapa tuna zaidi ya dikteta, huyu ni sawa na 'zombies'
 
Mkuu Rutashubanyuma, kusema ukweli bandiko hili limetukumbusha mbali!, mtu anasingiziwa umiliki kwasababu tuu ametoa majibu usiokubaliana nayo!. Aliyekuwa mmiliki wa Dawans, ndiye huyo huyo, mmiliki wa Richmond na Simbion, anafahamika fika, sio JK!, mmiliki huyo sasa amefanikiwa kumuuzia mmiliki mwingine hiyo mitambo na amelipwa cash cash!.

Kumbe hata daktari huyu sometimes alikuwa anawalisha watu matango pori!.
P
 
Mkuu
Tambua Dr slaa akiwa hajapokonywa na ccm uanafalsafa wake ilikua ngumu Sana kumwelewa akisema kitu labda uwezo wakufikiria uwe nao mkubwa ......alichozungumza hapo inawezekana alimanisha ni m-bia kwenye kampuni kwa Siri silazima taarifa zake za umiliki ziwe zake mojakwamoja....
 
Siyo kwamba huyo Pascal hajui unachoandika , huyo ni msaka fursa , anajua kikwete yuko hewani kwa sasa ni lazima awe upande wa Msoga line
 
Kitambo sana
 
East Africa ni kwa ajili ya wakubwa, watoto wa wakubwa na wenye connection na wakubwa. [emoji23][emoji23][emoji23]
kinachotakiwa kujinadi upindue meza ,akina Obama alivoruhusiwa aseme mara ya pili hutoba ilibadiliaha upepo.....ikampeleka mpaka Whitehouse
 
Makene wa zamani yuko wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…