Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona saa ya kwenye blog ya michuzi inasema uongo, iko mbele sana mwenye kumjua huyu bana amuambie anatia aibu kuweka saa ya uongokwa sheikh yaya
Huna akili wewe bataa wee,mdahalo umeahirishwa wewe unasikilizia tanesco,wa wapi wewe
Hakiki jina lako katika kituo cha kupiga kura,mimi ,wife na totos ndani ya house tayari kura nne kamilifu za chademaaaaaa,wewe je?
nitajaribu simu ili kumuuliza dk slaa, endapo sitofanikiwa nitamomba generla ulimwengu kuniulizia maswla haya
1) uganda imejiunga na oic huku ikiwa na idadi kubwa ya wakirsto, wanafaidi misaada inayotolewa na taasisi hiyo. Licha ya uganda kuna nchi nyingi kama msumbiji.
Lkn kwa kuwa swala hili linazungumzwa waziwazi na waumini hao, na huku dk slaa akiwa na matumaini makubwa (kama wanavyoamini chadema sio ms) jee endapo waumini hao wakadai jee nini utakuwa msimamo wake?
Waislam watz wanataka kujiunga. Nini malengo ya chama cha chadema ktk swala hili?
Naamini generla ulimwengu ataniulizia swala hili kwa manufaa ya taifa
Ukiweka sera za udini pembeni nakwambia tutaelewana sana.NITAJARIBU SIMU ili kumuuliza dk slaa, endapo sitofanikiwa nitamomba generla ULIMWENGU kuniulizia maswla haya
1) Uganda imejiunga na OIC huku ikiwa na idadi kubwa ya wakirsto, wanafaidi misaada inayotolewa na taasisi hiyo. licha ya Uganda kuna nchi nyingi kama msumbiji.
lkn kwa kuwa swala hili linazungumzwa waziwazi na waumini hao, na huku dk slaa akiwa na matumaini makubwa (kama wanavyoamini chadema sio MS) jee endapo waumini hao wakadai jee nini utakuwa msimamo wake?
waislam watz wanataka kujiunga. nini malengo ya Chama cha chadema ktk swala hili?
naamini generla ulimwengu ataniulizia swala hili kwa manufaa ya taifa
Unanilazimisha nikutukane wewe MJINGA. ulikaa lin na waislam na mkajenga hoja juu ya hili?kwani umemsikia nani katoa ahadi ya saruji el 4? mbona dk slaa katoa ahadi hiyo. kwa hivyo kwanini tusijue msimamo wa dk slaa ktk swal hili?
jee endapo atashinda, waislam wakataka kujua nini itakuwa?
.
Hatumchagui Askofu wala Sheikh kwenda Ikulu ni makosa kunukuu vifungu vya kitabu kimoja cha dini na kusema Dr Slaa ni Musa wetu.Unapomfananisha Dr Slaa na Musa wa kwenye Biblia unataka wapiga kura wa dini zingine wamfananishe na nani kutoka kwenye vitabu vyao vya dini? Au Hussein mjukuu wa Mtume Muhammad .Ni muhimu kuelewa na kutenganisha kwamba wapiga kura ni wa dini zote lakini Mungu ndiye mmoja kwa wote.
TUNAISHUKURU BONGO RADIO LIVE MAHOJIANO YA SLAA ITV,HONGERA SANA BONGO RADIO(www.bongoradio.com)
Umeanza sio? Tukija kwa nguvu hapa utakuja na green guard. Shauri yakoFisadi Kiwembe
![]()