Elections 2010 Dr. Slaa: Mzalendo wa kweli

Inafaa sana kwa "MAZUNGUMZO BAADA YA HABARI"
 
Ni muda wake muafaka ipelekwe kwa wananchi haraka iwezekanavyo ili watu wainase fasta. Ila kwa jinzi ninavyoijua ccm wanaitafuna fasta na usalama wa taifa.
 
JAMANI - NAOMBA ISIICHIE HAPA JAMVINI - HIVI HAKUNA GAZETI LINALOWEZA KUCHAPISHA HII ARTICLE????? YAANI INAMFUMBUA MACHO ALIYEKUWA KIPOFU, NAAM KIZIWI PIA AWEZA SIKIA - NA UFAHAMU WA MTU KUFUNGUKA

YAANI CCM INATUFANYA TUNAFIKIRIA TUKIMBILIE WAPI............WAKATI NCHI YETU TZ IPO TENA NZURI SANAAAAAAAAAAA

ELLI - kunywa Juice baridiiiiiiiiiiiiiiiii - I will pay - GOD BLESS YOU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…