Dr Slaa na Dharau kwa Chuo Kikuu cha Mlimani (UDSM)

Dr Slaa na Dharau kwa Chuo Kikuu cha Mlimani (UDSM)

Logic inajengwa na ufahamu/ knowledge or understanding of issues. The more you learn and get to know things the more logical you become. Unaweza ukajifunza logic kama una matatizo ya kuchanganya mambo. logic pia ina levels, Huwezi ukategemea mtu mwenye elimu kama mwigulu akawa na mpangilio wa hoja usio na logic inayoendana na elimu yake, yaani hana tofauti na wasio na elimu na ufahamu kama wake. Kama hukujaliwa kupangilia hoja waweza pia ukasomea ili kuboresha kiwango chako cha logic. Ndio maana viongozi wetu wanaandikiwa hotuba

Na logic ya post yako sijaiona bado.

Hususan kwa mtazamo wa kuninukuu.
 
Kweli JF imevamiwa na Vilaza wa CCM, mleta mada hujui hata kusoma na Kuelewa alichokiandika Dr.Slaa.

Embu jaribu kusoma between the lines na kisha tafakari maneno haya kwenye hiyo nukuu ya Dr.Slaa.
''Sina hakika Kama...'' kisha ''Unless mnatuambia....''

*Kifupi ni kwamba Dr.Slaa ana mashaka sana elimu ya Mwigulu anayotambia nayo(First Class Economic!!!) kinyume chake Chuo alichosomea Mwigulu kitakuwa ni kibovu sana, why? Haiwezekani mtu aliyepata elimu ya Chuo kikuu kwa uhalali kila mara akashindwa kuwa na LOGIC kwa kile anachokisema.
Huyu jamaa mpeni reputation ya ukweli, maana naona like haimtoshi!
 
Mods wa JF kiboko.,hawafichi mapenzi yao kwa watu na vyama vyao.,siamini hii thread imekuwa moved aisee. Hongereni sana.,tena sana mnafanya kazi nzuri.,babu anaiona.
 
yeye amesomea upadre,hata sheria aliyosomea inahusiana na masuala ya kiimani,arudi kanisani,hawezi siasa
...Elimu ya wakatoliki unaijua unaisikia? huwa hawabeep na kuishia na elimu akhera tu. kwa taarifa yako wanasoma mpaka kurani - ukibisha wabeep siku moja uone moto wake kama utauweza.
 
Mods wa JF kiboko.,hawafichi mapenzi yao kwa watu na vyama vyao.,siamini hii thread imekuwa moved aisee. Hongereni sana.,tena sana mnafanya kazi nzuri.,babu anaiona.
We Nape, yaani tangu Migulu ajiunge na Lowasa umesusa kuwa mwenezi wa propaganda za magamba, vipi mkuu?
 
Kila uchao tunazidi kujikanganya kwani elimu ya kaisari umtumikia kaisari na ile ya dini utumika kunako imani za dini.

Sioni sababu yoyote ya kuhoji elimu za vyuo vikuu vinavyotoa elimu yenye kutoa tafsiri na mitazamo tofauti miongoni

mwa wahitimu wake.Kikubwa hapa ni kutulia na kuzitumia elimu zetu vema mahala husika na ikumbukwe kuwa si mara

zote elimu ya dini ikaweza kusahihisha elimu ya dunia labda tu pale kunako hofu,tabu,njaa na misukosuko.

Na wale wanaoipata elimu ya dini wasiitumie isivyotaka,kwani ni elimu hiyo tu ndiyo yenye kumfanya mtu awe na tumaini

jipya siku zijazo na maisha baada ya kifo.Kiukweli elimu zote hizi ni mzuri kuwa nazo na kikubwa zaidi tusizibeze kwamba

hii ni mbaya eti tu kwa sababu ya fulani sio mzuri hakika tutapata dhambi kubwa ya usaliti wa watu wetu ambao wengine

tunafanya kazi nao.
 
Mkuu Rombo lakini pale pazuri, unaweza kukaa pale Tbs/Atb ukawa unacheki mandhari ya library bila kuingia ndani afu unasubiri kudesa kama Mwigulu Nchemba alivokua anafanya...
aiseeeee babayangu unaniacha hoi sana tena pale vibwetani vya sr na academic bridge unasubiri umezeshwe hata baba rizione kpindi tunasoma nae yeye kazi yake kutupiga exzali kila siku ndio maana alipata 2.2 GPA
 
Mods wa JF kiboko.,hawafichi mapenzi yao kwa watu na vyama vyao.,siamini hii thread imekuwa moved aisee. Hongereni sana.,tena sana mnafanya kazi nzuri.,babu anaiona.

Kakaaa.. Za usubuhi kakaaa.. Pole kakaa.. Waibanyota wako mzigoni ila same party.. Halafu jamaa kalalia kwa leigwanan.. Mizimu yote anaisukumia huko, kinywa chako Ndo keshakipaka mavi longa ulongavyo hata -husikiki, mwanaume kweisha.. !! Hatushangilii manjunju but watu wanaoona walishakwambia Chama la mizizi Hilo likimbie..!! Hutaki .. Haya .. ! Si unakumbuka mwanza ..! Network ikakata faster , jamaa wakasema Mtu mwenyewe mwepesi hivi Basi tumpe kubwa au tumnyangaye kinywa .. ? Enewei wewe mwenyewe unajua kila kitu Kalia kipiga gitaa utakiona.. AMA vipi OKOKA..! Kha ngojea nikwambia truth.. Okoka! Tena umaanishe, ila Kwa nature ya position yako ya kueneza propaganda Za Chuki , uongo, uzushi huwezi imani, kuwa Mtu Wa mizizi unaogopa mbona HUJIELEWI WALA HAWAKUELEWI .. !! Stuka..!
 
Asenga tangu ubebwe na kuwekwa ktk famili ya Baba Rizimoko na wewe unajiona ni wa Ikulu,unamua kujiita ASENGA WA "PAKAYA"...umebadili na dini upate fadhila...

wa PAKAYA au JAKAYA?
 
Huyo mzede si kasoma kanuni za kanisa tu, na hata hizo zikamshinda. Anakijuwa nini huyo zaidi ya majungu na ufataani na kuitakia mabaya Tanzania.

Lugha yako inakusumbua sana,jaribu kurudia kusoma ulichokiandika kabla hajatuma mchango wako katika jamvi.
 
bibie nimeandika WENGI wamefaulu kwa kudesa na kubebwa
kusema wengi haimaanishi wote.
kwa waliosoma FOE na LAW watanielewa..
sup za kumwaga na nyingi za kukomoana,
watu walijiandaa kwa vibuti kila inapowezekana sababu ya woga
mfumo wa elimu haumpi mwanafunzi ujasiri wa kujiamini...
kwa waliopita kwa Lwambuka, prof Fimbo, Kabudi nk wataelewa tabia za hawa watu.

mkuu kama kweli unalosema ulisoma udsm basi na wewe pi ulisoma kwa kudesa
generalization uliyoitoa iko biased sana.
 
Dr Slaa.,Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ameonyesha dharau kubwa na kukosa kwake imani kwa Chuo Kikuu cha Dar es salaam maarufu kama UDSM juu ya kiwango cha Elimu kinachotolewa chuoni hapo. Kadhia hiyo imetokea pale Dr Slaa alipokuwa anajibu Post ya Mwigulu Madelu Nchemba Naibu Katibu Mkuu wa CCM ambapo Dr Slaa alisema kuwa kulingana na kauli za Mwigulu anazozitoa ni zao la Elimu aliyoipata chuoni hapo ambapo Mwigulu alipata ufaulu wa first class chuoni hapo...


Je maneno haya ya Dr Slaa yanaukweli wowote kuwa chuo hiko kinatoa mazao yasiyofaa na kwamba anayoyasema na kuyafanya mwigulu yanatokana na Elimu yake aliyoipata Chuoni hapo..???

Chuo kinatoa elimu nzuri ila yeye ni ujinga wake wa kutaka SIFA KWA MWENYEKITI WAKE AMBAYE ALMSIFIA KUWA ANAPAMBANA NA CHADEMA UJINGA WAKE TU SIYO CHUO
 
sikupenda kuwa mnafiki kwa kuisifia elimu ya UDSM
kwanini niogope kusema ukweli?
pale ulikuwa unakariri ili ufaulu mitihani na sio kujijengea uwezo wa kujiajiri..
mfano watu waliosoma law anaingia internship hajui hata kuandika plaint, WSD au hata simple legal opinion.
Ikasababisha mahakama kuajiri zaidi watu wa Tumain Iringa,,angalia wasajili wengi ni product ya Tumani.
baadae ndio walau from 2007 wakaongeza idadi ya mahakimu kutoka UDSM kwa shingo upande.
watu wa BCom na waliomaliza IFM ukweli watu wa IFM wanakubalika zaidi kuliko waliomaliza bcom pale UDSM
kwa upande wa COET ktk soko wanachukua zaidi watu wa DIT
jiulize kwanini?????
mfumo wa elimu bado ni mbovu pale UDSM walimu wanahitaji kubadilika.
wanafundisha kwa mazoea tu mradi ufaulu..its more theory than practical..

,,
Utakuwa umesoma vyuo vikuu vya Buguruni wewe! Nitakiheshimu chuo cha UDSM daima! Na vilaza mnaodesa mpo tunajua wapo sehemu zote, lakini binafsi najivunia elimu yangu!
 
uko sawa ndio maana hapo juu nkasema hatujapikwa katika kujitegemea na kujiajiri wenyewe.
Mdau kwa hali ya sasa ambavyo kuna mwamko wa elimu na idadi wa wahitimu inaongezeka kila kukicha na idadi ya vyuo inaongezeka ni vigumu katika hali ya kawaida kutegemea wahitimu wote wakaajiriwa.Hivyo hii ni changamoto kwamba sio kila umalizapo elimu yako lazima ukupate ajira yako kinyume na enzi hizo ambazo tunaambiwa kuwa kabla mtu hajamaliza elimu yake alikuwa ameshapangiwa nafasi yake ya ajira katika idara mbalimbali serikalini na mara baada ya kumaliza shule ilikuwa ni moja kwa moja kazini tofauti na sasa ambapo mhitimu anasota mtaani mpaka miaka kadhaa anasaka ajira.Hivyo basi ni wazi kuwa wahitimu hawana budi kuwa wabunifu katika nyanja ambazo wamesomea ili kuweza kukabiliana na changamoto za ajira ambazo wanatakumbana nazo.Kuhusu kupikwa vyema katika kujitegemea nadhani mdau utakuwa umemaliza kitambo sana pale UDSM na utakuwa sio mfatiliaji wa machapisho mbalimbali kwani katika kukabiliana na changamoto ya ajira kila chuo katika mitaala yake lazima kiweke somo la ujasiliamali na kwa UDSM pale shule ya biashara(Business School) masuala ya ujasiliamali wamebobea ingawa sio wote wanaofanya ujasiliamali maana ujasiliamali sio taaluma hivyo unaweza fika pale ukapata chochote ambacho kinaweza kukupa mwanga.
 
Dr Slaa.,Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ameonyesha dharau kubwa na kukosa kwake imani kwa Chuo Kikuu cha Dar es salaam maarufu kama UDSM juu ya kiwango cha Elimu kinachotolewa chuoni hapo. Kadhia hiyo imetokea pale Dr Slaa alipokuwa anajibu Post ya Mwigulu Madelu Nchemba Naibu Katibu Mkuu wa CCM ambapo Dr Slaa alisema kuwa kulingana na kauli za Mwigulu anazozitoa ni zao la Elimu aliyoipata chuoni hapo ambapo Mwigulu alipata ufaulu wa first class chuoni hapo...


Je maneno haya ya Dr Slaa yanaukweli wowote kuwa chuo hiko kinatoa mazao yasiyofaa na kwamba anayoyasema na kuyafanya mwigulu yanatokana na Elimu yake aliyoipata Chuoni hapo..???

Siku zote ubora wa chuo hupimwa kutokana na wahitimu wake, ikiwa wahitimu watafanya vizuri ni ishara kuwa chuo hicho ni bora. lakini mtu mmoja haitoshi kuwa kipimo cha kufikia kutoa hitimisho kama ambavyo amefanya mzee slaa.

Nadhani hata yeye anapaswa kujua kuwa kuna watu wanamwangalia na kumpima kwani ana PhD ya sheria za kanisa lakini je ni kweli anazitendea haki sheria za kanisa ambazo amezisoma tangu mwaka 1977 - 1981 ktk ngazi ya PhD? Sheria hizo zinasemaje kuhusu padre kuwa na mahusiano ya kimapenzi? (rejea uhusiano wake na Mhe Rose Kamili tangu enzi hizo hadi kuzaa naye), sheria za kanisa zinasemaje kuhusu ndoa ya kikristo? (rejea josephine aliyeolewa kikristo na sasa kamwacha mumewe na yuko na mzee slaa) Ubora wa elimu yake kuhusu sheria hizo uko wapi?
 
Kweli JF imevamiwa na Vilaza wa CCM, mleta mada hujui hata kusoma na Kuelewa alichokiandika Dr.Slaa.

Embu jaribu kusoma between the lines na kisha tafakari maneno haya kwenye hiyo nukuu ya Dr.Slaa.
''Sina hakika Kama...'' kisha ''Unless mnatuambia....''

*Kifupi ni kwamba Dr.Slaa ana mashaka sana elimu ya Mwigulu anayotambia nayo(First Class Economic!!!) kinyume chake Chuo alichosomea Mwigulu kitakuwa ni kibovu sana, why? Haiwezekani mtu aliyepata elimu ya Chuo kikuu kwa uhalali kila mara akashindwa kuwa na LOGIC kwa kile anachokisema.

kama hawajakuelewa hadi hapo basi tutegemee vilaza kuongezeka maradufu 2015
 
1.Nashauku ya kujua umesoma wapi na chuo gani maana unashindwa kujibu hoja.

2. Kwa kuwa udsm ndio imempa huyo jamaa First class ni lazima tuhoji grade za huyo mtu kwa upeo wake wa kufanya maamuzi na Kutenda mambo.

3. Je, mtoto akiwa mhuni au jambazi lawama zitakwenda kwa nani?

4. Kwa taarifa tu Dr. slaa ni moja ya 'Pioneer' wa 'course ya Philosophy' hapo UDSM.

5. ''Your thread is very illogical & opaque''!

4. Mimi ni among the alumni wa Udsm, lakini siwezi kukubali kuwa kila graduate wa hapo ni bora sana.(Mwigulu ni mfano wa hao ambao si bora na ndio wanaotuaibisha na hasa wanaaibisha idara ya uchumi hapo Udsm)

5. Siasa si Uadui bali ni hoja, kama unaona mwenzako anafanya vizuri ni bora kujifunza kutoka kwake. Mambo anayofanya huyo Mwigulu ni hatari kwa ustawi wa nchi na anaaibisha chama chake kabisa!
Nasubiri logical answer from you, if any! c.c ASENGA WA PAKAYA
 
Back
Top Bottom