Dr Slaa na Dharau kwa Chuo Kikuu cha Mlimani (UDSM)

Mafisadi wakubwa na wafilisi nchi karibu wote Tanzania ni mazao UDSM. Usahau hata maprofesa uchwara kabisa nchini kama yule kifaa wa maabara ya kemia/fizikia aka burner ni mazao ya Mlimani.
 
Hapo mkuu unajidanganya....Tumaini bado sana......na st.Augustine hawana uwezo wa kunyambua mambo kivile sema wanazuoni wa udsm wanaojipendekeza ndio wanapewa attention!


Mkuu sijidanganyi ni ukweli amabo upowazi,si ndio hao wanaomaliza UDSM wanashindwa hata kujieleza,kwa mfano ukifatilia maelezo anayotoa Nchemba ambaye anajisifie first class economist utasema hapo chuoni wanatoa wahitimu wenye uwezo kweli wa kuewa mambo?
 
Haa haa dogo kumbe upo vp kampango kenu na yule mshamba mwenzako kakutaka yule mbunge wa viti maalum-Iringa CCM awatafutie ajira. Madogo ninyi wajinga sana

heheheheh,watafutiwe ajira na mbunge???hahaha maskin kijana wa kitanzania,amekaa katika hali ya kusubiri KUHURUMIWA TU
 
Kwanza yy alsoma wap mpaka apate utimamu wa kujudge uwezo wa chuo bora tanzania tangu 1962
 
heheheheh,watafutiwe ajira na mbunge???hahaha maskin kijana wa kitanzania,amekaa katika hali ya kusubiri KUHURUMIWA TU

Acha kabisa mkuu hili taifa linavijana matahira si kidogo........wanataka mbunge awatafutie ajira tena kimagumashi....wanashida hao
 
hapana ni reasonable doubt ,wemgi wa wanaokipaka matope udsm

1)wame disco

2)wameikosa nafsi points zilikuwa almost zitoshe

3) wivu

Ima non of the above...sijui una kingine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…