Dr. Slaa na Mpenzi wake kubariki ndoa nchini Canada

Uwongo mtupu, kipa imara imeandikwa wapi ktk Biblia? Hizo ni kama sanamu tu ambazo mbele ya Mungu ni machukizo tu.
Mbona mnadhihaki sana dini za wengine, hakika wewe ndiye mkamilifu?
 
Atabadili kanisa ili afanikishe hilo lakini itamtesa
 
....duh...bado wanahangaika na ndoa?.hivi kwani ni lazima kuoana?mbona watu haswa ulaya wanaishi kwa mikataba tu bila ndoa?...hili la ndoa najua ni shinikizo la mchumba tu...alafu na hiyo winter huko Canada... Eh..dogo Junior lazima ampate mdogo wake...Mzee anaendekeza chini sana...LOL..
 
Yanakuhusu? Olewa wewe basi
 
[Qimenihusu to Kabwela, post: 15269437, member: 20262"]Yanakuhusu? Olewa wewe basi[/QUOTE]
..umenuhusu Uzi huu....mi nime comment Uzi....we kama ndie slaa ama mke wake its non of my business...mimi nina comment ninachokisoma jf..
 
kama wewe sio mkatoliki au ni mkatoliki jina usipotoshe watu Dr. Slaa alifanya taratibu zote za kuacha upadri
 
Kwani umeambiwa upadre ni useja?

Mimi sio Mroma Tena tangu 1991 Lakini kwa Mujibu wa Mafundisho Ya Katekisimu Sakramenti saba za Imani ya Ukatoliki ni

1) Ubatizo (Baptism)
2) Kitubio (confession)
3) Ekaristi (holy communion)
4) Kipaimara (confirmation
5) Daraja (Upadri hadi Upapa) Holy orders
6) Ndoa (Marriege)
7) Upako wa Mwisho ( Extreme Unction or "Last Rites")

Na Nguzo Kuu Ikiwa Ekatist Takatifu, (Holy Eucharist)

Padri Akiwa amebeba Eukarist
 
Huu uchumba una miaka sasa na anayeshinikiza ndoa sio Dr....na wamekimbia kufanya hilo tendo Tz
 
Kanada hadi ndoa za jinsia moja zinaruhusiwa, siwezi kushangaa kwa wakimbizi ambao ni wazinzi sugu kuoana. Babu ana miaka 73 bado anataka ndoa kweli, au kashinikizwa na Mamaa Joseee ili urithi usiende kwenye ndoa ya halali
 
Kubariki ndoa ni kufanyaje...kwani wanayo ndoa kwa sasa au wanafanya uzinzi tu
 
Aliyekuwa katibu mkuu wa CHADEMA Dr. Wilbroad Slaa na Josephine Mushumbusi kubariki ndoa nchini Canada kabla ya sikukuu ya Pasaka itakayoadhimishwa mwishoni mwa mwezi wa tatu.

Chanzo: Gazeti

Hivi huko Kanada kuna mihogo????
 
Hizo sakrament ni mafundisho potofu yasiyokuwepo kwenye Biblia takatifu, dr yuko huru
Labda hko kwenu waprotestanti ndo mtamtambua huyo kaini.Kwa taratibu za kikatoliki hawezi kuruhusiwa kufunga/kubariki ndoa
 
We mbona hunaakili? Mtu amesha sema "kwa mjibu wa kanisa katoliki" kama unachuki na kanisa hilo katie moto makanisa hayo jadili maada msenz.i wewe!
Jazba ya nini; Una maslahi gani kwenye hili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…