n00b
JF-Expert Member
- Apr 10, 2008
- 1,015
- 2,680
Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willbrod Slaa, akihutubia mkutano wa hadhara wa kampeni, kweny Uwanja wa Kwarah mjini Babati mkoani Manyara jana. (Picha na Joseph Senga)
Sehemu ya umati wa wakazi wa mji wa Babati na vitongoji vyake, wakiinua mikono juu kuashiria kukubaliana na hotuba ya mgombea wa urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa (hayupo pichani), wakati wa mkutano wake wa kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Kwarah mjini humo jana. (Picha na Joseph Senga)
Leo atakuwa Hanang na Mbulu, nikizipata picha nitaziambatanisha