Elections 2010 Dr. Slaa nyanda za Juu Kusini: Songea, Iringa, Mbeya (picha na habari)


kula 5. Napenda kusikia habari kama hizi
 
YOU HAVE A POINT ccm inahitaji mabadiliko makubwa saana!
 


Kura nampa Dr.JK na mbunge napeleka chadema hapa nyamagana piga ua masha simpi na nin akaaa nae jirani hapa jirani twaangalia ziwani

SIO DR JK , ni JK, HUO DR KAPATIA WAPI?
 




Angalia tofauti ya picha hizi.....

Picha ya juu yaonyesha hamna darasa linalotolewa na huyo cheupe badala yake anauza sura na kujisifia kuwa ana pesa.Lakini pia wale wanaohutubiwa nao hawana umakini kwani hakuna cha kusiliza kwani haja yao imetimizwa kwa kupa Njano na kijani
Kura yako kwa dr.slaa
 

Mkuu Huamini kama Rais ajaye ni Slaa? Hebu jaribu kimpigia kuara.
 

MI huwa nashangaa sana watu wanaong'ang'ania Slaa aende ZNZ. Simaanishi muungano uvunjike, ila kama ikibidi hata ukifunjika poa. My point ni kuwa ZNZ kuna wapiga kura wangapi? Mfumo wetu wa kura ni wa kujumlisha, mtu mmoja kura moja! Kura za ZNZ japo ni muhimu lakini haziwezi kumzuia Slaa kupata URAIS endapo atapata hata 47%% za kura za Bara.

Wanaosizitiza Slaa akubalike ZNZ nadhani ni wana CCM na wanataka akapoteze Muda wake Kule. MBONA KIKWETE HAJAENDA ZNZ?
Tuwe makini hapa tusipotezane, Slaa atakuwa ni Rais wa Tanzania Bara (Tanganyika) na Sio ZNZ. Kule wana rais wao! Na Kura zao ni Kidogo sana kama za jimbo la Ubungo TU!
 

Ukiangalia vizuri, Polisi wa Picha ya juu (ya CCM) hawafuatilii hotuba, lakini hapo chini polisi wote wanaonyesha kusahau kazi yao na wamelegea kabisa ready kupokea ukweli. Inaonyesha hotuba ya Slaa imewagusa.

Mimi naamini, 31 Oct mambo yatakuwa ya mshangao kwa wengi. Hawa polisi ambao leo wanashurutishwa kuwakingia CCM kifua wakati wa Kampeni, Watawageuka na kutetea Haki siku ya usimamizi wa kura!
Ni kuendelea kuwaelimisha tu kuwa Slaa si ADUI bali ni Mtu anayetaka kubadili maisha ya Watanzania wote, wao kama Polisi na familia zao pia! Mana Hata ukiwa polisi matatizo ya maji, shule na afya ni ya wote!
 
tehetehe
na utakuta watu hawa hawa wanajitokeza kwa wagombea wa vyama vingine. na kama unavyosema haijulikani ni wangapi wana kadi za kupigia kura. ni vigumu ku judge matokeo ya uchaguzi kwa kuangalia tu umati wa watu
Jethro na Ng'azagala, Kama hiyo ni sababu zenu za kuwatia wasi wasi kwa nini sisi m huwasomba kwa malori ili waje kumsikiliza Kikwete? Penye mzoga ndipo tai ukusanyika! Hata tukisema kuwa nusu ya wahudhuriaji wa mikutano yote ndio wenye shahada, na hao ndio watapiga kura bado Dr Slaa atashinda.
 


Libasket Asante sana kwa ujumbe,

Kwa kweli inasikitisha sana, na naamini CHADEMA watashughulikia kwa makini Swala hili, na kama kuna namna wanaweza Kujibana watafute siku nyingine moja wakafanye hiyo Mikutano 'sina uhakika inaruhusiwa na NEC'


Kitu cha Muhimu kuliko Vyote, CHADEMA wanatakiwa wawe na plan B, katika kila wanachokifanya, huu si wakati wa kusikia eti Vipaza sauti vilikuwa na matatizo, haa.., at least kila anakoenda Dr. Slaa inatakiwa wawe angalau na System Tatu, fully equiped..
 
Huo umati namba zao za kadi za mpiga kura zilishachukulia na mabalozi hinyo idadi kubwa ya majina yao hayatatokea kwenye orodha ya wapiga kura hivyo japokuwa watafika kwenye vituo vya kupigia kura hawatapata fursa ya kupiga kura, CCM itaendelea kutawala for the next five years.
 
Habari za kuaminika ni kuwa Dr Slaa atakuwa akifanya mikutato ya kampeni katika mji wa kyela kesho tar 3-10-2010. Kabla ya mikutano ya Dr slaa itakayofanyika vijijini, atafanya mkutano mkubwa Kyela mjini. Wote wenye mapenzi mema na Tanzania mnapaswa kuja kumsikiliza.
 

Juzi juzi baada ya Mwakyembe kumnadi JK alizomewa, wakadai "tunamtaka Dkt Slaa!" Dkt Slaa pale ni kwako, kawasalimie watu wako tu sio kuomba kura!
 
kila la kheri next prezdaaa!! Wanakyela msituangushe huko japo vyombo vya habari vinatubania.
 

Mgombea urais kupitia Chadema Dr Willibrod Slaa akishangaa umati mkubwa wa wakazi wa jimbo la Iringa mjini ambao wamefika katika uwanja wa Mwembetogwa Iringa mjini kumsikiliza katika mendelezo wake wa mikutao ya kampeni za chama hicho ,

umati wa wananchi wa jimbo la Iringa mjini ambao wapo uwanjani wakimsikiliza Dr.Slaa uwanja huu ambao CCM imekuwa ikifanyia mikutano yake na ndipo mgombea mwenza wa JK Dr Bilal alihuhudia mpasuko wa wana CCM

Ulinzi wa kutosha uwanja wa Mwembetogwa Iringa



Wananchi wakitazama Helkopta ya Dr Slaa



'LIVE' DR SLAA AMPA MTIHANI SHIMBO WA JWTZ ,ASEMA CCM IMEPANGA KUCHAKACHUA KURA




Wananchi wa Iringa mjini wakirekodi hotuba ya Dr Slaa kwa kumbukumbu zao


Helkopta ya mgombea urais wa Chadema Dr.Slaa ikitua katika uwanja wa mkutano asubuhi hii


Wananchi wa Njombe wakiipungia mikono Helkopata ya Dr Slaa

Dr Slaa akipokelewa na viongozi wa wilaya ya Njombe mara baada ya kuwasili dakika chache kuanzia sasa

Helkopta ya Mgombea Urais wa Chadema ikiwa hewani ikijiandaa kutua uwanja wa Mdete Njombe mjini

Mgombea urais kwa Chadema Dr Willibrod Slaa amemshukia mkuu wa mnajimu mkuu wa majeshi nchini Bw Shimbo kuwa ndani ya siku 10 awe amewakamata wale wote ambao wanatuhumiwa kumwaga damu na vinginevyo hatua itachukuliwa dhidi yake.

Pia Dr.Slaa amesema kuwa CCM imepanga kuchakachua matokeo ya uchaguzi mkuu na ndio sababu ya kuanza kutumia vyombo vya habari vya umma ,majeshi na usalama wa Taifa kuweka kinga na kuwa kama CCM imepanga kuchakachua matokeo basi itachakachuliwa yenyewe .

Hata hivyo ameonya jeshi la Poliso kupitia wakuu wa polisi wilaya kuwa kama wanapewa taarifa na kuchanwa mabango ya wagombea bila kuchukua hatua ni mwanzo wa jeshi la polisi kuchochea vurugu na kuwa Chadema kamwe haitafanya fujo labda fujo zitoke CCM.

Dr.Slaa ambaye anaendelea na hutuba yake viwanja wa Mdete mjini Njombe anaema kuwa hatautamani Urais wa Tanzania kama damu ya watanzania itamwagika katika uchaguzi na kuwa Chadema imejipanga kulinda amani na kuwa Green gadi ya CCM ni mwanzo wa fujo katika uchaguzi agiza polisi kuwakamata

 
Pay God big up. Tunakushukuru kwa picha, mafisadi na mawakala wao roho zitawauma sana ila ndio jimbo la Iringa mjini linaondoka hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…