Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh!
umati unatisha huo, Tunashukuru PG kwa picha, umezipiga vizuri sana
uwingi wa watu sio sababu; tusubiri matokeo ya oktoba 31....halafu ndio tuzungumze.
Hivi walimtisha? .....very insecure!sio mimi , kaka ni kwa msaada wa FRANCIS GODWIN MZEE WA MATUKIO, yule aliyepokea simu ya vitisho baada ya kuripoti, kuhusu kutimuliwa kwa ridhiwani, iringa
Kama mambo yenyewe ndo hivi, Ningekua JK Mi na familia yangu wala tusingejipa shida tungeenda zetu ULAYaa kula Raha,
Kwani TZ hatuna chetu.
Hivi walimtisha? .....very insecure!